Kupima afya mara kwa mara ni muhimu
Muhimu kumuona Daktari kwa ajili ya kujua afya
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Upimaji afya mara kwa mara ni muhimu
AFYA ni hali ya kuwa vizuri kiakili, kimwili na kiroho. Ili uweze kumudu shughuli ulizonazo na kuishi miaka mingi unapaswa kuwa na afya bora. Vyote hivyo utavipata kama utakula chakula...
11 years ago
Michuziutaratibu wa kutembelea vijijini mara kwa mara kukagua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo ni muhimu - wito
9 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS AADHIMISHA KILELE CHA SIKU YA MARA (MARA DAY) BUTIAMA MKOANI MARA
10 years ago
Vijimambo24 Nov
Mabadiliko ya mara kwa mara ya Mitaala shule za Msingi inawachanganya wanafunzi.
Fikra Pevu
BAADHI ya Walimu wa Shule za Msingi katika jiji la Dar es Salaam wamelalamikia mabadiliko ya mara kwa mara ya mitaala kwa shule za msingi pamoja na idadi kubwa ya masomo kwa wanafunzi wa madarasa yote na kwamba yamekuwa yakiwachanganya wanafunzi na kuwafanya washindwe kumudu masomo yao.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti na FikraPevu jijini humo Novemba 17, 2014 walimu hao wamesema mabadiliko ya mara kwa mara kwa mitaala yanayofanywa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi bila...
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Kinachosababisha rangi ya mkojo, kwenda haja ndogo mara kwa mara
9 years ago
StarTV18 Dec
Waendesha Bajaji Dodoma wagoma madai ya faini za mara kwa mara
Wafanyabiashara wa pikipiki za magurudumu matatu maarufu kama bajaji wa manispaa ya Dodoma wamesitisha kutoa huduma ya usafiri kwa zaidi ya saa nne wakipinga kutozwa faini za mara kwa mara na Mamlaka ya udhibiti wa usafiri wa nchi kavu na majini SUMATRA kwa madai kuwa wamekiuka agizo la mamlaka hiyo kwa kuegesha katika maeneo yasiyo rasmi.
Mgomo huo umekuja baada ya mamlaka hiyo kuzikamata Bajaji 12 za wafanyabiashara hao kwa kuegesha eneo lisilo husika wakitakiwa kulipa faini ya shilingi...
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Fahamu kinachosababisha maumivu ya kichwa, harara, kiungulia mara kwa mara
9 years ago
Mwananchi25 Sep
Tanesco yatoa sababu kukatika umeme mara kwa mara
10 years ago
Bongo Movies26 Mar
Ugumba Wamtesa Wema, Adondosha Chozi Mara kwa Mara!
Tatizo la kutoshika mimba (infertility) au kushindwa kupata mimba (conceive) limekuwa likimtesa staa wa Bongo Movies, Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu na limehusishwa na ugumba.
Akizungumza na gazeti la Amani juu ya ishu hiyo hivi karibuni jijini Dar es Salaam, Wema alisema suala la kutopata mtoto limekuwa likimkosesha amani katika maisha yake ya ukubwani.
Alisema kwamba, amekuwa akishinda akilia kila anapokutana na shosti wake wa sasa, Aunt Ezekiel ambaye ni mjamzito.Wema alitiririka...