Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kumekucha tamasha la Saba la Muziki wa Cigogo 2014

picha 1

Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Sanaa Chamwino ‘CAC’, Dr. Kedmon Mapana (katikati) akifafanua jambo kwa wanahabari (hawapo pichani) wakati wa mkutano wa utambulisho wa tamasha la saba la muziki wa Cigogo 2014. Kushoto kwake ni Katibu wa CAC, Sospeter Elisha Mapana na wa upande wa kulia ni Nason Mazengo, Kaimu Mkurugenzi.

-Dk . Nchimbi kubariki ufunguzi kesho

Na   Andrew Chale, Dodoma

SHAMRA shamra za tamasha la Muziki wa Cigogo zinatarajia kulipuka hiyo kesho Julai 25, kwenye kijiji cha...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Kumekucha! Maandalizi ya Tamasha la Kimataifa la 33 la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo Septemba 2014 yaanza mapemaaaa!


Na Andrew Chale, Bagamoyo 
TAMASHA la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo ambalo kwa mwaka huu (2014) litakuwa la 33, ambapo linatarajia kulindima kwa siku saba, kuanzia Septemba 22 hadi 28, kwenye viunga vya Chuo cha Sanaa Bagamoyo. 
 Tamasha hilo la 33, mwaka huu, lenye kauli mbiu, “Sanaa na Utamaduni katika kukuza Utalii”, limekuwa msaada mkubwa kwa wasanii na vikundi mbali mbali kujitangaza kitaifa na kimataifa pamoja na kutoa fursa za kibishara katika kipindi chote cha...

 

11 years ago

Mwananchi

Kumekucha Tamasha la Krismasi leo

Mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili Afrika Kusini, Solly Mahlangu ametua nchini jana na kuahaidi kuwapa Wwatanzania burudani ya kutosha kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo.“Ni mara yangu ya kwanza kuja Tanzania, nilikuwa napasikia tu sikuwahi kufika, namshukuru Mungu kwa kuniwezesha

 

11 years ago

Michuzi

ON SABA SABA DAY MONDAY JULY 7, 2014 UNIGLOBE SKYLINK OFFICE WILL REMAIN CLOSED


ON ACCOUNT OF SABA SABA DAY, OUR OFFICE WILL REMAIN CLOSED ON 7TH JULY, 2014. FOR ALL YOUR URGENT BOOKINGS ETC, PLEASE CONTACT OUR BRANCH OFFICE AT JULIUS NYERERE INTERNATIONAL AIRPORT, TERMINAL 2 ON TEL. NOS. 022-2842738 OR 0713-540881 FOR FURTHER ASSISTANCE. WE WOULD LIKE TO WISH YOU A HAPPY SABA SABA DAY! MANAGEMENT - UNIGLOBE SKYLINK TRAVEL & TOURS LIMITED

 

9 years ago

Dewji Blog

Kumekucha tamasha la 34 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo kufanyika Sept 21-27

1

Mwenyekiti wa Tamasha la 34 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni, John Mponda (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam  kuhusu tamasha hilo litakalofanyika kuanzia tarehe 21 hadi 27, 2015 katika Kumbi na Viunga vya Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa), mkoani Pwani. Kulia ni Katibu wa Tamasha hilo na Ofisa Biashara, Benjamini Malimbali na Ofisa Habari, Sophia Mtakajimbo. 2  Hapa Mwenyekiti wa Tamasha hilo, John Mponda (kulia) akisisitiza jambo...

 

11 years ago

KwanzaJamii

Safari ya Wakulima Kutoka ‘Saba Saba’ Dar 1977 Hadi ‘Nane Nane’ Dodoma 2014

Na Daniel Mbega, Iringa NAUKUMBUKA mwaka 1978 vizuri sana, kwani wakati huo nilikuwa bado kijana mdogo, nikiwa nimetinga lubega, sime kiunoni, fimbo mkono wa kulia na mkuki mkono wa kushoto, nikichunga ng’ombe huko ‘Tanganyika’, ambako maendeleo ndiyo kwanza tulikuwa tukiyasikia kupitia Redio Tanzania (kwa wale waliokuwa na redio za mkulima). Maendeleo ulikuwa msamiati mgeni kabisa, huku zikiwa kama simulizi ambazo hazikuwa na tofauti na zile za akina babu walizokuwa wakitupigia nyakati za...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mikoa saba yalitaka Tamasha la Pasaka

MIKOA saba imeomba kuandaa Tamasha la Pasaka linalofanyika kila mwaka. Kwa mujibu wa habari zilizopatikana kutoka ndani ya Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka, kumekuwa na maombi mengi ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tamasha la Muziki Kenya

Maelfu ya wanafunzi hukusanyika kuonesha vipaji vyao katika sanaa za utamaduni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani