Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania ya Magufuli, imewekeza kwenye nini?

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amepatikana.

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

KAMPUNI YA BME IMEWEKEZA ZAIDI YA MILIONI 40 KWENYE MUZIKI WA AMINI

Hivi karibuni msanii wa Bongo Flava, Amini aliagwa rasmi na nyumba ya kukuza vipaji ya T.H.T ambako alikuwepo kwa zaidi ya miaka 10, kuanzia kufundishwa muziki hadi akaanza kutengeza pesa kupitia ngoma na album alizowahi kuachia.

Amini aliagwa T.H.T baada ya kupata mkataba wa kibiashara na kampuni ya BME,Clouds Fm imepiga stori na mkurugenzi wa kampuni hiyo amefunguka malengo ya BME kwa Amini na na kwamba kampuni hiyo imewekeza zaidi ya mill.40 kwenye muziki wa msanii huyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali imewekeza katika siasa, imesahau wakulima

Zipo dalili nyingi zinazoonyesha kwamba kuna uwezekano mkubwa nchi yetu ikakumbwa na janga kubwa la njaa mwakani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwakyembe, Magufuli mnashindana nini?

MAWAZIRI wawili wa serikali ya awamu ya nne ya Rais Jakaya Kikwete, wanaonekana kufanya kazi bila kujua wajibu wao au wameamua kupambana katika utendaji wao. Mawaziri hawa ni Dk. Harrison...

 

9 years ago

Raia Mwema

Kwa nini Magufuli ataibuka kidedea?

WATANZANIA wanakwenda kupiga kura Oktoba 25 mwaka huu.

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

GPL

KWA NINI WANIGERIA WANAKIMBIZA KWENYE TELEVISHENI?

Na Arme Nando Katika siku za hivi karibuni, imekuwa kawaida kwa vituo vya televisheni vya Bongo kupiga sana video za muziki za wasanii wa Kinigeria kuliko hata za wazawa. Mkali wa Bongo Fleva, Nasib Abdul, 'Diamond Platinum'.
Kila kukicha wasanii wa Nigeria wanazidi kuongezeka na kazi zao zinazidi kuwa nzuri. Mfano wa wasanii waliochipukia juzijuzi na kupata umaarufu mkubwa ni Runtown na ngoma yake Gallardo, Pakorant na ngoma...

 

9 years ago

Raia Mwema

Kwa nini Magufuli hajaanza kufanya kazi?

MTU unaponunua eneo kwa ajili ya shamba au ujenzi vitu vya kwanza kabisa ambavyo unaangalia ni ki

Lula wa Ndali Mwananzela

 

9 years ago

Global Publishers

Kwa nini Magufuli aone uozo wengine wasiuone?

71d6pombeTumshukuru Mungu kwa kutuamsha salama leo.
Nianze kwa kusema uamuzi wa Rais Dk. John Pombe Joseph Magufuli kueleza kwa kina namna nchi ‘inavyoliwa’ kwa kueleza safari holela za nje ya nchi zinavyoligharimu taifa mabilioni ya fedha na jinsi uhujumu unavyofanywa bandarini, kumezua mjadala mkubwa miongoni mwa baadhi ya wafuatiliaji wa masuala ya siasa nchini.

Ujasiri wa Rais Magufuli kueleza bila kificho jinsi safari za nje zinavyogharimu taifa na jinsi wizi wa kuibia nchi kupitia kodi...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kwa nini watu hawa wanajitenga kwenye miti

Baadhi ya raia wa India wanajitenga na wengine kwa kukaa juu na chini ya miti.

 

9 years ago

Vijimambo

Sababu 10 kwa nini John Magufuli atashinda uchaguzi Mkuu wa Urais 2015


Uchaguzi Mkuu
1. Tanzania bara na visiwani yako majimbo ya uchaguzi 266, CCM imesimamisha wagombea Ubunge katika majimbo yote 266 huku Chadema na washirika wake wa Ukawa wakiwa wamesimamisha wagombea katika majimbo 211 (138 toka Chadema). Kati ya majimbo hayo 266, CCM tayari imepita bila kupingwa majimbo 7. Ukichukua majimbo 259 yaliyobaki na kutoa 211 ambayo Chadema na washirika wake wamesimamisha wagombea unabaki na majimbo 48 ambayo CCM haina upinzani wa Chadema wala washirika wake wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani