Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwanini serikali haiwataji vigogo wahalifu?

UBAYA hatima yake mbaya kwani huwa na mwisho mbaya. Twakumbushwa kwamba nia au dhamira mbaya, aghalabu haiwezi kufanikiwa. Mhalifu ni mtu anayekwenda kinyume na taratibu au sheria za nchi. Sheria...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ni kwanini serikali inamwogopa Kisena?

BOB Kisena amepata umaarufu kutokana na kashfa zenye utata na za hovyo.  Moja ya sababu zilizofanya awe maarufu ni ile hali ya kujipatia lililokuwa Shirika la Usafiri Dar es Salaam...

 

9 years ago

Habarileo

Serikali yataka vigogo wajipime

KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue ametoa ufafanuzi mpya kuhusu maagizo ya Rais John Magufuli, kwa watendaji wakuu na maofisa masuhuli wote wa wizara, idara na taasisi za Serikali, katika suala zima la kupunguza matumizi yasiyo ya lazima ya fedha za umma. Katika ufafanuzi huo uliotumwa jana na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, Balozi Sefue ametaka kila mtendaji wa Serikali kujihoji mwenyewe, kwamba endapo Rais Magufuli ataamua kufika katika eneo lake la kazi, ni kwa kiasi gani atakuta...

 

11 years ago

Mwananchi

Kwanini uchaguzi Serikali za Mitaa uahirishwe?

Bunge la Katiba kwa mara nyingine limechafuka baada ya kuahirishwa juzi jioni kutokana na kuzuka vurugu ndani ya Bunge hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vigogo Suma JKT waigalagaza serikali

HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imemwachiria huru Mkurugenzi wa Shirika la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMA JKT), Kanali Ayoub Mwakang’ata na maofisa wenzake sita waliokuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chikawe: Wauza ‘unga’ vigogo wa serikali

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe amesema wafanyabiashara wakubwa wa dawa za kulevya ni vigogo wa serikali. Akizungumza na viongozi wa Baraza la Wafanyakazi wa wizara hiyo,...

 

9 years ago

GPL

Kwanini Naiona Serikali Ya John Magufuli Inakuja

Ndugu zangu, Nionavyo, Nchi yetu iko katika hali ya kama mgonjwa anayetafuta mawili makubwa; nafuu na uimara wa afya yake. Kama upepo kinzani…

 

11 years ago

Mwananchi

Vigogo wageuza nyumba za Serikali kuwa baa

>Viongozi wa Serikali wakiwamo mawaziri, wameingia kwenye kashfa inayowaweka katika wakati mgumu, baada ya kubadili matumizi ya nyumba za Serikali walizonunua, kinyume na mikataba inavyoeleza.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali kufuta miliki za ardhi kwa vigogo

Waziri wa wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William LukuviWAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amesema Serikali itafuta umiliki wa ardhi kwa vigogo waliojilimbikizia maeneo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Serikali ya Kenya imepiga marufuku uchinjwaji wa punda, je ni kwanini?

Serikali ya Kenya imetangaza marufuku ya uchinjwaji wa punda nchini huko ili kuzuwia ku kutokomea kwa wanyama hao ambao idadi yao inasemekana kupundua.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani