Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond kuanza kupiga ‘live’ Krismasi hii

diamond-numzNa Mwandishi Wetu

STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ pamoja na kundi lake zima la Wasafi Classic Baby (WCB), wanatarajia kuanza kupiga ‘live’ kwa kutumia vyombo nyimbo zao zote kuanzia Sikukuu ya Krismasi mwaka huu (Desemba 25) ndani ya Uwanja wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar.

Akizungumza na gazeti hili, Diamond anayetamba kwa wimbo wake mpya unaojulikana kwa jina la Utanipenda, alisema mwaka huu umekuwa na mabadiliko makubwa kwake kimuziki...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Diamond: Nitaanza kupiga ‘live’ Krismasi hii

Muziki wa Bongo Fleva unazidi kubadilika kila kukicha, zile zama za kufanya muziki wa ‘play back’ unaanza kupotea taratibu na sasa imefika wakati wa kupiga laivu ambapo kwa staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ atalifanya hilo Sikukuu ya Krismasi mwaka huu ndani ya Dar Live, Mbagala-Zakhem jijini Dar.

 

9 years ago

Dewji Blog

Funga Mwaka Concert na Diamond Ndani ya Dar Live… Acha Kabisa!

IMG_7348Diamond Platnumz akisema na mashabiki wake waliofurika Dar Live usiku wa kuamkia leoIMG_7989Diamond akicheza na mashabiki wake waliofurika Dar Live.

IMG_7359Akicheza na wacheza shoo wake wa kike.IMG_1416Nyomi ya kufa mtu ndani ya Dar Live wakiendelea kumshangilia Diamond.IMG_7371Wacheza shoo wa kike wa Diamond wakifanya yao.IMG_7324Diamond akiwachombeza mashabiki. IMG_7325Diamond akicheza na wacheza shoo wake wa kiume. IMG_7344Akiongea na mashabiki. IMG_7377

IMG_7379

IMG_7383Diamond akifanya yake na wacheza shoo wake.IMG_7390Diamond baada ya kuwakonga nyoyo mashabiki wake...

 

9 years ago

MillardAyo

Ni headlines za Diamond Platnumz Dec 25 kwenye show ya Funga Mwaka Dar Live…..(+Picha)

Christmas ya mwaka 2015 itabakia kuwa na historia kubwa kwenye dunia ya burudani, 88.5 usiku wa Dec 25 wamepokea shangwe za burudani kutoka kwa Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz kwenye  viwanja vya Dar Live, Mbagala Dar es Salaam. Hapa nimekusogezea picha 20 uone jinsi kilivyohappen Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na […]

The post Ni headlines za Diamond Platnumz Dec 25 kwenye show ya Funga Mwaka Dar Live…..(+Picha) appeared first on...

 

11 years ago

GPL

9 years ago

Mwananchi

Malope, Diamond waiteka Krismasi

Nyota wa muziki wa Injili kutoka Afrika Kusini, Dk Rebecca Malope ameonyesha mfano kwa waimbaji wa muziki huo nchini baada ya kujituma, kuimba muziki huo laivu na kufanya vizuri katika tamasha la kumshukuru Mungu la Krismasi lililofanyika juzi kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Diamond amwaga Krismasi kwa watoto

STAA wa muziki wa Bongo fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinum’ juzi alitembelea kituo cha watoto wanaoishi katika mazingira magumu kilichopo Buguruni, Dar es Salaam kuwafariji na kuwapa zawadi ya Sikukuu...

 

11 years ago

Michuzi

FURSA: MAFUNZO YA KUPIGA ALA ZA MUZIKI KUANZA TENA MWEZI MEI

Action Music Tanzania (AMTz) inatangaza fursa kwa watu wote kujiunga na mafunzo ya kupiga ala za muziki yanayoanza tarehe 3/5/2014, lengo likiwa ni kuwajengea uwezo wanamuziki wa kupiga ala na kufanya maonesho kwa weledi na utaalamu zaidi.
Mafunzo yanayotolewa ni pamoja na upigaji wa ala za muziki zikiwemo gita, kinanda, tarumbeta, saxophone, konga, drum set, na upigaji wa ngoma za asili. Pia yatatolewa mafunzo ya ‘body percussion’ yaani matumizi ya mwili katika kutengeneza midundo ya...

 

9 years ago

Global Publishers

Jipatie tiketi ya bure shoo ya Diamond Krismasi

DIAMOND (4) Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz.

UNATAKA kwenda shoo ya Diamond, Krismasi hii? Kama ndiyo, sasa unaweza kujipatia tiketi ya bure kwenda kwenye shoo hiyo kwa kujibu maswali katika Gazeti la Uwazi kesho Jumanne pamoja na Risasi Mchanganyiko siku ya Jumatano.

DIAMOND (3)Jinsi ya kushiriki, nunua gazeti lako la Uwazi au Risasi Mchanganyiko kisha jibu maswali kiufasaha ndani ya magazeti hayo katika kuponi maalum na washindi watano kila gazeti watajishindia tiketi ya bure kwenda kwenye shoo ya...

 

9 years ago

Michuzi

Rebeca Malope kutikisa Diamond Tamasha la Krismasi

MWIMBAJI nguli wa muziki  wa Injili barani Afrika, Rebecca Malope ambaye ni raia wa Afrika Kusini anatarajia kuongeza nguvu katika Tamasha la Krismasi linalotarajia kufanyika Desemba 25 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama muimbaji huyo atakuwa jukwaa moja na wenzake Sarah K wa Kenya  na Ephraim Sekeleti  wa Zambia ambao watafikisha shukrani za Watanzania baada ya kufanya uchaguzi Mkuu kwa amani na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani