Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwa nini Magufuli ataibuka kidedea?

WATANZANIA wanakwenda kupiga kura Oktoba 25 mwaka huu.

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Kwa nini Magufuli hajaanza kufanya kazi?

MTU unaponunua eneo kwa ajili ya shamba au ujenzi vitu vya kwanza kabisa ambavyo unaangalia ni ki

Lula wa Ndali Mwananzela

 

9 years ago

Global Publishers

Kwa nini Magufuli aone uozo wengine wasiuone?

71d6pombeTumshukuru Mungu kwa kutuamsha salama leo.
Nianze kwa kusema uamuzi wa Rais Dk. John Pombe Joseph Magufuli kueleza kwa kina namna nchi ‘inavyoliwa’ kwa kueleza safari holela za nje ya nchi zinavyoligharimu taifa mabilioni ya fedha na jinsi uhujumu unavyofanywa bandarini, kumezua mjadala mkubwa miongoni mwa baadhi ya wafuatiliaji wa masuala ya siasa nchini.

Ujasiri wa Rais Magufuli kueleza bila kificho jinsi safari za nje zinavyogharimu taifa na jinsi wizi wa kuibia nchi kupitia kodi...

 

9 years ago

Vijimambo

Sababu 10 kwa nini John Magufuli atashinda uchaguzi Mkuu wa Urais 2015


Uchaguzi Mkuu
1. Tanzania bara na visiwani yako majimbo ya uchaguzi 266, CCM imesimamisha wagombea Ubunge katika majimbo yote 266 huku Chadema na washirika wake wa Ukawa wakiwa wamesimamisha wagombea katika majimbo 211 (138 toka Chadema). Kati ya majimbo hayo 266, CCM tayari imepita bila kupingwa majimbo 7. Ukichukua majimbo 259 yaliyobaki na kutoa 211 ambayo Chadema na washirika wake wamesimamisha wagombea unabaki na majimbo 48 ambayo CCM haina upinzani wa Chadema wala washirika wake wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Victor Moses ataibuka mshindi?

Victor Moses ni mchezaji mwenye umri wa miaka 22, ambaye kwa sasa anachezea klabu yake ya nne ya Liverpool

 

10 years ago

BBCSwahili

Je Sepp Blatter ataibuka mshindi tena?

Rais wa shirikisho la soka duniani Fifa, Sepp Blatter na mahasimu wake kwenye kinyang'anyiro cha Urais Fifa

 

9 years ago

CCM Blog

DK. MAGUFULI NA RAIS KIKWETE IKULU BAADA YA KUIBUKA KIDEDEA URAIS KATIKA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU LEO

ma1Rais Kikwete akimpongeza kwa furaha mshindi wa kinyang’anyiro cha Urais kwa tiketi ya CCM na Rais Mteule Dkt John Pombe Joseph Magufuli mara baada ya Mwenyekiti wa  Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva  kutangaza kutangaza rasmi matokeo ya uchaguzi mkuu Ikulu jijini Dar es salaam ambako walifuatilia kwa pamoja matangazo hayo ya moja kwa moja kupitia vituo vya televisheni jioni hii mag2Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsomea sms za pongezi kutoka kila pembe ya dunia  mshindi wa ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwakyembe, Magufuli mnashindana nini?

MAWAZIRI wawili wa serikali ya awamu ya nne ya Rais Jakaya Kikwete, wanaonekana kufanya kazi bila kujua wajibu wao au wameamua kupambana katika utendaji wao. Mawaziri hawa ni Dk. Harrison...

 

9 years ago

Raia Mwema

Tanzania ya Magufuli, imewekeza kwenye nini?

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amepatikana.

Mwandishi Wetu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani