Diamond: Nitaanza kupiga ‘live’ Krismasi hii
Muziki wa Bongo Fleva unazidi kubadilika kila kukicha, zile zama za kufanya muziki wa ‘play back’ unaanza kupotea taratibu na sasa imefika wakati wa kupiga laivu ambapo kwa staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ atalifanya hilo Sikukuu ya Krismasi mwaka huu ndani ya Dar Live, Mbagala-Zakhem jijini Dar.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania15 Dec
Diamond kuanza kupiga ‘live’ Krismasi hii
Na Mwandishi Wetu
STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ pamoja na kundi lake zima la Wasafi Classic Baby (WCB), wanatarajia kuanza kupiga ‘live’ kwa kutumia vyombo nyimbo zao zote kuanzia Sikukuu ya Krismasi mwaka huu (Desemba 25) ndani ya Uwanja wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar.
Akizungumza na gazeti hili, Diamond anayetamba kwa wimbo wake mpya unaojulikana kwa jina la Utanipenda, alisema mwaka huu umekuwa na mabadiliko makubwa kwake kimuziki...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uY3PJt2fxPz7qGkOK4SzNrzhXptx0HiLAHlFnypSMvIkE5q3OZmCYsEUcaR2z5pHY8LxT7cBwgI6rMCZmE4yPdtOWLiL3CV7/posterxmascopy.jpg?width=650)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iiq-5qTP3-n3hq5gVvO1nJkkKe*FXLNJqrMpB4Qp5FmdyiXLNR-CHMFsE6-Tz-bmucaRLO9hSAEratjWcnDkJET6bXwOaKgN/Diamond.jpg?width=650)
DIAMOND AMSIFU DAVIDO, KRISMASI NAYE YUPO DAR LIVE
10 years ago
GPL28 Dec
9 years ago
Michuzi17 Dec
9 years ago
Michuzi23 Dec
Diamond awakaribisha mashabiki wake Dar Live X-mas hii
Diamond anayetamba na ngoma ya Utanipenda ameyaongea hayo leo kwenye mkutano maalum uliofanyika Karume, Dar ambao ulihusisha waandishi wa habari na wapenzi wa muziki kwa ajili ya kuzungumzia shoo hiyo kubwa kuliko inayojulikana kama Funga Mwaka...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KtF8hZpsH-0RpoJEv8eKsmtr-UtkiBihBIdWNToEz8KDFGDpBMT*oLFIZcwVud7oSu15nteKozgaN5OVtWo5XA7JtmG64bQd/mastaa.gif?width=650)
MASTAA KUFURIKA... DAR LIVE SIKU YA KRISMASI
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Wakali Dancers wafunika Krismasi Dar Live
Kundi linalobamba Afrika Mashariki kwa miondoko ya kucheza, Wakali Dancers wakikamua jukwaani Sikukuu ya Krismasi ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala- Zakhem jijini Dar .
(PICHA: MUSA MATEJA NA RICHARD BUKOS/GPL)
11 years ago
GPLTASWIRA MBALIMBALI ZA SHOO YA KRISMASI NDANI YA DAR LIVE