Kupanda na Kushuka kwa Shirikisho la Filamu
SHIRIKISHO la filamu Tanzania (TAFF) lipo kwa miaka kadhaa huku tukishuhudia changamoto nyingi zinazokabiri shirikisho hilo ambalo pamoja na kuanzishwa kwake ni chombo kisichotengeneza fedha kutokana na vyama vinavyounda TAFF kukosa miradi kama michango kutoka kwa wanachama wake.
![Mwakifwamba](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2016/01/Mwakifwamba.jpg)
Rais wa Taff Mwakifwamba
Taff imekuwepo kitambo lakini imekuwa Lulu baada ya kuanzisha michakato yenye tija kwa wasanii na wadau husika kwa chombo hicho kilicho chini ya Rais wake Simon Mwakifwamba ambaye amefanya...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi14 Jan
10 years ago
Habarileo10 Apr
Kushuka, kupanda kwa nauli wiki ijayo
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) imesema hatma ya uamuzi kuhusu iwapo nauli ishuke au la itajulikana wiki ijayo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ujcza9N5GbJsRt9MGVkbQVUarRExx8g5xy8xjO*kD*F2D69V*JsDOkCNBIU2QzuApTDKHo1MM6Myea8ZA6oduqOKbe9SYQxW/10299958_864230110268072_8481715929559943068_n.png?width=600)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Xpj4ZIxcq88/default.jpg)
MCHUMI WA BOT AELEZA SABABU ZA KUSHUKA NA KUPANDA GHAFLA KWA THAMANI YA SHILINGI YA TANZANIA
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Sababu za kupanda, kushuka uchumiÂ
MARA nyingi ikielezwa uchumi wa Tanzania umepanda, wananchi wengi wanakuwa hawaelewi kutokana na kutoona mabadiliko yoyote katika maisha yao ya kila siku. Kwa ujumla, uchumi unabeba mhimili wa mapato ya...
11 years ago
Mwananchi18 Jul
Shule zapigana vikumbo kupanda na kushuka
11 years ago
Habarileo12 Jun
Watanzania wasubiri bei kupanda, kushuka
WATANZANIA leo wanaelekeza macho na masikio yao mjini Dodoma, kusikiliza Hotuba ya Bajeti ya Serikali, inayotarajiwa kusomwa saa 10 kamili bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum. Tayari Waziri Saada alishaeleza kuwa makadirio ya Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2014/15, unaoanza Julai mwaka huu, yatakuwa Sh trilioni 19.6 kutoka makadirio ya Sh trilioni 18.2 ya Bajeti inayoisha muda wake.
9 years ago
Bongo Movies16 Dec
TAMKO LA WASANII WAKONGWE KWA RAIS WA SHIRIKISHO LA FILAMU TANZANIA (TAFF) SIMON MWAKIFWAMBA
TAMKO LA WASANII WAKONGWE KWA RAIS WA SHIRIKISHO LA FILAMU TANZANIA (TAFF) SIMON MWAKIFWAMBA
WASANII Wakongwe katika tasnia ya filamu Swahilihood leo tarehe 16Th December, 2015 katika ukumbi wa Idara ya Habari ya Maelezo wametoa tamko lao kuhusu kumtaka Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Simon Mwakifwamba kugombea nafasi hiyo ambayo alitangaza kutoshiriki kugombea nafasi hiyo kwa kipindi kijacho uchaguzi huo mwezi huu 2015.
Baada ya salamu hizo kwenu tumekuja hapa kwa tukiwa na ya...
10 years ago
Bongo508 Oct
Nikki Mbishi awashirikisha Jaydee, Songa na One kwenye ‘Kupanda na Kushuka’