Kumekucha tamasha la Saba la Muziki wa Cigogo 2014
Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Sanaa Chamwino ‘CAC’, Dr. Kedmon Mapana (katikati) akifafanua jambo kwa wanahabari (hawapo pichani) wakati wa mkutano wa utambulisho wa tamasha la saba la muziki wa Cigogo 2014. Kushoto kwake ni Katibu wa CAC, Sospeter Elisha Mapana na wa upande wa kulia ni Nason Mazengo, Kaimu Mkurugenzi.
-Dk . Nchimbi kubariki ufunguzi kesho
Na Andrew Chale, Dodoma
SHAMRA shamra za tamasha la Muziki wa Cigogo zinatarajia kulipuka hiyo kesho Julai 25, kwenye kijiji cha...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7SoSD7S8qio/UwuNPXCw0aI/AAAAAAAFPRQ/szJ5e9woZYQ/s72-c/unnamed+(2).jpg)
Kumekucha! Maandalizi ya Tamasha la Kimataifa la 33 la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo Septemba 2014 yaanza mapemaaaa!
![](http://1.bp.blogspot.com/-7SoSD7S8qio/UwuNPXCw0aI/AAAAAAAFPRQ/szJ5e9woZYQ/s1600/unnamed+(2).jpg)
Na Andrew Chale, Bagamoyo
TAMASHA la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo ambalo kwa mwaka huu (2014) litakuwa la 33, ambapo linatarajia kulindima kwa siku saba, kuanzia Septemba 22 hadi 28, kwenye viunga vya Chuo cha Sanaa Bagamoyo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-uGyfaVYssAQ/UwuNPmarSKI/AAAAAAAFPRY/H2hZsSb4PEQ/s1600/unnamed+(3).jpg)
Tamasha hilo la 33, mwaka huu, lenye kauli mbiu, “Sanaa na Utamaduni katika kukuza Utalii”, limekuwa msaada mkubwa kwa wasanii na vikundi mbali mbali kujitangaza kitaifa na kimataifa pamoja na kutoa fursa za kibishara katika kipindi chote cha...
11 years ago
Mwananchi25 Dec
Kumekucha Tamasha la Krismasi leo
11 years ago
Michuzi05 Jul
ON SABA SABA DAY MONDAY JULY 7, 2014 UNIGLOBE SKYLINK OFFICE WILL REMAIN CLOSED
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/ocDnBwHFVvIRKFEd1hDKfRcRXx-am8OXSyyV_F9ccIya2pbT-CTyzBOp5iCcnZtH5WQD08ExLh1z9JsGCfG5VPHSY4vHqdMeNB9HZAniBJwk=s0-d-e1-ft#http://ih.constantcontact.com/fs127/1113965920390/img/3.jpg)
ON ACCOUNT OF SABA SABA DAY, OUR OFFICE WILL REMAIN CLOSED ON 7TH JULY, 2014. FOR ALL YOUR URGENT BOOKINGS ETC, PLEASE CONTACT OUR BRANCH OFFICE AT JULIUS NYERERE INTERNATIONAL AIRPORT, TERMINAL 2 ON TEL. NOS. 022-2842738 OR 0713-540881 FOR FURTHER ASSISTANCE. WE WOULD LIKE TO WISH YOU A HAPPY SABA SABA DAY! MANAGEMENT - UNIGLOBE SKYLINK TRAVEL & TOURS LIMITED
9 years ago
Dewji Blog18 Sep
Kumekucha tamasha la 34 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo kufanyika Sept 21-27
![2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/26.jpg)
11 years ago
KwanzaJamii06 Aug
Safari ya Wakulima Kutoka ‘Saba Saba’ Dar 1977 Hadi ‘Nane Nane’ Dodoma 2014
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
Mikoa saba yalitaka Tamasha la Pasaka
MIKOA saba imeomba kuandaa Tamasha la Pasaka linalofanyika kila mwaka. Kwa mujibu wa habari zilizopatikana kutoka ndani ya Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka, kumekuwa na maombi mengi ya...
11 years ago
Michuzi27 Jul
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Tamasha la Muziki Kenya