Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Enzi ya kutibu kwa Mabuu yanukia Kenya

Hivi Kairbuni huenda hospitali nchini Kenya zikaanza kutumia Mabuu kama tiba.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mabuu wanavyotumiwa kwa matibabu Kenya

Je unafahamu Mabuu ? Wadudu wanaotokeza mara nyingi katika nyama zinazo oza na sehemu za uchafu na mifereji ya maji machafu?

 

9 years ago

Global Publishers

Kumbe Aliens wamekuwepo enzi na enzi!

AliensILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Mpenzi msomaji wangu wiki iliyopita tuliona ni kwa jinsi gani hawa viumbe wa ajabu waishio angani wa Aliens walivyo na tabia zinazoaminika ni za majini japokuwa wana utofauti kidogo. Tuliona kuwa tofauti kubwa iliyopo kati ya Aliens na majini ni kwamba majini wana maumbile maalum na uwezo wa kujibadilisha japo wote wana uwezo wa kusafiri kwa kasi ya upepo. SASA ENDELEA…

Kama nilivyoeleza awali katika matoleo ya simulizi hii huko nyuma, kuna filamu na tamthiliya...

 

10 years ago

Mwananchi

Neema kwa wakulima wa mpunga yanukia

Rais Jakaya Kikwete ameahidi kuwatafutia soko la uhakika wakulima wa mpunga, hatua ambayo itaambatana na kuanzishwa kwa hifadhi ya zao hilo katika Ghala la Taifa la Chakula, kama ilivyo kwa mahindi.

 

10 years ago

Mwananchi

Tuzo ya pili yanukia kwa Msuva leo

Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva leo ana nafasi nyingine ya kuibuka na tuzo nyingine ya Ligi Kuu msimu uliopita, endapo atawabwaga wapinzani wake wawili.

 

11 years ago

Habarileo

Tuhuma za kutibu kwa ngono zipo kwa mwanasheria

JALADA la kesi ya waganga wa jadi wawili wanaotuhumiwa kubaka baada ya kutoa tiba kwa wanawake ili wapate watoto, kwa masharti ya kushiriki nao ngono bila kinga, limepelekwa kwa Mwanasheria wa Kanda wa Serikali kwa hatua zaidi.

 

11 years ago

Habarileo

Waganga wa kutibu kwa ngono mbaroni

POLISI Mkoa wa Temeke, imewakamata vijana wawili wanaodaiwa kujifanya waganga wanaotoa tiba kwa wanawake, ambayo masharti yake ni kushiriki nao ngono bila kinga na kuacha nguo za ndani, ili zifanyiwe dawa zaidi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kwa Picha: Enzi ya Mugabe mamlakani

Tunamuangazia Mugabe ambaye amefariki akiwa na miaka 95. Ameiongoza Zimbabwe kwa miaka 37 kama rais.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Jifahamishe kwa nini ni vigumu kutibu magonjwa ya virusi ikilinganishwa na yale ya bakteria

Tunapokutwa na kikohozi , pua inayotoka makamasi, joto mwilini, na maumivu ya misuli, hutembelea katika kituo cha afya ili kupata tiba ya haraka.

 

10 years ago

GPL

SABASABA YANUKIA

 Baadhi ya mafundi wakishughulika na ujenzi wa eneo litakalotumika kwa maonyesho ya bidhaa Hekaheka za kupaka rangi zikiendelea sehemu ya chooni …

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani