Kwanini Naiona Serikali Ya John Magufuli Inakuja
![](http://2.bp.blogspot.com/-cQ4YStxrCTQ/VijB6Pg_JgI/AAAAAAABCxA/7Ww66xfLtb8/s640/2.jpg)
Ndugu zangu, Nionavyo, Nchi yetu iko katika hali ya kama mgonjwa anayetafuta mawili makubwa; nafuu na uimara wa afya yake. Kama upepo kinzani…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-x75xOaMBF5Q/Vj3TPusUU3I/AAAAAAAIEyw/xARPYaoRtuU/s640/k1.jpg)
RAIS DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI AKUTANA NA MAKATIBU WAKU WA SERIKALI LEO IKULU
9 years ago
MichuziASKOFU CHARLES GADI AONGOZA UMOJA WA MAKANISA YA DODOMA KUMUOMBEA RAIS DK.JOHN MAGUFULI NA SERIKALI YA AWAMU YA TANO
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/PaDXs1f33g8/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Serikali yasitisha matumizi ya picha ya Rais wa awamu ya 5 Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli mpaka hapo itakapotangazwa tena
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Assah Mwambene.
Serikali inapenda kuzitaarifu ofisi za umma na wananchi kwa ujumla kwamba imesitisha matumizi ya picha ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Serikali ya Awamu ya Tano, Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli mpaka hapo itakapotangazwa tena.
Awali majira ya saa 6: 00 jana mchana Novemba 6, mwaka huu Serikali ilitangaza kuhusu kuanza rasmi kwa matumizi ya picha ya Rais.
Aidha, Serikali imesema kwamba itazitangazia ofisi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ylUaZN0EXhk/VaNJFMGPlnI/AAAAAAAC8b0/ccxgqzrXZu8/s72-c/IMG-20150712-WA0138.jpg)
MDAU JOHN CHACHA AMPONGEZA DKT JOHN MAGUFULI KWA USHINDI WA KUIPEPERESHA BENDERA YA CCM KUWANIA URAIS 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-ylUaZN0EXhk/VaNJFMGPlnI/AAAAAAAC8b0/ccxgqzrXZu8/s640/IMG-20150712-WA0138.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dYLrpk-c-H8/VaUKqktO8JI/AAAAAAAAAOE/tuhgf3-m-EY/s72-c/9.jpg)
Dr. Wilibrod Slaa amesema kuwa akiwa Rais wa Tanzania atamfunga Dr. John Magufuli kwa sababu alisimamia mchakato wa uuzwaji wa nyumba za Serikali kwa bei ya kutupwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-dYLrpk-c-H8/VaUKqktO8JI/AAAAAAAAAOE/tuhgf3-m-EY/s640/9.jpg)
Dr. Wilibrod Slaa amesema kuwa akiwa Rais wa Tanzania atamfunga Dr. John Magufuli kwa sababu alisimamia mchakato wa uuzwaji wa nyumba za Serikali kwa bei ya kutupwaDr. Slaa akihojiwa na Radio five ya Arusha jioni hii nini maoni yake kuhusu uteuzi wa Magufuli kuwania Urais.
Ameongelea mengi lakini amesema iwapo UKAWA wakimpa nafasi na Watanzania wakampa kura za kutosha kushinda Urais atamtia Magufuri ndani ili kujibu tuhuma za uuzwaji wa Nyumba kwa bei ya kutupa.
Chanzo: Radio five,...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Ni kwanini serikali inamwogopa Kisena?
BOB Kisena amepata umaarufu kutokana na kashfa zenye utata na za hovyo. Moja ya sababu zilizofanya awe maarufu ni ile hali ya kujipatia lililokuwa Shirika la Usafiri Dar es Salaam...
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Kwanini uchaguzi Serikali za Mitaa uahirishwe?
11 years ago
Tanzania Daima12 Feb
Kwanini serikali haiwataji vigogo wahalifu?
UBAYA hatima yake mbaya kwani huwa na mwisho mbaya. Twakumbushwa kwamba nia au dhamira mbaya, aghalabu haiwezi kufanikiwa. Mhalifu ni mtu anayekwenda kinyume na taratibu au sheria za nchi. Sheria...