Tanzania ya Magufuli, imewekeza kwenye nini?
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amepatikana.
Mwandishi Wetu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM13 Nov
KAMPUNI YA BME IMEWEKEZA ZAIDI YA MILIONI 40 KWENYE MUZIKI WA AMINI
Hivi karibuni msanii wa Bongo Flava, Amini aliagwa rasmi na nyumba ya kukuza vipaji ya T.H.T ambako alikuwepo kwa zaidi ya miaka 10, kuanzia kufundishwa muziki hadi akaanza kutengeza pesa kupitia ngoma na album alizowahi kuachia.
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Serikali imewekeza katika siasa, imesahau wakulima
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Mwakyembe, Magufuli mnashindana nini?
MAWAZIRI wawili wa serikali ya awamu ya nne ya Rais Jakaya Kikwete, wanaonekana kufanya kazi bila kujua wajibu wao au wameamua kupambana katika utendaji wao. Mawaziri hawa ni Dk. Harrison...
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
Kwa nini Magufuli ataibuka kidedea?
WATANZANIA wanakwenda kupiga kura Oktoba 25 mwaka huu.
Mwandishi Wetu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S5oOR1dkyIkVRPqb3plqonKfw51WM6EDjmlhNoZQutQvpBv6U31CMmkYwLHD35dvd*zqW5H6mjSE-tw2Uj2jUrONi-At4U1s/PicMonkeyCollage.jpg?width=650)
KWA NINI WANIGERIA WANAKIMBIZA KWENYE TELEVISHENI?
9 years ago
Raia Mwema30 Dec
Kwa nini Magufuli hajaanza kufanya kazi?
MTU unaponunua eneo kwa ajili ya shamba au ujenzi vitu vya kwanza kabisa ambavyo unaangalia ni ki
Lula wa Ndali Mwananzela
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Kwa nini Magufuli aone uozo wengine wasiuone?
Tumshukuru Mungu kwa kutuamsha salama leo.
Nianze kwa kusema uamuzi wa Rais Dk. John Pombe Joseph Magufuli kueleza kwa kina namna nchi ‘inavyoliwa’ kwa kueleza safari holela za nje ya nchi zinavyoligharimu taifa mabilioni ya fedha na jinsi uhujumu unavyofanywa bandarini, kumezua mjadala mkubwa miongoni mwa baadhi ya wafuatiliaji wa masuala ya siasa nchini.
Ujasiri wa Rais Magufuli kueleza bila kificho jinsi safari za nje zinavyogharimu taifa na jinsi wizi wa kuibia nchi kupitia kodi...
5 years ago
BBCSwahili19 Apr
Virusi vya corona: Kwa nini watu hawa wanajitenga kwenye miti
9 years ago
Vijimambo08 Sep
Sababu 10 kwa nini John Magufuli atashinda uchaguzi Mkuu wa Urais 2015
![](https://scontent-ord1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtf1/v/t1.0-9/p370x247/11144957_129316837414388_86398213818538964_n.jpg?oh=87738b120642bdb8e22cd3c3766bfbfc&oe=5661D597)
Uchaguzi Mkuu
1. Tanzania bara na visiwani yako majimbo ya uchaguzi 266, CCM imesimamisha wagombea Ubunge katika majimbo yote 266 huku Chadema na washirika wake wa Ukawa wakiwa wamesimamisha wagombea katika majimbo 211 (138 toka Chadema). Kati ya majimbo hayo 266, CCM tayari imepita bila kupingwa majimbo 7. Ukichukua majimbo 259 yaliyobaki na kutoa 211 ambayo Chadema na washirika wake wamesimamisha wagombea unabaki na majimbo 48 ambayo CCM haina upinzani wa Chadema wala washirika wake wa...