Kwa nini serikali ya Kenya haina fedha?
Wabunge nchini Kenya wanakutana katika kikao cha dharura ili kubaini kwa nini serikali haina fedha.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 May
Kwa nini aliyechelewesha fedha za wanafunzi hajaguswa?
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pjKGvXXFOHs/U5n7ePx9FZI/AAAAAAAFqL4/vszfKHRIZJ8/s72-c/DSC_0805.jpg)
HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA OMAR YUSSUF MZEE KUHUSU MAPENDEKEZO YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2014/15 KATIKA BARAZA LA WAWAKILISHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-pjKGvXXFOHs/U5n7ePx9FZI/AAAAAAAFqL4/vszfKHRIZJ8/s1600/DSC_0805.jpg)
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Kwa nini ni muhimu kwa mwananchi kushiriki katika mchakato wa bajeti ya serikali?
5 years ago
BBCSwahili17 Feb
Ni kwa nini Kenya inakabiliwa na uhaba mkubwa wa damu?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-d5CEgGxFUvg/Xk6YN7XPxuI/AAAAAAALejU/jQMm-AUP3vcebeMvBWE0zm8le1m4nnMIACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B2.jpg)
Mbaga: Fedha haina thamani kama haijawekezwa, UTT yatoa fursa
![](https://1.bp.blogspot.com/-d5CEgGxFUvg/Xk6YN7XPxuI/AAAAAAALejU/jQMm-AUP3vcebeMvBWE0zm8le1m4nnMIACLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B2.jpg)
UTAJIRI sio fedha ambazo mtu anakusanya bali ni fedha zinazowekwa na kufanya kazi. Tamaduni zetu zimeifanya jamii kubwa kuhifadhi fedha ndani katika vyungu, magodoro, vibubu. Uwekaji akiba na uwekezaji ni dhana mbili tofauti. Uwekaji akiba ni mzuri lakini bila kuziwekeza ni bure. Ili uwe muwekaji akiba mzuri, unapaswa kuwa na nidhamu ya kujizoesha muda mrefu.
Nchini Tanzania...
10 years ago
Mwananchi11 Dec
Kwa nini migogoro haiishi kati ya Machinga, Serikali?
11 years ago
Habarileo10 Mar
KWA NINI SERIKALI 2 HAZIEPUKIKI?:Uchumi Zanzibar unategemea Bara
WAKATI Bunge Maalum la Katiba likisuasua katika kuunda kanuni za kuongoza wajumbe wake, taarifa zinaonesha katika muundo uliopo wa serikali mbili, mbali na kuimarisha umoja na mshikamano wa Taifa, pia Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imekuwa ikinufaika nao kiuchumi.
9 years ago
Habarileo27 Nov
Marufuku kadi za X-mas kwa fedha za serikali
KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue amepiga marufuku utengenezaji na uchapishaji wa kadi za Sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya kwa gharama za Serikali/ umma kwa mwaka huu.
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
Serikali haina nia ya dhati na ‘Wamachinga’
MAMLAKA za miji nchini zimekuwa katika harakati za kusafisha miji, majiji na mitaa mbalimbali kwa lengo la kuboresha mandhari ya maeneo husika yaweze kuendana na hadhi zao. Waathirika wakubwa wa...