Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hedhi yawa fedheha kwa wanawake India

Mila mbaya zinazobagua wanawake, zimefikia mahali ambapo mwanamke kuwa katika siku zake ni fedheha nchini India

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kwa nini baadhi ya wanawake hukoma hedhi kabla ya umri

Tumepokea maswali mengi juu ya suala la kukoma hedhi ghafla, leo tutajibu swali hili.

 

5 years ago

BBCSwahili

India: Gumzo la mwanamke anapokuwa kwenye hedhi limerudi tena mitandaoni

India wanafunzi wa chuo wamelazimishwa kuvua nguo zote kukaguliwa kama wako kwenye hedhi au la

 

10 years ago

Vijimambo

KUELEKEA SIKU YA HEDHI DUNIANI, MTANDAO WA HEDHI SALAMA WAENDESHA SEMINA SHULE YA SEKONDARI ST. ANTHONY

 Kutoka kushoto ni Mkurugenzi mtendaji wa Kasole Secrets Hyasintha Ntuyeko ambao pia ni watengenezaji wa Pads za Glory, Katikati ni Mlezi wa wanafunzi Hilda Minja na Sara Mugele ambaye ni Dean of students  Shule ya Sekondari ya St. Anthony. Daktari Edna Kiogwe akieleza juu ya umuhimu wa elimu ya Hedhi kwa jamii nzima wakati wa semina na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya St. Anthony. Mkurugenzi mtendaji wa Kasole Secrets Hyasintha Ntuyeko ambeye pia ni muandaaji wa siku ya Hedhi...

 

10 years ago

Michuzi

KUELEKEA SIKU YA HEDHI DUNIANI, MTANDAO WA HEDHI SALAMA WAENDESHA SEMINA SHULE YA SEKONDARI ST. ANTHONY

 Daktari Edna Kiogwe akieleza juu ya umuhimu wa elimu ya Hedhi kwa jamii nzima wakati wa semina na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya St. Anthony.Mkurugenzi mtendaji wa Kasole Secrets Hyasintha Ntuyeko ambeye pia ni muandaaji wa siku ya Hedhi Duniani kwa Tanzania akielezea umuhimu wa kutunza Mazingira wanapokuwa Hedhi na kuithamini miundombinu. Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya St. Anthony wakiwa wanafuatilia kwa makini Semina hiyo. Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya St....

 

10 years ago

GPL

KUELEKEA SIKU YA HEDHI DUNIANI, MTANDAO WA HEDHI SALAMA WAENDESHA SEMINA SHULE YA SEKONDARI ST. ANTHONY‏

 Kutoka kushoto ni Mkurugenzi mtendaji wa Kasole Secrets Hyasintha Ntuyeko ambao pia ni watengenezaji wa Pads za Glory, Katikati ni Mlezi wa wanafunzi Hilda Minja na Sara Mugele ambaye ni Dean of students  Shule ya Sekondari ya St. Anthony.  Daktari Edna Kiogwe akieleza juu ya umuhimu wa elimu ya Hedhi kwa jamii nzima wakati wa semina na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya St. Anthony. Mkurugenzi… ...

 

10 years ago

Michuzi

WANAWAKE WA INDIA WATEMBELEA VIKUNDI VYA WANAWAKE WAJASIRIAMALI MKURANGA

Mwakilishi wa Wanachama wa Ushirika wa Wanawake waliojiairi wenyewe kutoka India (SEWA), Labhu Thakkar akizungumza katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kuranga wakati walipotembelea vikundi vya wajasiriamali vilivyopo wilayani hapo. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Mercy Sila na mlezi wa Kikundi cha Kiwalani Women Group ambaye pia ni mke wa mbunge wa Mkuranga, Naima Malima. Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Mercy Sila akizungumza na Wanachama wa Ushirika wa Wanawake waliojiairi wenyewe kutoka...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Hospitali ya India iliyoweza kuzalisha watoto 100 kutoka kwa wanawake wenye Covid-19

Timu ya madaktari 65 na wauguzi 24 imewatibu wanawake walioambukizwa virusi vya corona nchini India.

 

10 years ago

Mwananchi

Kilio hiki cha Nida ni fedheha kwa Serikali

Kilio cha sasa cha Wakala wa Vitambulisho vya Taifa (Nida) kwamba hawana fedha wala wafanyakazi wa kutosha, siyo kipya kwenye masikio ya Watanzania. 

 

10 years ago

Dewji Blog

Wawekezaji wa Mji Mkongwe: ni Neema au Fedheha kwa Wakaazi wenyeji?

dsc_02493

Hakika kwa mtu yoyote anayekaa mji Mkong’we, hasa katika maeneo ambayo yamevamiwa na hoteli za kitaali, makazi katika mji wa kihistoria umekuwa ni bughdha kubwa. Mmoja wa wakazi hao anasema, “Watoto wetu wamekuwa sasa wanashinda na kucheza na walinzi wa kampuni za ulinzi maana maeneo yote yananunuliwa au kuchukuliwa na wageni wanaoanzisha biashara jambo linalowafanya wenyeji wengi kuuhama Mji Mkongwe.

Huduma nyingi za msingi zimekuwa kama ndoto Mji Mkongwe. Kwa mfano kwa wakaazi wa Shangani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani