LAIVU: STAA WA FILAMU ANASWA USIKU NA MKE WA MTU!

Na Shakoor Jongo MCHEPUKO? STAA wa kitambo kwenye tasnia ya filamu za Kibongo, Stanley Msungu amenaswa laivu akiwa kwenye pozi tata na mke wa mtu aliyetambulika kwa jina moja la Bonita. Staa wa kitambo kwenye tasnia ya filamu za Kibongo, Stanley Msungu Tukio hilo lilijiri nje ya Mgahawa wa Great Wall uliopo Masaki jijini Dar, usiku wa saa saba ambapo kulikuwa na tafrija ya chakula cha usiku iliyoandaliwa na Mwenyekiti wa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
MKE WA MTU ANASWA WIZI WA MADELA
10 years ago
GPL
OHOO! MTUMISHI WA MUNGU ANASWA NA MKE WA MTU
10 years ago
GPL
MKE WA MTU ANASWA AKIZINI KWENYE GARI
10 years ago
GPL
KUTOKA MORO AIBU! MKE WA MTU ANASWA AKIJIUZA KUSAKA FEDHA ZA KRISMASI
10 years ago
Bongo Movies03 Sep
Riyama Anaswa Laivu!
KANASWA! Staa wa filamu Bongo, Riyama Ally kwa mara ya kwanza amenaswa laivu na kijana aliyemtambulisha kama mwandani wake, akimtaja kwa jina la Idd Mwalimu Mzee, anayemzidi umri kwa miaka saba, Amani linaandika.
Sapraizi’ hiyo ilitokea saa sita mchana Jumatatu wiki hii nyumbani kwa muigizaji huyo, Mabibo jijini Dar, akiweka wazi kuwa muda wowote kuanzia sasa watafunga ndoa, kwani anampenda kwa dhati mpenziwe huyo, aliyesema ni msanii wa muziki wa Kizazi Kipya, akifanya Hip Hop.
“Yeah,...
11 years ago
GPL
BABU ANASWA NA DENTI GESTI LAIVU!
10 years ago
GPL
MCHUNGAJI, MKE WA MWANAJESHI LAIVU!
11 years ago
GPL
ODAMA LAIVU NA MUME WA MTU
11 years ago
GPL
OFM KAZINI! KIJANA ANASWA LAIVU KWA KUUNDA MTAMBO WA KUWAIBIA AZAM, ZUKU