KUVURUGIKA KWA MZUNGUKO WA HEDHI
![](http://api.ning.com:80/files/fF4HFdlaoO6gJB0sDGqEu2bR8RcSDFc8MaWcAJmFyPTZcNLzsrAsEU-TxYJMF5xNr6nYkGwIoeHd6SC57Ta2Je4*2rz0LPat/HEDHI.jpg?width=650)
Mzunguko wa hedhi umegawanyika katika maeneo makuu mawili. Kuna ule unaopevusha mayai ‘Ovulatory Cycle’ na usiopevusha mayai ‘Anovulatory Cycle’. Aina hizi za mizunguko tutakuja kuziona kwa undani katika makala zijazo, lakini mzunguko unaopevusha mayai mwanamke anapata ute wa uzazi ambao unavutika na anaweza kupata ujauzito. Mzunguko usiopevusha mayai mwanamke hawezi kupata ujauzito ingawa katika ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboKUELEKEA SIKU YA HEDHI DUNIANI, MTANDAO WA HEDHI SALAMA WAENDESHA SEMINA SHULE YA SEKONDARI ST. ANTHONY
10 years ago
MichuziKUELEKEA SIKU YA HEDHI DUNIANI, MTANDAO WA HEDHI SALAMA WAENDESHA SEMINA SHULE YA SEKONDARI ST. ANTHONY
10 years ago
GPLKUELEKEA SIKU YA HEDHI DUNIANI, MTANDAO WA HEDHI SALAMA WAENDESHA SEMINA SHULE YA SEKONDARI ST. ANTHONY
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-kGmfW1X2Mi4/VJEvOOKhwfI/AAAAAAAAOVE/VgMrIksITGs/s72-c/IMG_8597.jpg)
MHE. HAWA GHASIA ASEMA HAJIUZULU NG'O KUFUATIA KASHFA YA KUVURUGIKA KWA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
![](http://3.bp.blogspot.com/-kGmfW1X2Mi4/VJEvOOKhwfI/AAAAAAAAOVE/VgMrIksITGs/s640/IMG_8597.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RU3LumAILXA/VJEv_lPtkAI/AAAAAAAAOVU/N3cCXNeS1KQ/s640/ghasia.jpg)
10 years ago
BBCSwahili31 Oct
Hedhi yawa fedheha kwa wanawake India
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--gtSP-Yag-M/VWcM91Z4aFI/AAAAAAAHaaI/7XAeXkbAVWE/s72-c/unnamed.jpg)
Changamoto za hedhi kwa wasichana zitafutiwe ufumbuzi wa kudumu
![](http://4.bp.blogspot.com/--gtSP-Yag-M/VWcM91Z4aFI/AAAAAAAHaaI/7XAeXkbAVWE/s640/unnamed.jpg)
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Kwa nini baadhi ya wanawake hukoma hedhi kabla ya umri
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7bnfQ02Gv-Y/VWKpjE1__LI/AAAAAAAC4-c/QNVFJFdWJZg/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Serikali yajipanga kuboresha mazingira rafiki ya hedhi Salama kwa wanafunzi
![](http://3.bp.blogspot.com/-7bnfQ02Gv-Y/VWKpjE1__LI/AAAAAAAC4-c/QNVFJFdWJZg/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Kauli mbiu ya mwaka huu Ikiwa "Usisite Kuzungumzia Hedhi". Wengine kushoto ni Mwandaaji wa maadhimisho hayo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9Ijhbs1O3x0/Xs_TO6ns7QI/AAAAAAALr6Q/uq2W606rk3QlnDWXK4pMT4dIYiyx1ZdHQCLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
Wadau wapambana kuvunja tamaduni ya usiri wa hedhi kwa wasichana katika jamii
Na Amiri kilagalila,Njombe
Jamii nchini imetakiwa kuvunja tamaduni ya usiri na kuona hedhi ni kitu cha kawaida kwa watoto wa kike hali itakayowafanya wasichana kujiamini na kujivunia wanapokuwa hedhi.
Hayo yamebainishwa na kiongozi mkuu wa mradi kutoka shirika la hamble unemployment solution in tanzania Faraja Eliezer ambaye ni mkuu wa idara ya afya na mazingira kutoka shirika hilo,walipofika kituo cha kulea watoto yatima cha Familia ya Upendo Uwemba kilichopo kijiji cha uwemba kwa ajili ya...