ORIJINO KOMEDY KUKAMUA TAMASHA LA TIGO JIJINI MWANZA
Msanii wa Kundi la Orijino Komedy, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ (katikati) akielezea jinsi kundi lake litakavyofanya makamuzi kwenye tamasha hilo. Kushoto ni Isaya Mwakilasa ‘Wakuvanga’ na Lukas Mhuvile ‘Joti’, kulia ni Meneja wa Bidhaa za Tigo, Edwin Mgoha na msanii wa muziki wa kizazi kipya, Farid Kubanda ‘Fid Q’. Meneja wa Bidhaa za Tigo akisistiza...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog18 Nov
Original Komedi waacha gumzo jijini Mwanza kwenye Tamasha la Tigo Welcome Pack
![orijino komedy](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/orijino-komedy.jpg)
![Masanja2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/Masanja2.jpg)
![Mpoki](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/Mpoki.jpg)
![MwanaFA2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/MwanaFA2.jpg)
10 years ago
Vijimambo30 Sep
Kundi la Orijino Komedy wajiunga na Huduma ya Bima itolewayo na CRDB Microfinance Insurance Brokers
CRDB Microfinance wanayo furaha...
10 years ago
Dewji Blog13 Nov
Tigo, Original Komedi na Wasanii kibao kutikisa jiji la Mwanza kwenye tamasha la Welcome Pack jumamosi hii
Meneja wa Bidhaa wa Tigo Bw. Edwin Mgoa akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza tamasha kubwa la Tigo welcome pack litakalofanyika uwanja wa ccm Kirumba jijini Mwanza Jumamosi ya wiki hii, tamasha hili litaweza kuwapa wananchi fursa ya kupata maelezo ya kina kuhusu huduma mbalimbali zitolewazo na kampuni ya Tigo.
Msanii wa kundi la Original Komedi Emmanuel Mgaya maarufu kama Masanja akitoa vionjo kwenye mkutano wa waandishi wa habari(hawapo pichani) kwa ajili...
10 years ago
Dewji Blog17 Oct
Kampuni ya Simu za Mkononi Tigo yawawezesha waendesha BodaBoda Jijini Mwanza
Mkurugenzi wa Tigo kanda ya ziwa Ally Maswanya akizungumza na waendesha bodaboda mkoani Mwanza juzi wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo na mpango wa Tigo kuwapa lita moja ya mafuta bure waongezapo lita tatu au zaidi na kulipia kupitia Tigo Pesa.
Mkurugenzi wa Tigo kanda ya ziwa Ally Maswanya akizungumza na waendesha bodaboda mkoani Mwanza, wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo madereva wa Bodaboda na mpango wa Tigo kuwapa lita moja ya mafuta bure waongezapo lita tatu au zaidi kulipia...
10 years ago
Dewji Blog19 May
Kampuni ya Tigo yatoa msaada wa Kompyuta hospitali ya Sekou Toure jijini Mwanza
Meneja Mkuu wa Tigo Diego Gutierrez akimkabidhi Mkuu wa wilaya Nyamagana, Mhe. Baraka Konisaga, moja ya kompyuta 25 zilizotolewa msaada na kampuni ya Tigo kwa hospitali ya Sekou Toure Mkoani Mwanza leo asubuhi.
Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Mhe. Baraka Konisaga akizungumza jambo na Meneja Mkuu wa Tigo Diego Gutierrez, katikati ni Mwenyekeiti wa bodi ya hospitali ya Sekou Toure Mkoani Mwanza Christopher Mwita Gachuma mara baada ya kukabidhi komputa 25 kwa hospitali hiyo.
Meneja Mkuu wa Tigo...
11 years ago
GPLTASWIRA ZA TAMASHA LA UJASIRIAMALI JIJINI MWANZA LEO
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eMYj6Ts8F-0/Uzozc1CjxZI/AAAAAAAFXoA/EfZVwlOWqbs/s72-c/mh-william-ngeleja-waziri-wa-nishati-na-madini-akihutubia-pic-by-baraka-baraka.jpg)
Ngeleja mgeni rasmi tamasha la Pasaka jijini Mwanza
![](http://2.bp.blogspot.com/-eMYj6Ts8F-0/Uzozc1CjxZI/AAAAAAAFXoA/EfZVwlOWqbs/s1600/mh-william-ngeleja-waziri-wa-nishati-na-madini-akihutubia-pic-by-baraka-baraka.jpg)
Mang’era alisema tamasha hilo litakuwa ni la aina yake ambako alitoa wito kwa wakazi wa Kanda ya ziwa kujitokeza kwa wingi katika tamasha...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2Q0csDf3-6A/Uzt5pvhcAZI/AAAAAAAFXwo/SiBJ3JacCUw/s72-c/IMG_5518.jpg)
Vyombo vipya kutumika tamasha la Pasaka jijini Mwanza
![](http://3.bp.blogspot.com/-2Q0csDf3-6A/Uzt5pvhcAZI/AAAAAAAFXwo/SiBJ3JacCUw/s1600/IMG_5518.jpg)
11 years ago
GPLKUTOKA JIJINI MWANZA KATIKA TAMASHA KUBWA LA UJASIRIAMALI LEO