Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KWANDIKWA: HAKUNA MIRADI YA BARABARA NA MADARAJA ITAKAYOSIMAMA


Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Christopher Ole Sendeka, akifafanua jambo kwa Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, wakati wa ukaguzi wa ujenzi wa barabara ya Njombe-Moronga - Makete (km 107. 4) kwa kiwango cha lami, mkoani humo.Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Christpher Ole Sendeka na Katibu wa Siasa na Uenezi CCM mkoa wa Njombe, Bw. Erasto Ngole, wakikagua ujenzi wa barabara ya Moronga-Makete yenye urefu wa KM 53.5 inayojengwa kwa kiwango cha lami, mkoani...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

TANROADS SIMAMIENI UBORA WA BARABARA-KWANDIKWA

Muonekano wa sehemu ya barabara ya Usesula – Komanga (km 117), inayojengwa kwa kiwango cha lami. Ujenzi wa mradi huo unatarajiwa kukamilika mwezi Novemba 2021 na mpaka sasa mkandarasi ameshakamilisha kujenga (km 43.2) kwa kiwango cha lami, mkoani Tabora.

Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, akizungumza na Mhandisi Mshauri kutoka Kampuni ya Mhandisi Mshauri kutoka Kampuni ya LEA International Bw. Leela Prasad (kulia) anayesimamia ujenzi wa barabara ya Usesula-Komanga yenye urefu wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli aahidi ujenzi wa madaraja, barabara za juu

Mgombea wa urais kupitia CCM, Dk John Magufuli ameahidi kulibadili jiji la Dar es Salaam kwa kujenga barabara za lami na kutatua tatizo sugu la foleni kupitia ujenzi wa madaraja na barabara za juu maarufu kama ‘flyovers’.

 

10 years ago

Michuzi

TIMU YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO YAKAGUA MADARAJA LUHEKEI MKOANI RUVUMA

Meneja wa wakala wa barabara (TANROADS) mkoani Ruvuma, Mhandisi Abraham Kissimbo akizungumza na timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango ilipofika ofisini kwake. Meneja wa wakala wa barabara (TANROADS) mkoani Ruvuma, Mhandisi Abraham Kissimbo akitoa maelekezo kwa timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango ilipofika ofisini kwake. Timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango ikijionea...

 

10 years ago

Michuzi

Dkt Magufuli akagua ujenzi wa Madaraja katika Barabara ya Bagamoyo-Msata mkoani Pwani

 Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli akikagua sehemu ya juu ya Daraja la Kariakoo katika eneo la Ruvu Chini katika barabara ya Bagamoyo-Msata Sehemu ya Daraja la Kariakoo katika eneo la Ruvu chini katika mradi wa Ujenzi wa Barabara ya Bagamoyo-Msata ukiendelea kujengwa.


 Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli akikagua sehemu ya chini ya daraja la Kariakoo.

 Mkandarasi wa Barabara ya Bagamoyo-Msata kushoto  akitoa maelezo ya Mradi wa Madaraja katika eneo la Ruvu Chini Mkoani Pwani huku...

 

11 years ago

Michuzi

DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM

Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katikati akiwa na Balozi wa Japan Nchini Masaki Okada kulia wakipita juu ya Daraja la Lugalo mara baada ya kulikagua katika ziara ya Ukaguzi wa Barabara ya Mwenge Tegeta jijini Dar es salaam leo.

 Balozi wa Japan nchini Ndugu Masaki Okada akiwa na Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa Said Meck Sadick wakipanda ngazi za daraja la juu la watembea kwa miguu flyover Ubungo...

 

5 years ago

Michuzi

WARATIBU WA TARURA WA MIKOA WATAKIWA KUFANYA UKAGUZI WA MARA KWA MARA KATIKA MADARAJA NA BARABARA

Na. Erick Mwanakulya Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seff amewataka Waratibu wote wa TARURA nchini kufanya ukaguzi wa mara kwa mara katika barabara na madaraja ili kubaini maeneo yanayohitaji ukarabati na kuyafanyia kazi kabla ya kuleta madhara. Mhandisi Seff ameyasema hayo, alipokutana na Waratibu wa TARURA wa Mikoa jijini Dodoma katika ukumbi wa Mikutano wa Ofisi za TARURA Makao Makuu zilizopo Mtumba, ikiwa ni sehemu ya kikao kazi...

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli kukamilisha miradi ya reli, barabara

Mgombea urais kupitia tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amesema Serikali imetenga Sh866bilioni, kwa ajili ya kukamilisha miradi mbalimbali ya barabara nchini.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dk Magufuli: CCM itanusurika na miradi ya barabara

WAZIRI wa Ujenzi Dk. John Magufuli amesema njia pekee ambayo itakinusuru Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mkuu mwakani ni miradi ya barabara na ujenzi wa madaraja ambayo inatekelezwa. Alitoa...

 

11 years ago

Mwananchi

TZ yafanya vizuri miradi ya barabara nchini

Tanzania imetajwa kuwa ni miongoni mwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (Sadc) ambayo inafanya vizuri katika kusimamia na kutelekeza miradi ya barabara, hususani mradi wa barabara za mfano (Pilot Project) ambao ulianza nchini mwaka 2007 .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani