Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAMKO LA WASANII WAKONGWE KWA RAIS WA SHIRIKISHO LA FILAMU TANZANIA (TAFF) SIMON MWAKIFWAMBA

tasnia

TAMKO LA WASANII WAKONGWE KWA RAIS WA SHIRIKISHO LA FILAMU TANZANIA (TAFF) SIMON MWAKIFWAMBA

WASANII Wakongwe katika tasnia ya filamu Swahilihood leo tarehe 16Th December, 2015 katika ukumbi wa Idara ya Habari ya Maelezo wametoa tamko lao kuhusu kumtaka Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Simon Mwakifwamba kugombea nafasi hiyo ambayo alitangaza kutoshiriki kugombea nafasi hiyo kwa kipindi kijacho uchaguzi huo mwezi huu 2015.

Baada ya salamu hizo kwenu tumekuja hapa kwa tukiwa na ya...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Wasanii wakongwe wa filamu wamtaka Mwakifwamba  aendelee  kuwa rais wao

1.Kutoka kushoto ni wasanii wakongwe wa kuigiza, Ramadhan Mrisho, Ahmed Olotu (Mzee Chilo) na Salome Sokoni (Mama Abdul.

Kutoka kushoto ni wasanii wakongwe wa kuigiza, Ramadhan Mrisho ‘Mashaka’, Ahmed Olotu ‘Mzee Chilo’ na Salome Sokoni ‘Mama Abdul’.

2.Msanii mkongwe wa maigizo, Salome Sokoni Nonge 'Mama Abdul' aliyoko kulia akitoa ufafanuzi wa jambo.

Msanii mkongwe wa maigizo, Salome Sokoni Nonge ‘Mama Abdul’ aliyeko kulia akitoa ufafanuzi wa jambo.

3.Wanahabari wakifuatilia mkutano huo.

Wanahabari wakifuatilia mkutano huo.

4.Mkutano ukiendelea.

Mkutano ukiendelea.

WAKONGWE wa Filamu hapa nchini, wakiongozwa na Ahmed Olotu ‘Mzee Chilo’ wamemtaka Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba kugombea tena nafasi yake ya urais kwa mwaka 2015  ili awe...

 

10 years ago

Raia Mwema

Ilikuwa hafla ya ghafla kwa ajili ya wasanii kuwaaga wasanii wakongwe

Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.

Hidaya

 

9 years ago

Mtanzania

Mwakifwamba atoa onyo kali kwa wasanii

mwakiNA GEORGE KAYALA
RAIS wa Shirikisho la Filamu nchini (TAFF), Simon Mwakifwamba, amewaonya wasanii wa filamu na wale wanaounga mkono Shirikisho hilo kutogombana na amewataka waungane kwa ajili ya kufanya kazi.

Akizungumza na MTANZANIA, Mwakifwamba alisema kuwa kwa muda mrefu kumekuwa na hali ya vuta nikuvute baina ya makundi hayo ya wasanii ugomvi uliochangia kuirudisha nyuma tasnia hiyo

“Tunashukuru ugomvi umeisha, sioni sababu ya wasanii kurudia hiyo tabia ya kutupiana vijembe kwani...

 

10 years ago

Michuzi

TAMKO LA SHIRIKISHO LA VYUO VYA ELIMU YA JUU TANZANIA-CCM

 

SHIRIKISHO la Taifa tunawapongeza wajumbe wote wa vikao vyote vya maamuzi ndani ya chama chetu kwa kutenda haki na kumteua mgombea safi, muadilifu, mchapa kazi, mzalendo, ambaye hakuwa na kundi na hadi kwa sasa hana kundi, mwenye dhamira ya dhati na utashi wa kudumisha umoja na mshikamano ndani na nje ya chama chetu.
Shirikisho Taifa tunapenda kuchukua fursa hii kuwapongeza Mheshimiwa Daktari John Pombe Magufuli na Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani kuteuliwa kuwa wapeperusha bendera ya CCM...

 

11 years ago

Michuzi

Shirikikisho la Wasanii wa Filamu Tanzania lawasilisha maoni ya utafiti wa tasnia ya filamu nchini

 Mkurugenzi wa Sera na Mipango kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Joyce Mwakisyala  (katikati )akipokea maoni ya  Utafiti  kuhusu Tasnia ya Filamu Tanzania kutoka kwa Rais wa Shirikisho la Wasanii wa Filamu Tanzania (TAFF) Bwana Simon Mwakifwamba wa kwanza kulia, kushoto ni Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bi Joyce Fissoo  Rais wa Shirikikisho la Wasanii wa Filamu Tanzania (TAFF) Bwana Simon Mwakifwamba wa pili kutoka kulia akionyesha maoni ya  Utafiti ...

 

9 years ago

Bongo Movies

Kupanda na Kushuka kwa Shirikisho la Filamu

SHIRIKISHO la filamu Tanzania (TAFF) lipo kwa miaka kadhaa huku tukishuhudia changamoto nyingi zinazokabiri shirikisho hilo ambalo pamoja na kuanzishwa kwake ni chombo kisichotengeneza fedha kutokana na vyama vinavyounda TAFF kukosa miradi kama michango kutoka kwa wanachama wake.

Mwakifwamba

Rais wa Taff Mwakifwamba

Taff imekuwepo kitambo lakini imekuwa Lulu baada ya kuanzisha michakato yenye tija kwa wasanii na wadau husika kwa chombo hicho kilicho chini ya Rais wake Simon Mwakifwamba ambaye amefanya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TAFF yawapongeza wasanii Hamadombe

RAIS wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifamba, amewapongeza wasanii wa kundi la sanaa za maigizo la Hamadombe la jijini Dar es Salaam, kwa juhudi zao za kuuza kazi...

 

10 years ago

Michuzi

Shirikisho la Filamu Tanzania laomba Wadau mbalimbali kutoa Ufadhili wa Tuzo za TAFA.

  Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu (wakwanza kulia ) akisisitiza jambo kwa viongozi wa Shirikisho la Filamu hawapo pichani kuhusu maandalizi ya Tuzo za Filamu kulia ni Afisa wa Bodi ya Filamu Bw.Benson Mkenda.Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu katikati  Bibi Joyce Fisoo akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Shirikisho la Filamu nchini,  kushoto ni Rais wa Shirikisho la Filamu Bw. Simon Mwakifwamba.Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania Bw. Simon Mwakifwamba (wakwanza kushoto) akizungumza na...

 

11 years ago

Mwananchi

Harakati za TAFF kuhusu Sera za Filamu na Miliki Bunifu

>Japo sekta ya filamu nchini ni sekta tajiri sana, lakini imekuwa haipewi kipaumbele na Serikali ingawa haiepukiki kuwa Tanzania ni moja ya nchi chache sana zenye maeneo mazuri ya kuvutia yanayofaa kabisa kwa kutengenezea filamu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani