Kwanini Tanganyika inaogopwa?
HOJA ya kuifufua Tanganyika ambayo imeibuka kwa kasi kubwa wakati huu wa mchakato wa kuandika Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inapaswa kuangaliwa kwa kina zaidi. Itakumbukwa kuwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen19 Mar
Why he's in defence of Tanganyika
>A three-government union structure is inevitable if public opinion is to be taken seriously, Constitutional Review Commission Chairman Joseph Warioba told Constituent Assembly (CA) members yesterday.
11 years ago
TheCitizen25 Mar
Why reviving Tanganyika is inevitable
>The President went to the capital to bury Caesar. Dr Jakaya Kikwete deftly eschewed a Roma locuta stance in his address to the Constituent Assembly last Friday but it was clearly causa finita for the three-government system
9 years ago
Raia Mwema10 Dec
Happy birthday Tanganyika
‘HAPPY birthday Tanzania…happy birthday me.” Naam, leo ni sikukuu ya Uhuru na Jamhuri, siku ya ku
Evarist Chahali
10 years ago
Uhuru Newspaper05 Sep
Serikali ya Tanganyika yakataliwa
Na Peter Orwa, Dodoma
SERIKALI ya Tanganyika imeendelea kupingwa, ambapo wajumbe wa Kamati mbalimbali za Bunge Maalumu la Katiba, wamesema haiwezi kuwa na tija kwa Watanzania.
Kamati nyingi zilizoundwa kwa ajili ya kuchambua Rasimu ya Katiba na ambazo zinawasilisha maoni yake bungeni, zimepinga kuwepo kwa Serikali ya Tanganyika.
Mapendekezo ya kuwepo kwa serikali ya Tanganyika, yamo kwenye Rasimu ya Katiba iliyowasilishwa na iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.
UHURU imebaini kuwa tangu...
11 years ago
Mwananchi07 Dec
Zilichangia Uhuru wa Tanganyika
Jumatatu ya Desemba 9, 2013, Tanzania Bara (Tanganyika) inatimiza miaka 52 ya Uhuru wake, ambapo katika maadhimisho hayo Bendi za Muziki wa Dansi haziwezi kusahauliwa mchango wake, kwa kutunga nyimbo zilizohamasisha wakati wa mapambano na ziliburudisha wakati wa ushindi
9 years ago
Vijimambo10 Sep
Ukawa: Tanganyika yaja.
Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umeahidi kuwa kama utashinda katika Uchaguzi Mkuu wa mwezi ujao, utarejesha serikali ya Tanganyika.
Kauli hiyo ilitolewa mjini Zanzibar jana wakati wa uzinduzi wa kampeni ya mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, katika uwanja wa Demokrasia.
Maalim akihutubia umati wa wananchi katika mkutano huo ambao pia ulihudhuriwa na mgombea wa Ukawa wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia...
Kauli hiyo ilitolewa mjini Zanzibar jana wakati wa uzinduzi wa kampeni ya mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, katika uwanja wa Demokrasia.
Maalim akihutubia umati wa wananchi katika mkutano huo ambao pia ulihudhuriwa na mgombea wa Ukawa wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia...
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Wataka Katiba ya Tanganyika
Serikali imeshauriwa kuanza mchakato wa kuunda Katiba ya Serikali ya Tanganyika ili iweze kuendana na matakwa ya Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
11 years ago
TheCitizen06 Jul
L. Tanganyika fishermen robbed
Suspected pirates from the Democratic Republic of Congo have robbed fishermen on Lake Tanganyika of their six boat engines.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania