Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kundi la Orijino Komedy wajiunga na Huduma ya Bima itolewayo na CRDB Microfinance Insurance Brokers

CRDB Microfinance Insurance Brokers ambao ni wakala wa bima za aina zote ikiwemo bima ya afya, moto, nyumbani na maisha wakishirikiana na kampuni zaidi ya kumi za bima nchini Tanzania,wamefanikiwa kuwapatia huduma ya bima ya maisha,mazishi na ulemavu wa kudumu Kundi la Wasanii wa Vichekesho la Orijino Komedy Company wao na familia zao kupitia African life Assurance (Tanzania) Ltd na bima ya afya wao na familia zao kupitia Kampuni ya AAR Insurance Tanzania.
CRDB Microfinance wanayo furaha...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ORIJINO KOMEDY KUKAMUA TAMASHA LA TIGO JIJINI MWANZA

Msanii wa Kundi la Orijino Komedy, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’  (katikati) akielezea jinsi kundi lake litakavyofanya makamuzi kwenye tamasha hilo. Kushoto ni Isaya Mwakilasa ‘Wakuvanga’ na Lukas Mhuvile ‘Joti’, kulia ni Meneja wa Bidhaa za Tigo, Edwin Mgoha na msanii wa muziki wa kizazi kipya, Farid  Kubanda ‘Fid Q’.
Meneja wa Bidhaa za Tigo akisistiza...

 

10 years ago

Michuzi

Jubilee InsuranceTanzania and R&R Insurance Brokers introduce the first-ever Investment Plan for Tanzanians living in the Diaspora

R&R Insurance Brokers Limited (R&R) in partnership with Jubilee Insurance companies in Tanzania announced the first-ever Investment Plan cover that combines both Life Insurance and Repatriation (Funeral) cover for Tanzanians living in the diaspora.The product named Nyumbani Kwetu, Swahili for My Home has been designed to deliver three components; investment, life and repatriation cover.  Nyumbani Kwetu allows access to ones’ funds after the second year, it has a guaranteed life cover,...

 

10 years ago

TheCitizen

CRDB Bank, Heritage Insurance honoured as best boards

>CRDB Bank and Heritage Insurance emerged winners of the Best Board Leadership Award 2014 aimed at covering the financial sector.

 

10 years ago

Michuzi

Jubilee Insurance kutumia M-PESA kuwawezesha mamilioni ya watanzania wenye kipato cha chini kujiunga na bima ya Afya

Naibu kamishina wa Bima Tanzania, Juma Makame (katikati) akishuhudiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Jubilee Insurance, George Alande (kushoto) na Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Kelvin Twissa wakati akisaini nyaraka za makubaliano ya huduma ya BimaAFYA kati ya Vodacom Tanzania na Jubilee Insurance itakayotolewa kupitia huduma ya M PESA, ambapo Watanzania wenye kipato cha chini watajiunga na huduma hiyo na kupata matibabu kwenye hospitali zaidi ya 150 nchini. Ili kujiunga...

 

10 years ago

GPL

JUBILEE INSURANCE KUTUMIA M-PESA KUWAWEZESHA MAMILIONI YA WATANZANIA WENYE KIPATO CHA CHINI KUJIUNGA NA BIMA YA AFYA‏

Naibu kamishina wa Bima Tanzania, Juma Makame (katikati) akishuhudiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Jubilee Insurance, George Alande (kushoto) na Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Kelvin Twissa wakati akisaini nyaraka za makubaliano ya huduma ya BimaAFYA kati ya Vodacom Tanzania na Jubilee Insurance itakayotolewa kupitia huduma ya M PESA, ambapo Watanzania wenye kipato cha chini watajiunga na huduma hiyo na...

 

10 years ago

Michuzi

Benki ya CRDB na kampuni ya Bima ya Heritage zanyakua tuzo za BBLA 2014

  Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. Charles Kitwanga, (Kushoto) akimkabidhi tuzo mshindi wa Tuzo za Bodi yenye Uongozi Bora za 2014 (BBLA) katika sekta ya kibenki, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya CRDB Bw. Martin Mmari (kulia). Benki ya CRDB iliibuka mshindi katika sekta ya kibenki wakati kampuni ya Heritage Insurance iliibuka kinara katika sekta ya bima katika tuzo hizo zilizofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.  Naibu Waziri wa Nishati...

 

11 years ago

GPL

WATEJA 225,000 WA VODACOM WAJIUNGA NA HUDUMA YA UJUMBE MFUPI YA UZAZI SALAMA

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Dk.Seif Rashid (kushoto) akimsikiliza Ofisa Mkuu wa taasisi ya Udhibiti na Kinga ya Magonjwa ya CDC, Angela Makota (kulia) kwenye makabidhiano ya hundi ya Sh. Milioni  149 iliyotolewa na Vodacom Foundation kwa ajili ya kuunga mkono kampeni ya  kuboresha huduma ya afya na Uzazi na Mtoto inayojulikana kama Wazazi Nipendeni.Makabidhiano yalifanyika katika ofisi ya wizara hiyo jijini Dar es...

 

10 years ago

Dewji Blog

UAP Insurance Tanzania yazindua huduma zake mpya na tafrija fupi

DSC_1898Meneja madai wa kampuni ya Bima ya UAP Bw. Michael Emmanuel (kushoto) akiwa na  Ally Athumani Meneja Uandikishaji wa UAP wakati wa utambulisho wa huduma hizo mpya walizo zindua za UAP  JIKINGE  na  UAP FAMILY KINGA  (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog).

Na Andrew Chale, modewjiblog

(Dar es Salaam). Kampuni ya Bima ya UAP   Tanzania,  wamekuja na huduma mpya  mbili za Bima kwa watu wote ambayo itaboresha maisha ya wateja wake ikiwemo katika huduma za matibabu mbalimbali nchini.

Huduma...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani