Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KRISMASI HII DAR LIVE

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Diamond: Nitaanza kupiga ‘live’ Krismasi hii

Muziki wa Bongo Fleva unazidi kubadilika kila kukicha, zile zama za kufanya muziki wa ‘play back’ unaanza kupotea taratibu na sasa imefika wakati wa kupiga laivu ambapo kwa staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ atalifanya hilo Sikukuu ya Krismasi mwaka huu ndani ya Dar Live, Mbagala-Zakhem jijini Dar.

 

9 years ago

Global Publishers

Wakali Dancers wafunika Krismasi Dar Live

dansa wakalai dancers wakali dancers wakaliKundi linalobamba Afrika Mashariki kwa miondoko ya kucheza, Wakali Dancers wakikamua jukwaani Sikukuu ya Krismasi ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala- Zakhem jijini Dar .

(PICHA: MUSA MATEJA NA RICHARD BUKOS/GPL)

 

11 years ago

GPL

MASTAA KUFURIKA... DAR LIVE SIKU YA KRISMASI

Na Mwandishi wetu
BURUDANI juu ya burudani! Mastaa mbalimbali wa filamu wanatarajiwa kufurika kwa wingi ndani ya Ukumbi wa Dar Live Mbagala-Zakhem jijini Dar, siku ya Krismasi katika tamasha maalumu lililopewa jina la Mtoko wa Mastaa, likiambatana na shoo ya nguvu yenye mchanganyiko wa Bongo Fleva, Hip Hop na Taarabu kutoka kwa wasanii nguli wa miondoko hiyo. Wema Sepetu. Siku hiyo, mashabiki watapata nafasi ya kupiga picha...

 

11 years ago

GPL

TASWIRA MBALIMBALI ZA SHOO YA KRISMASI NDANI YA DAR LIVE

Mwanamuziki wa Hip Hop kutoka Kundi la Weusi, Joh Makini, akiwapagawisha mashabiki wa Hip Hop waliofurika katika Uwanja wa…

 

11 years ago

GPL

PROFESA JAY AFANYA KWELI SHOO YA KRISMASI DAR LIVE

MwanaHip Hip mahiri nchini, Joseph Haule 'Profesa Jay' akipanda steji ya Dar Live tayari kuwapa burudani mashabiki. Profesa Jay akiwapa hi mashabiki wake wa Dar Live.…

 

11 years ago

GPL

JOH MAKINI NDANI YA DAR LIVE SIKUKUU YA KRISMASI 2013

Mwana Hip Hop Joh Makini kutoka Kundi la Weusi akiwapagawisha maelfu ya mashabiki waliofurika katika Uwanja wa Burudani wa Dar Live uliopo Mbagala - Zakheem, jijini Dar es Salaam sikukuu ya Krismasi.

 

10 years ago

GPL

DIAMOND AMSIFU DAVIDO, KRISMASI NAYE YUPO DAR LIVE

WIKI iliyopita tuliishia pale ambapo staa wa Bongo Fleva, Diamond aliachia video yake ya Number One katika uzinduzi usiyo na kiingilio alioufanya ndani ya Hoteli ya Serena jijini Dar ambapo pia alimzawadia gari, aliyekuwa mwanamuziki nguli nchini, marehemu Muhidin Maalim Gurumo.
Wiki hii tunaendelea ambapo katika kuanika maisha yake, Diamond anasema: Staa wa Bongo Fleva, Diamond. ASIFU KAMPANI YA DAVIDO
“Mwezi wa 10,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani