Kwa Picha: Enzi ya Mugabe mamlakani
Tunamuangazia Mugabe ambaye amefariki akiwa na miaka 95. Ameiongoza Zimbabwe kwa miaka 37 kama rais.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.Com23 Jun
PICHA: TAZAMA PICHA ZA ZINEDINE ZIDANE ENZI ZA UTOTO/UJANA WAKE
![2](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/224.jpg)
![1](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/132.jpg)
![3](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/317.jpg)
![enzo](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/enzo.jpg)
![kombe](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/kombe.jpg)
![zizi](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/zizi.jpg)
10 years ago
Bongo Movies09 Jun
Picha:Norah Ajikumbushia Enzi Zake
Muigizaji mkongwe na maarufu nchini, Nuru nassoro, maarufu kama Norah, hivi karibuni amejikumbushia enzi zake alivyokuwa aking'ara kwenye magazeti na vyombo mbali mbali vya habari miaka ya 2000/2003.
Muigizaji huyo mwenye mvuto wa aina yake, ali post picha yake kwenye ukurusa wake wa instagram (@norahtanzania), ikimuonyesha staa huyo akiwa ameshika magazeti mbali mbali yaliyokuwa yamesheheni picha za mrembo huyo aliyetikisa kwenye filamu ya SIKITIKO LANGU.
“Throw back 2000/2003 utaniambia...
10 years ago
Bongo Movies29 May
Picha: TBT Yangu Enzi Zamchipukio Wangu-Wolper
Haya jamani hii ni tbt yangu mwenyewe, nimejiweka mwenyewe, sitak tbt za uwongo za edtng sasa hii ni tbt yangu enzi zamchipukio wangu mwenyewe na unywele wangu nakale kamwili pale kati hips vip jamani Mungu bwana kumbe ukinyimwa tako hips unapewa ukinyiwa hips tako unapewa ukinyimwa guu, rangi yamtume ambayo aina 360 unapewa. haya jacq wolper masawe na hips zake, mdoli wake na visindano vyake pale kati ingawa paka leo vpo vile vile kasoro ubonge tuu. anawambia hellow fansii i love instagram...
10 years ago
Dewji Blog14 Mar
Picha iliyobamba: Enzi Mbunge wa Iringa Mjini akiuza Mitumba
Mpendwa msomaji ni matumaini yetu unaendelea kuperuzi mtandao wako wa kijamii wa Mo dewji blog, siku zote tupo kwa ajili ya kukuletea habari na matukio mbalimbali kwa njia tofauti ambayo yatakuelimisha, kukuburudisha na kukujenga.
Leo katika picha ya siku ama iliyobamba, ni ya Mbunge wa Iringa, mjini, Mh.Mchungaji Peter Msigwa.
Kwa mujibu wa chanzo cha picha hiyo iliyowekwa na Msigwa mwenyewe, k upitia akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa Facebook na kuipa maelezo haya “Enzi hizo nauza...
9 years ago
MillardAyo31 Dec
TBT:Picha 8 za Rais Magufuli , Izzo B , Linex, Nikki wa pili, Hermy B, Ben Pol, Rose Ndauka enzi hizo…
Ni TBT!! Throwing back thursday ambapo huwa tunaitumia hii siku kushare zile picha zetu za zamani ambapo kwenye millardayo.com kila wiki tutakua tunakuletea picha mbalimbali za mastaa wakiwa kwenye pozi miaka kadhaa iliyopita. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line yatiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg […]
The post TBT:Picha 8 za Rais Magufuli , Izzo B , Linex, Nikki wa pili, Hermy B, Ben Pol, Rose Ndauka enzi hizo… appeared first on...
9 years ago
MillardAyo17 Dec
TBT:Picha 10 za Diamond Platnumz, Nancy Sumary, Babu Tale, Izzo, Ommy Dimpoz, Rais MAGUFULI enzi hizo….
Ni TBT!! Throwing back thursday ambapo huwa tunaitumia hii siku kushare zile picha zetu za zamani ambapo kwenye millardayo.com kila wiki tutakua tunakuletea picha mbalimbali za mastaa wakiwa kwenye pozi miaka kadhaa iliyopita. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line yatiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa […]
The post TBT:Picha 10 za Diamond Platnumz, Nancy Sumary, Babu Tale, Izzo, Ommy Dimpoz, Rais MAGUFULI enzi hizo…. appeared first on...
9 years ago
MillardAyo24 Dec
TBT:Picha 7 za Joh Makini, Quick Rocka, Vanessa Mdee, Roma, Shilole, Joti na Flaviana Matata…enzi hizo
Ni TBT!! Throwing back thursday ambapo huwa tunaitumia hii siku kushare zile picha zetu za zamani ambapo kwenye millardayo.com kila wiki tutakua tunakuletea picha mbalimbali za mastaa wakiwa kwenye pozi miaka kadhaa iliyopita. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line yatiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa […]
The post TBT:Picha 7 za Joh Makini, Quick Rocka, Vanessa Mdee, Roma, Shilole, Joti na Flaviana Matata…enzi hizo appeared first on...
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Kumbe Aliens wamekuwepo enzi na enzi!
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Mpenzi msomaji wangu wiki iliyopita tuliona ni kwa jinsi gani hawa viumbe wa ajabu waishio angani wa Aliens walivyo na tabia zinazoaminika ni za majini japokuwa wana utofauti kidogo. Tuliona kuwa tofauti kubwa iliyopo kati ya Aliens na majini ni kwamba majini wana maumbile maalum na uwezo wa kujibadilisha japo wote wana uwezo wa kusafiri kwa kasi ya upepo. SASA ENDELEA…
Kama nilivyoeleza awali katika matoleo ya simulizi hii huko nyuma, kuna filamu na tamthiliya...
10 years ago
BBCSwahili05 Sep
Enzi ya kutibu kwa Mabuu yanukia Kenya