KWELI SHILINGI BILIONI 306 ZIMELIWA?
![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycMjRUnIWiz6QFglWl2u2SAljFkQ3-LSiHOldFfsLXZmmy3I4HcrfTac8f**qVIKr05jg5nWGxy-fJAGYBiuEzmo/AAN.jpg?width=650)
Spika wa Bunge , Anne Makinda. Nimshukuru Mungu kwa kuniweka hai mimi na wewe msomji wa makala haya, hakika hatuna budi kumshukuru milele. Wiki iliyopita gumzo la mjini au pengine nchini lilikuwa sakata la akaunti ya Tegeta Escrow ambapo kuna madai kuwa kuna mabilioni ya fedha ‘wakubwa’ wamezichota bila hata kulipia kodi ya nchi. Zimetajwa kuwa ni shilingi bilioni 306! Ni fedha nyingi sana ambazo eti kuna watu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM02 Apr
10 years ago
Habarileo24 May
Shilingi bilioni 800/- zayeyuka
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad, amebaini kuyeyuka kwa fedha za kodi Sh bilioni 835.974, katika mizigo iliyofika katika Bandari ya Dar es Salaam na kutakiwa kwenda katika nchi nyingine.
10 years ago
Habarileo09 Sep
TRL yakopeshwa shilingi bilioni 12
KAMPUNI ya Reli ya Kati (TRL) imepata mkopo wa Sh bilioni 12 kutoka Benki ya Maendeleo (TIB) kwa ajili ya kuongeza mtaji wa uendeshaji.
5 years ago
MichuziSerikali yapokea msaada wa shilingi bilioni 14.9
Na WAMJW-Dar es Salaam
Serikali imepokea msaada wa shilingi bilioni 14.9 kutoka Global Fund, Airtel Tanzania, Rotary Club Tanzania ambazo sehemu kubwa zitatumika kununua vifaa kinga kwa watumishi wa afya na vifaa tiba kwa ajili ya kuwahudumia wagonjwa wenye maambukizi ya COVID-19.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu ameyasema hayo leo wakati akipokea msaada wa fedha na lita 1,250 za vitakasa mikono ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za Serikali za...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lET3ABatHUnW9lHsdForG07*60qLRT7Rx2VmU0y9udUDlK6mT90Ng2ZtLVPMPEU0CXAC2zf4ZyreeodXXnQfDy5nmU43NoE5/001.JAY.jpg)
VODACOM YAZINDUA PROMOSHENI YA SHILINGI BILIONI 30
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_7BMNEf-HD0/Vc2ppMvdGOI/AAAAAAAHwhQ/vweLhqC1h8s/s72-c/unnamed.jpg)
NMB Yapata Faida shilingi bilioni 77
![](http://4.bp.blogspot.com/-_7BMNEf-HD0/Vc2ppMvdGOI/AAAAAAAHwhQ/vweLhqC1h8s/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xXpt_vsKHt8/VXWupyOtPII/AAAAAAAHdCg/5HvXfypCZhM/s72-c/004.TAX.jpg)
VODACOM YALIPA KODI YA SHILINGI BILIONI 46.4
![](http://2.bp.blogspot.com/-xXpt_vsKHt8/VXWupyOtPII/AAAAAAAHdCg/5HvXfypCZhM/s640/004.TAX.jpg)
5 years ago
Michuzi19 May
Wateja Tigo Pesa wavuna shilingi bilioni 2.7
![](https://www.jamiiforums.com/data/attachment-files/2020/05/2402779_Screen_Shot_2020-05-15_at_10.31.07.png)
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Kifedha kupitia simu za mkononi wa Tigo Tanzania, Angelica Pesha, amesema Tigo imewalipa...
9 years ago
GPLNMB YAPATA FAIDA SHILINGI BILIONI 77