Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasanii wakongwe wa filamu wamtaka Mwakifwamba  aendelee  kuwa rais wao

1.Kutoka kushoto ni wasanii wakongwe wa kuigiza, Ramadhan Mrisho, Ahmed Olotu (Mzee Chilo) na Salome Sokoni (Mama Abdul.

Kutoka kushoto ni wasanii wakongwe wa kuigiza, Ramadhan Mrisho ‘Mashaka’, Ahmed Olotu ‘Mzee Chilo’ na Salome Sokoni ‘Mama Abdul’.

2.Msanii mkongwe wa maigizo, Salome Sokoni Nonge 'Mama Abdul' aliyoko kulia akitoa ufafanuzi wa jambo.

Msanii mkongwe wa maigizo, Salome Sokoni Nonge ‘Mama Abdul’ aliyeko kulia akitoa ufafanuzi wa jambo.

3.Wanahabari wakifuatilia mkutano huo.

Wanahabari wakifuatilia mkutano huo.

4.Mkutano ukiendelea.

Mkutano ukiendelea.

WAKONGWE wa Filamu hapa nchini, wakiongozwa na Ahmed Olotu ‘Mzee Chilo’ wamemtaka Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba kugombea tena nafasi yake ya urais kwa mwaka 2015  ili awe...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

TAMKO LA WASANII WAKONGWE KWA RAIS WA SHIRIKISHO LA FILAMU TANZANIA (TAFF) SIMON MWAKIFWAMBA

tasnia

TAMKO LA WASANII WAKONGWE KWA RAIS WA SHIRIKISHO LA FILAMU TANZANIA (TAFF) SIMON MWAKIFWAMBA

WASANII Wakongwe katika tasnia ya filamu Swahilihood leo tarehe 16Th December, 2015 katika ukumbi wa Idara ya Habari ya Maelezo wametoa tamko lao kuhusu kumtaka Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Simon Mwakifwamba kugombea nafasi hiyo ambayo alitangaza kutoshiriki kugombea nafasi hiyo kwa kipindi kijacho uchaguzi huo mwezi huu 2015.

Baada ya salamu hizo kwenu tumekuja hapa kwa tukiwa na ya...

 

10 years ago

Raia Mwema

Ilikuwa hafla ya ghafla kwa ajili ya wasanii kuwaaga wasanii wakongwe

Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.

Hidaya

 

9 years ago

Bongo5

BASATA yawashauri wasanii kuwa makini na mashabiki wao

Baraza la Sanaa Taifa, BASATA limewataka wasanii kutumia vizuri mashabiki wa muziki wao ili kujenga muziki wao na sio kubomoa. Katibu mkuu wa BASATA, Godfey Mngereza akiwa na Diamond kwenye mapokezi yake baada ya kutoka Marekani, Alhamis hii Akizungumza na Bongo5 jana, katibu mkuu wa BASATA, Godfrey Mngereza , alisema moja ya vitu vinavyosababisha kutoelewana […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Wako Wapi Wakongwe Kunusuru Tasnia ya Filamu?

UKIMUULIZA msanii wa filamu wa hapa nchini, kama sanaa hiyo inalipa, atakujibu ndio inalipa. Ukibadili swali hilo na kumuuliza matatizo ambayo anakumbana nayo katika sanaa hiyo kila mara, atakwambia wizi wa kazi za wasanii kwa baaadhi ya watu wachache ambao hupenda kufaidika kupitia migongo ya wasanii hao.

Hayo ndio mambo ya haraka haraka ambayo wasanii wengi wameyatambua katika sanaa hiyo ambayo kila kukicha inapata wasanii chipukizi ambapo kuna baadhi yao hufikiri kuwa tasnia ya uigizaji...

 

9 years ago

Bongo Movies

Wasanii wa Leo Wanatuogopa Wakongwe – Mau

MSANII wa filamu na vichekesho Maulid Alli ‘Maufundi’ ametoa kali ya mwaka pale aliposema moja ya sababu kubwa ya yeye na wasanii wakongwe kushiriki filamu chache ni uoga wa wasanii walioigia katika tasnia ya filamu sasa na kupata nafasi ya kutengeneza filamu kisha kusambazwa.

“Ni utani kumweka Simba na Swala katika zizi moja eti Simba kashiba, wasanii sisi wa kitambo kile tuna njaa ya kazi tufanye vizuri watazamaji wetu wafurahi na uwezo wa kuigiza upo, hawa wenzetu wana mitaji sasa...

 

9 years ago

Bongo Movies

Soko Haliuliwi na Wasanii Wakongwe- Monalisa

YVONNE Cherryl ‘Monalisa’ mwigizaji mkongwe katika tasnia ya filamu Swahilihood amefunguka kwa kusema kuwa si kweli kama soko la filamu linauliwa na wasanii wakongwe au ambao wapo muda mrefu bali kuna changamoto nyingi.

kweli kama wasanii wakongwe kuwepo katika game ndio wanaua soko la filamu, toka nakua nimekuwa nikisikia wasanii kama Angelina Jolie ana filamu bado zinauza, kwangu wagombea wa Urais wana deni la kulipa,”anasema Monalisa.

Monalisa anaenda mbele zaidi kwa kusema kuwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mau: Wasanii wa Leo Wanatuogopa Wakongwe

Staa wa filamu na vichekesho Maulid Alli ‘Maufundi’ ametoa kali ya mwaka pale aliposema moja ya sababu kubwa ya yeye na wasanii wakongwe kushiriki filamu chache ni uoga wa wasanii walioigia katika tasnia ya filamu sasa na kupata nafasi ya kutengeneza filamu kisha kusambazwa.

“Utani kumweka Simba na Swala katika zizi moja eti Simba kashiba, wasanii sisi wa kitambo kile tuna njaa ya kazi tufanye vizuri watazamaji wetu wafurahi na uwezo wa kuigiza upo, hawa wenzetu wana mitaji sasa akikupa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Familia Mkoani Singida yamtabiria mtoto wao kuwa Rais mwaka 2050!

DSCN5268

Mzee Nassoro Salum, akiwa mitaani jana na mtoto wake Yusuph ambaye amedai anamjengea mazingira mazuri kuja kuwa Rais wa Tanzania ifikapo mwaka 2050.

Na Nathaniel Limu, Singida

WAKATI Watanzania na dunia nzima leo imeshuhudia kuapishwa  kwa Rais wa tano wa Jamhuri ya Muungano  wa Tanzania, Dk.John Pombe Magufuli, familia moja mkoani Singida, imeanzisha rasmi safari  ya kumwandaa mtoto wao wa kiume mwenye umri wa mwaka moja na miezi nane, kuja kuwa Rais wa Tanzania mwaka 2050.

Mtoto huyo...

 

9 years ago

Bongo5

Man Walter aeleza kwanini wasanii wakongwe wanashindwa kufanya vizuri

Mtayarishaji wa muziki, Man Walter amesema wasanii wakongwe wanashindwa kufanya vizuri kutokana na kushindwa kuendana na mfumo wa muziki wa sasa. Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni, Man Walter alisema wasanii hao wanahitaji ushauri wa ziada ili wafanye vizuri. “Unajua muziki umebadilika sana na wengi wanaoathirika na mfumo huu ni wasanii wakongwe, ndio maana wengi wanashindwa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani