Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwa nini aliyechelewesha fedha za wanafunzi hajaguswa?

Wiki hii Serikali ilikuwa kwenye mapambano mengine na wanafunzi wa vyuo vikuu ambao waliamua kugoma wakishinikiza kulipwa fedha zao za kujikimu ambazo kiutaratibu zinatoka Bodi ya Mikopo ambayo imedaiwa kuchelewesha fedha hizo kwa zaidi ya wiki 11.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Kwa nini serikali ya Kenya haina fedha?

Wabunge nchini Kenya wanakutana katika kikao cha dharura ili kubaini kwa nini serikali haina fedha.

 

10 years ago

Vijimambo

TAARIFA KWA UMMA. SERIKALI YA WANAFUNZI CHUO CHA USIMAMIZI WA FEDHA (IFM-SO) YAKANUSHA KUMPIGIA DEBE LOWASA.

Serikali ya wanafunzi wa chuo cha usimamizi wa fedha (IFMSO), kupitiamsemaji wake mkuu ambaye ni Rais wa Serikali ya wanafunzi, nduguClinton Boniface inakanusha taarifa zilizotolewa na gazeti la NIPASHEtoleo namba 0578395 la tarehe 19/02/2015, lenye kichwa cha habari“WANAFUNZI WA IFM WAMTAKA LOWASA URAIS” na kwamba habari hizohazijatolewa na uongozi wa IFMSO, wala hakuna mkutano wowoteuliofanyika katika eneo la chuo cha usimamizi wa fedha kati yawaandishi wa habari na uongozi wa serikali ya...

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge walia na fedha za wanafunzi

WABUNGE waiomba serikali kuongeza fedha za mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu, kurejesha Idara ya Ukaguzi na kulipa malimbikizo yote wanayodaiwa na walimu.

 

9 years ago

Mtanzania

Mwalimu arejesha fedha za wanafunzi

Na Abdallah Amiri, Igunga

MWALIMU wa Shule ya Sekondari Igunga Day, mkoani Tabora, aliyedaiwa kuwachangisha wanafunzi wa kidato cha tatu zaidi ya Sh milioni 2.8 kwa ajili ya kwenda mbuga za wanyama Ngorongoro kujifunza, ameanza kurejesha fedha hizo.

Hatua hiyo imefikia hapo siku chache baada ya gazeti hili kuripoti juu ya mwalimu huyo, Paulo Msabila kukusanya kiasi hicho cha fedha.

Akizungumza na gazeti hili juzi Mkuu wa Shule hiyo, Nelson Edward alisema Mwalimu Msabila alionekana Desemba...

 

5 years ago

Michuzi

DC NDEJEMBI AMPA SIKU SABA MKANDARASI ALIYECHELEWESHA MRADI WA MAJI KUMPA MAELEZO

Charles James, Globu ya Jamii

MKUU wa Wilaya ya Kongwa, Mhe Deo Ndejembi amemuagiza Mhandisi wa Maji wilaya kuanza kumkata kiasi cha fedha anachodai za siku 100 mkandarasi anaejenga mradi wa maji wa kijiji cha Mihingo.

Mradi huo unagharimu kiasi cha Sh Milioni 600 unajengwa na serikali katika kumaliza changamoto ya maji kijijini hapo lakini pia ukienda na sera ya Rais Magufuli ya kumtua ndoo mama kichwani lakini mpaka sasa umekua ukisuasua.

Baada ya kufika katika mradi huo na kujionea maendeleo...

 

5 years ago

Michuzi

ASILIMIA 90 YA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA WAREJEA SHULENI, HAKUNA MAAMBUKIZI YA CORONA KWA WANAFUNZI

Naibu Katibu Mkuu Tamisemi anayeshughulikia Elimu, Gerald Mweli akitoa ripoti ya kurejea shuleni kwa wanafunzi wa kidato cha sita.
NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Gerald Mweli amesema asilimia 90 ya wanafunzi wa kidato cha sita wameripoti shuleni katika halmashauri zote nchini.
Mweli amesema mpaka sasa hakuna taarifa yoyote ya kuwapo kwa maambuziki ya ugonjwa wa Corona kwa wanafunzi wa kidato cha sita walioripoti shuleni.
Akitoa tathimini ya uripotiji wa...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI WA FEDHA ZANZIBAR, MHE. OMAR YUSSUF MZEE AWASILISHA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2015/2016

Waziri wa Fedha akiinua Begi lenye Bajeti ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakati akiingia katika ukumbi wa mkutano kuwasilisha Hutuba ya Bajeti jana jioni katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Chukwani.Waziri wa Fedha wa Zanzibar Mhe Omar Yussuf Mzee, akishindikizwa na Askari wa Baraza kuingia katika ukumbi wa Mkutano kwa ajili ya kusoma Hutuba ya Bajeti ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar jana jioni.Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe. Omar Yussuf Mzee akisoma Hutuba ya Bajeti ya...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YA WANAFUNZI CHUO CHA USIMAMIZI WA FEDHA (IFM-SO) YAKANUSHA KUMPIGIA DEBE LOWASA.

Serikali ya wanafunzi wa chuo cha usimamizi wa fedha (IFMSO), kupitia
msemaji wake mkuu ambaye ni Rais wa Serikali ya wanafunzi, ndugu
Clinton Boniface inakanusha taarifa zilizotolewa na gazeti la NIPASHE
toleo namba 0578395 la tarehe 19/02/2015, lenye kichwa cha habari
“WANAFUNZI WA IFM WAMTAKA LOWASA URAIS” na kwamba habari hizo
hazijatolewa na uongozi wa IFMSO, wala hakuna mkutano wowote
uliofanyika katika eneo la chuo cha usimamizi wa fedha kati ya
waandishi wa habari na uongozi wa serikali ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani