Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kumekucha Uhuru Marathoni

Wanariadha zaidi ya 4000 kutoka ndani na nje ya nchi watachuana kwenye mbio za Uhuru Marathon zitakazofanyika kesho jijini Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Watanzania wafanya vizuri mbio za Ngorongoro Marathoni 2015

Waziri mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wengine mbalimbali wakiwemo waandaji muda mfupi kabla ya kuanza kwa mbio za Km 21 Katika gate la kuingilia hifadhi ya taifa ya Ngorongoro. Waziri mkuu Mstaafu Frederick Sumaye akikimbia sambamba na Rais wa shirikisho la Riadha Tanzania, RT, Athony Mtaka (Kushoto kwake) Mkuu wa mkoa wa Arusha ,Daud Ntibenda, pamoja na mkuu wa wilaya ya Karatau, Omary Kwaang kuashiria kuanza kwa mbio za Ngorongoro Marathoni.

 

10 years ago

Michuzi

Hatua za mwisho za Maandalizi Mbio za Kilimanjaro Marathoni 2015

Mabango mbalimbali yakiwa yamewekwa maeneo mbalimbali ya mji wa Moshi kuashiria kuanza kwa shamrashamra za mbio za Kilimanjaro Marathoni.Baadhi ya wageni wakijiandikisha kukimbia mbio ndefu za kilometa 42 ambapo zoezi la uandikishaji linafanyika katika hotel ya Keys mjini Moshi.Washiriki wa mbio za Kilometa 21 zinazodhaminiwa na kampuni ya mawasiliano ya Tigo wakijiandikisha kwa ajili ya kupata namba maalumu wakati wa kukimbia mbio hizo. Baadhi ya wakimbiaji wakijaza fomu kwa ajili ya...

 

10 years ago

Michuzi

TAMASHA LA HISTORICAL MARATHONI KUFANYIKA JUNI 14 MWAKA HUU.

Na Avila Kakingo,Globu ya Jamii.

WANANCHI jitokezeni katika kushiriki  tamasha la Bagamoyo historical Marathoni linatarajia kufanyika Juni 14 mwaka huu tamasha litakalo fanyika Wilaya Bagamoyo.


 Hayo yamesemwa na  Msemaji wa kampuni ya Vision Investiment Dominic Mosha wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Iadara ya Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam leo.


Mosha alisema kuwa Tamasha la mwaka huu  litakuwa na kauli mbiu ya  “ANZA KUKIMBIA, UJIKINGE NA MAGONJWA...

 

10 years ago

Vijimambo

TAMASHA LA HISTORICAL MARATHONI KUFANYIKA BAGAMOYO JUNI 14 MWAKA HUU

 Msemaji wa kampuni ya Vision Investiment, Dominic Mosha katikati akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na  tamasha la Historical Marathoni  katika ukumbi wa Idara ya habari Maelezo jijini Dar es Salaam leo, kushoto ni Meneja mawasiliano wa kampuni ya Vision Investment Dorah Raymond na kulia ni Meneja wa Fedha wa kampuni ya  Vision Investment Fatma Mfundo.  
 Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria katika  mkutano wa kutangazwa kwa Tamasha la Historical Marathoni litakalofanyika...

 

10 years ago

Michuzi

MSIMU WA 13 WA MBIO ZA KIMATAIFA ZA KILIMANJARO MARATHONI WAZINDULIWA MJINI MOSHI

Katibu tawala wa mkoa wa Kilimanjaro Seveline Kahitwa akiwa ameshika bendera kuashiria uzinduzi wa msimu wa 13 wa mbio za kimataifa za Kilimanjaro Marathoni,Uzinduzi uliofanyika Hotel ya Kibo Homes,Wengine ni Viongozi katika kampuni ambazo zimejitkeza kudhamini mbio hizo Katibu tawala wa mkoa wa Kilimanjaro Seveline Kahitwa akizungumza wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa msimu wa 13 wa mbio za kimataifa za Kilimanjaro Marathoni,Uzinduzi uliofanyika Hotel ya Kibo Homes, Meneja wa Bia ya...

 

10 years ago

Michuzi

MBIO ZA KIMATAIFA ZA NGORONGORO MARATHONI SASA KUFANYIKA APRILI 18 MWAKA HUU

Waandaaji wa mbio za kimataifa za Ngorongoro Maratahoni katika mkutano na wanahabari kuzungumzia maandalizi ya mwisho ya mbio hizo zinazotarajia kufanyika Aprili 18 mwaka huu ,Karatu mkoani Arusha. Picha zaidi BOFYA HAPA

 

11 years ago

Michuzi

UANDIKISHAJI KWA WAKIMBIAJI WA MBIZO ZA KILIMANJARO MARATHONI UNAENDELEA KEYS HOTEL, MOSHI

Uandikishaji kwa wakimbiaji wa mbio za Km 5 Fun Run ukiendelea katika hoteli ya Keys mjini Moshi. Mbio hizi hufanyika kila mwaka katika Jumapili ya mwisho ya mwezi Juni Katika banda la Vodacom shughuli za uandikishaji kwa wakimbiaji wa mbio za Km 5 Fun Run zikienndelea. Kampuni ya GAPCO pia wapo kuhakikisha mbio za walemavu zinafana mwaka huu
Kwa wale wanaokimbia wakitizama muda hawa jamaa pia wamepiga kambi Keys Hotel.
Upande wa wadhamini wakuu mbio hizo Kilimanjaro...

 

10 years ago

Michuzi

MAANDALIZI YA KILIMANJARO MARATHONI YAPAMBA MOTO,KLABU YA RIADHA YA HOLILI YAPELEKA WANARIADHA WAKE MAZOEZINI KENYA

Mkurugenzi wa klabu ya riadha ya Holili (HYAC) Domician Genand akizungumza juu ya maandalizi ya mbio za kimataifa za Kilimanjaro Maratahoni kwa wanariadha wake ambao baadhi yao amewapeleka nchini Kenya kwa ajili ya mazoezi.Baadhi ya wanariadha walioko katika kambi ya klabu ya riadha ya Holili wakicheza Draft ambapo miongoni mwao yumo mkimbiaji wa Kimataifa ,Osward Levelian ambaye anajiandaa na Mbio za Marathoni kilometa 42 zitakazofanyika nchini Nchina hivi karibuni.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

11 years ago

GPL

RAIS JK AWASILI UWANJA WA UHURU KUONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 52 YA UHURU WA TANGANYIKA

Rais Jakaya Kikwete akiwasili katika Uwanja wa Uhuru kwa maadhimisho ya miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika hivi punde. Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa sasa amewasili katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam kuongoza maadhimisho ya miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika uliopatikana Desemba 9, 1961.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani