Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Korea Kusini yawaua maafisa serikalini

Shirika la kiinteligensia la Korea kusini linasema utawala wa Korea kazkazini umewauwa watu wa nyadhfa za juu wapatao 15

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini: Je nini kilichosababisha kulipulia kwa afisi ya mawasiliano na Korea Kusini?

Experts' views on why North Korea has chosen to provoke the South by destroying the liaison office.

 

5 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini na Korea Kusini zafyatuliana risasi baada ya Kim Jong-un kuonekana hadharani

Korea Kusini imesema risasi zimefyatuliwa kwenye mpaka wao, siku moja baada ya Kiongozi wa Korea Kaskazini kuoneakana hadharana.

 

9 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini yaitishia Korea Kusini

Korea kusini inasema kuwa korea kaskazini imepeleka silaha kwenda kwa mpaka baada ya kutoa vitisho vya kuishambulia

 

11 years ago

BBCSwahili

Tohara yawaua 19 Afrika Kusini

Wizara ya Afya nchini Afrika Kusini inasema kuwa wavulana 19 wameaga dunia mwaka huu katika sherehe za kuwapasha tohara wavulana.

 

10 years ago

Dewji Blog

Bi. Sihaba Nkinga azindua chama cha Maafisa Mawasiliano Serikalini (TAGCO)

1

Mwenyekiti wa Muda wa Chama cha Maafisa Mawasiliano Serikalini(TAGCO) Bw. Innocent Mungy akisoma Taarifa fupi ya Chama hicho kabla ya uzinduzi jana Mjini Mtwara.

2

Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akiongea na Maafisa habari Kabla ya Kuzindua Chama cha Maafisa Mawasiliano Serikalini(TAGCO) ambapo aliwataka kuwa na umoja na Mshikamano ili kujijenga na kukiendeleza chama hicho kitakachosaidia kukuza taaluma na weledi katika utendaji wa kazi jana Mjini...

 

10 years ago

Michuzi

CHUO CHA DIPLOMASIA CHAWANOA MAAFISA KUTOKA JESHI, SERIKALINI NA SEKTA BINAFSI

Katika kuendeleza wajibu wake wa kutoa mafunzo ya muda mfupi, Chuo cha Diplomasia kimeendesha mafunzo ya juma moja ya Itifaki na Uhusiano ‘PROTOCOL AND PUBLIC RELATIONS’ kati ya tarehe 18 – 22 August, 2014. Mafunzo haya yalilenga kuwaongezea uwezo maafisa mbali mbali kutoka serekalini na sekta binafsi. Mafunzo haya ni muendelezo wa mafunzo  ya muda mfupi yatolewayo na Chuo cha Diplomasia kila mwezi, 
katika mafunzo hayo ambayo Kwa kawaida wawezeshaji wa mafunzo hayo ya muda mfupi katika Chuo...

 

10 years ago

Michuzi

Dkt. Fennela Afungua Kikao Kazi cha Maafisa Mawasiliano Serikalini na Wahariri wa Vyombo vya Habari

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara akiwaeleza washiriki wa Mkutano huo umuhimu wa kuelimisha umma kuelekea upigaji kura ya maoni na kuwataka wahariri wa vyombo vya habari nchini kuwa mstari wa mbele katika kutekeleza suala hili la kitaifa.Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya JL Communication inayochapisha magazeti ya Jambo leo na StaaSpoti Bw. Theophil Makunga akitoa neno la shukrani kwa Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara pia...

 

11 years ago

Michuzi

‘PROTOCOL AND PUBLIC RELATIONS’ SHORTCOURSE: CHUO CHA DIPLOMASIA CHAWANOA MAAFISA KUTOKA SERIKALINI NA SEKTA BINAFSI

Katika kuendeleza wajibu wake wa kutoa mafunzo ya muda mfupi, Chuo cha Diplomasia kimeendesha mafunzo ya juma moja ya Itifaki na Uhusiano ‘PROTOCOL AND PUBLIC RELATIONS’ Mafunzo haya yalilenga kuwaongezea uwezo maafisa mbali mbali kutoka serekalini na sekta binafsi. Mafunzo haya ni muendelezo wa mafunzo ya muda mfupi yatolewayo na Chuo cha Diplomasia, mathalan usuluhishi na utatuzi wa migogoro (Conflict Resolution and Mediation skills) na Itifaki na Uhusiano ( Protocol and Public...

 

10 years ago

BBCSwahili

Pagan Amum arejeshwa serikalini S Kusini

Katibu mkuu wa chama tawala nchini Sudan kusini amerudishwa katika wadhifa wake baada ya kuishi kwa mwaka uhamsihoni nchini Kenya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani