Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwa nini serikali ya Kenya haina fedha?

Wabunge nchini Kenya wanakutana katika kikao cha dharura ili kubaini kwa nini serikali haina fedha.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kwa nini aliyechelewesha fedha za wanafunzi hajaguswa?

Wiki hii Serikali ilikuwa kwenye mapambano mengine na wanafunzi wa vyuo vikuu ambao waliamua kugoma wakishinikiza kulipwa fedha zao za kujikimu ambazo kiutaratibu zinatoka Bodi ya Mikopo ambayo imedaiwa kuchelewesha fedha hizo kwa zaidi ya wiki 11.

 

11 years ago

Michuzi

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA OMAR YUSSUF MZEE KUHUSU MAPENDEKEZO YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2014/15 KATIKA BARAZA LA WAWAKILISHI

WAZIRI WA FEDHA  WA ZANZIBAR MHESHIMIWA OMAR YUSSUF MZEE AKIINGIIA KATIKA UKUNBU WA BARAZA LA  WAWAKILISHI LEO

 

5 years ago

BBCSwahili

Kwa nini ni muhimu kwa mwananchi kushiriki katika mchakato wa bajeti ya serikali?

Unafahamu nini kuhusu mchakato wa kutengeneza bajeti?

 

5 years ago

BBCSwahili

Ni kwa nini Kenya inakabiliwa na uhaba mkubwa wa damu?

Kenya inakabiliwa na uhaba mkubwa wa damu ya binadamu hospitalini - na mara nyingi jamaa na marafiki wa wagonjwa wanalazimika kuomba msaada wa watu kujitokeza kutoa damu.

 

5 years ago

Michuzi

Mbaga: Fedha haina thamani kama haijawekezwa, UTT yatoa fursa


Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango akizungumza jambo na Mkurugenzi Mkuu wa UTT AMIS, Simon Migangala.

 UTAJIRI sio fedha ambazo mtu anakusanya bali ni fedha zinazowekwa na kufanya kazi. Tamaduni zetu zimeifanya jamii kubwa kuhifadhi fedha ndani katika vyungu, magodoro, vibubu. Uwekaji akiba na uwekezaji ni dhana mbili tofauti. Uwekaji akiba ni mzuri lakini bila kuziwekeza ni bure. Ili uwe muwekaji akiba mzuri, unapaswa kuwa na nidhamu ya kujizoesha muda mrefu.
Nchini Tanzania...

 

10 years ago

Mwananchi

Kwa nini migogoro haiishi kati ya Machinga, Serikali?

Jiji la Mwanza linakadiriwa kuwa na wafanyabiashara kati ya 2,800 hadi 3,000 wanaojishughulisha na biashara mbalimbali huku likitajwa kuwa jiji la pili kuchangia pato la Taifa .

 

11 years ago

Habarileo

KWA NINI SERIKALI 2 HAZIEPUKIKI?:Uchumi Zanzibar unategemea Bara

Sehemu ya mji wa ZanzibarWAKATI Bunge Maalum la Katiba likisuasua katika kuunda kanuni za kuongoza wajumbe wake, taarifa zinaonesha katika muundo uliopo wa serikali mbili, mbali na kuimarisha umoja na mshikamano wa Taifa, pia Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imekuwa ikinufaika nao kiuchumi.

 

9 years ago

Habarileo

Marufuku kadi za X-mas kwa fedha za serikali

KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue amepiga marufuku utengenezaji na uchapishaji wa kadi za Sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya kwa gharama za Serikali/ umma kwa mwaka huu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali haina nia ya dhati na ‘Wamachinga’

MAMLAKA za miji nchini zimekuwa katika harakati za kusafisha miji, majiji na mitaa mbalimbali kwa lengo la kuboresha mandhari ya maeneo husika yaweze kuendana na hadhi zao. Waathirika wakubwa wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani