KRISMASI HII DAR LIVE
![](http://api.ning.com:80/files/uY3PJt2fxPz7qGkOK4SzNrzhXptx0HiLAHlFnypSMvIkE5q3OZmCYsEUcaR2z5pHY8LxT7cBwgI6rMCZmE4yPdtOWLiL3CV7/posterxmascopy.jpg?width=650)
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Diamond: Nitaanza kupiga ‘live’ Krismasi hii
Muziki wa Bongo Fleva unazidi kubadilika kila kukicha, zile zama za kufanya muziki wa ‘play back’ unaanza kupotea taratibu na sasa imefika wakati wa kupiga laivu ambapo kwa staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ atalifanya hilo Sikukuu ya Krismasi mwaka huu ndani ya Dar Live, Mbagala-Zakhem jijini Dar.
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Wakali Dancers wafunika Krismasi Dar Live
Kundi linalobamba Afrika Mashariki kwa miondoko ya kucheza, Wakali Dancers wakikamua jukwaani Sikukuu ya Krismasi ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala- Zakhem jijini Dar .
(PICHA: MUSA MATEJA NA RICHARD BUKOS/GPL)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KtF8hZpsH-0RpoJEv8eKsmtr-UtkiBihBIdWNToEz8KDFGDpBMT*oLFIZcwVud7oSu15nteKozgaN5OVtWo5XA7JtmG64bQd/mastaa.gif?width=650)
MASTAA KUFURIKA... DAR LIVE SIKU YA KRISMASI
Na Mwandishi wetu
BURUDANI juu ya burudani! Mastaa mbalimbali wa filamu wanatarajiwa kufurika kwa wingi ndani ya Ukumbi wa Dar Live Mbagala-Zakhem jijini Dar, siku ya Krismasi katika tamasha maalumu lililopewa jina la Mtoko wa Mastaa, likiambatana na shoo ya nguvu yenye mchanganyiko wa Bongo Fleva, Hip Hop na Taarabu kutoka kwa wasanii nguli wa miondoko hiyo. Wema Sepetu. Siku hiyo, mashabiki watapata nafasi ya kupiga picha...
11 years ago
GPLTASWIRA MBALIMBALI ZA SHOO YA KRISMASI NDANI YA DAR LIVE
Mwanamuziki wa Hip Hop kutoka Kundi la Weusi, Joh Makini, akiwapagawisha mashabiki wa Hip Hop waliofurika katika Uwanja wa…
11 years ago
GPL11 years ago
GPL11 years ago
GPLPROFESA JAY AFANYA KWELI SHOO YA KRISMASI DAR LIVE
MwanaHip Hip mahiri nchini, Joseph Haule 'Profesa Jay' akipanda steji ya Dar Live tayari kuwapa burudani mashabiki. Profesa Jay akiwapa hi mashabiki wake wa Dar Live.…
11 years ago
GPL26 Dec
JOH MAKINI NDANI YA DAR LIVE SIKUKUU YA KRISMASI 2013
Mwana Hip Hop Joh Makini kutoka Kundi la Weusi akiwapagawisha maelfu ya mashabiki waliofurika katika Uwanja wa Burudani wa Dar Live uliopo Mbagala - Zakheem, jijini Dar es Salaam sikukuu ya Krismasi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iiq-5qTP3-n3hq5gVvO1nJkkKe*FXLNJqrMpB4Qp5FmdyiXLNR-CHMFsE6-Tz-bmucaRLO9hSAEratjWcnDkJET6bXwOaKgN/Diamond.jpg?width=650)
DIAMOND AMSIFU DAVIDO, KRISMASI NAYE YUPO DAR LIVE
WIKI iliyopita tuliishia pale ambapo staa wa Bongo Fleva, Diamond aliachia video yake ya Number One katika uzinduzi usiyo na kiingilio alioufanya ndani ya Hoteli ya Serena jijini Dar ambapo pia alimzawadia gari, aliyekuwa mwanamuziki nguli nchini, marehemu Muhidin Maalim Gurumo.
Wiki hii tunaendelea ambapo katika kuanika maisha yake, Diamond anasema: Staa wa Bongo Fleva, Diamond. ASIFU KAMPANI YA DAVIDO
“Mwezi wa 10,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania