Kumekucha Uhuru Marathoni
Wanariadha zaidi ya 4000 kutoka ndani na nje ya nchi watachuana kwenye mbio za Uhuru Marathon zitakazofanyika kesho jijini Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog20 Apr
Watanzania wafanya vizuri mbio za Ngorongoro Marathoni 2015
10 years ago
MichuziHatua za mwisho za Maandalizi Mbio za Kilimanjaro Marathoni 2015
10 years ago
MichuziTAMASHA LA HISTORICAL MARATHONI KUFANYIKA JUNI 14 MWAKA HUU.
Na Avila Kakingo,Globu ya Jamii.WANANCHI jitokezeni katika kushiriki tamasha la Bagamoyo historical Marathoni linatarajia kufanyika Juni 14 mwaka huu tamasha litakalo fanyika Wilaya Bagamoyo.
Hayo yamesemwa na Msemaji wa kampuni ya Vision Investiment Dominic Mosha wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Iadara ya Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam leo.
Mosha alisema kuwa Tamasha la mwaka huu litakuwa na kauli mbiu ya “ANZA KUKIMBIA, UJIKINGE NA MAGONJWA...
Hayo yamesemwa na Msemaji wa kampuni ya Vision Investiment Dominic Mosha wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Iadara ya Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam leo.
Mosha alisema kuwa Tamasha la mwaka huu litakuwa na kauli mbiu ya “ANZA KUKIMBIA, UJIKINGE NA MAGONJWA...
10 years ago
VijimamboTAMASHA LA HISTORICAL MARATHONI KUFANYIKA BAGAMOYO JUNI 14 MWAKA HUU
Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria katika mkutano wa kutangazwa kwa Tamasha la Historical Marathoni litakalofanyika...
10 years ago
MichuziMSIMU WA 13 WA MBIO ZA KIMATAIFA ZA KILIMANJARO MARATHONI WAZINDULIWA MJINI MOSHI
10 years ago
MichuziMBIO ZA KIMATAIFA ZA NGORONGORO MARATHONI SASA KUFANYIKA APRILI 18 MWAKA HUU
11 years ago
MichuziUANDIKISHAJI KWA WAKIMBIAJI WA MBIZO ZA KILIMANJARO MARATHONI UNAENDELEA KEYS HOTEL, MOSHI
10 years ago
MichuziMAANDALIZI YA KILIMANJARO MARATHONI YAPAMBA MOTO,KLABU YA RIADHA YA HOLILI YAPELEKA WANARIADHA WAKE MAZOEZINI KENYA
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-TI4uM2ffQhFZmrjVFk2v5EQSkvhtOa82tTlzw*SelvIl8Rz4inTGHxStY7qey0KROkbfom3b6w7oSXk-T7i392QZQQX*ytX/jkuhuru.jpg?width=650)
RAIS JK AWASILI UWANJA WA UHURU KUONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 52 YA UHURU WA TANGANYIKA
Rais Jakaya Kikwete akiwasili katika Uwanja wa Uhuru kwa maadhimisho ya miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika hivi punde. Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa sasa amewasili katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam kuongoza maadhimisho ya miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika uliopatikana Desemba 9, 1961.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10