Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LAMAR KUMTOA STAA WA GLOBAL

Prodyuza mwenye jina kubwa Bongo, Lamar, anayemiliki Studio ya Fish Crab Account, atamtoa kijana mwenye kipaji cha kuimba kupitia shindano la Global Talent Search.
Global Talent Search (GTS) ni shindano linaloratibiwa na Global kupitia tovuti yake ambayo ni www.globalpublishers.info. Lamar, amemweleza mwandishi wetu kwamba atamtengenezea wimbo mzuri mshindi atakayepatikana kupitia GTS. “Fish Crab imejitolea kudhamini...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

STAA WA TMT 2014, MWANAAFA MWINZAGO ATEMBELEA GLOBAL PUBLISHERS

Mwanaafa Mwinzago akipozi katika studio za Global TV Online. Mwanaafa akiweka microphone vizuri kabla ya kuhojiwa. MSHINDI wa milioni 50 za Tanzania Movie Talents (TMT)…

 

10 years ago

GPL

JOKATE: MAPENZI YA STAA KWA STAA MBONA POA TU!

Jokate Mwegelo ‘Kidoti’. Saphyna Mlawa, Dar es Salaam
ANAJULIKANA kwa jina la Jokate Mwegelo ‘Kidoti’, alianza kupata umaarufu kupitia fani ya urembo lakini kwa sasa sauti yake kusikika kwenye Bongo Fleva na kazi zake za urembo ndizo zinamfanya asomeke kwenye vyombo vya habari. Mwanamuziki Ali Kiba. Jokate ambaye alitumia alama iliyopo kwenye uso wake kujipa jina la utani la Kidoti, amezungumza na...

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya kuuwawa kwa risasi kwa staa wa soka wa Honduras, staa mwingine tena kauwawa kwa risasi

Ikiwa ni zaidi ya wiki moja toka mchezaji wa timu ya taifa ya Honduras Arnold Peralta itangazwa kauwawa kwa risasi, December 28 mitandao mingi ya Ulaya imeripoti kifo cha staa mwingine wa soka aliyeuwawa kwa kupigwa risasi. December 27 aliyekuwa mchezaji wa timu ya taifa ya El Salvador Alfred Pacheco ameuawa kwa kupigwa na risasi wakati akiwa […]

The post Baada ya kuuwawa kwa risasi kwa staa wa soka wa Honduras, staa mwingine tena kauwawa kwa risasi appeared first on...

 

10 years ago

BBCSwahili

West Brom yakataa kumtoa Berahino

West Bromwich albion, imekataa dau la pauni milioni 15 kutoka Tottenham, inayomhitaji saini ya mshambuliaji Saido Berahino

 

11 years ago

GPL

MTANDAO WA KUMTOA JACK PATRICK WAUNDWA

Na Erick Evarist
FAMILIA ya modo wa Bongo, Jacqueline Patrick aliyenaswa kwa msala wa madawa ya kulevya Macau- China inadaiwa kuunda mtandao kwa ajili ya kufanikisha zoezi la kumchomoa mrembo huyo mikononi mwa vyombo vya sheria. Jacqueline Patrick. Kwa mujibu wa chanzo makini kilicho karibu na familia hiyo (jina lipo), familia hiyo imeanza mchakato huo hivi karibuni hasa baada ya kudadisi kuhusiana na sheria za eneo...

 

11 years ago

GPL

KAJALA AKWAMA PESA YA KUMTOA JELA MUMEWE

Stori: Imelda Mtema Licha ya mkwanja kumtembelea, msanii wa filamu Bongo, Kajala Masanja amekwama kupata pesa ya kumlipia faini mumewe Faraji Chambo ili aweze kutoka jela. Msanii wa filamu Bongo, Kajala Masanja akiwa na mumewe mahakamani. Akizungumzia ombi la mumewe huyo kumtaka kutofuja pesa badala yake amlipie faini ili aondokane na mateso ya gerezani, Kajala alisema ni kweli… ...

 

11 years ago

Vijimambo

KAJALA AKWAMA PESA YA KUMTOA MUMEWE JELA

Licha ya mkwanja kumtembelea, msanii wa filamu Bongo, Kajala Masanja amekwama kupata pesa ya kumlipia faini mumewe Faraji Chambo ili aweze kutoka jela.Akizungumzia ombi la mumewe huyo kumtaka kutofuja pesa badala yake amlipie faini ili aondokane na mateso ya gerezani, Kajala alisema ni kweli anampenda sana mumewe na angetamani kufanya hivyo lakini kiasi cha shilingi milioni 200 kinachotakiwa si kidogo hivyo hawezi kukipata.
“Nampenda sana mume wangu, hilo halina ubishi na pia najua anateseka...

 

9 years ago

GPL

SHOGA; HATA WEWE UNAWEZA KUMTOA ‘OUT’ MUMEO!

Shoga yangu, kwa uweza wa Jalia ni matumaini yangu kwamba hali yako ni nzuri na unaendelea kupambana na maisha kwa sababu bila kufanya hivyo ni wazi utakwama na kujikuta ukiishia kuwa ombaomba jambo ambalo siyo zuri. Kwa upande wangu nipo bukheri wa afya na nipo ofisini nakuandalia mada ya wiki ijayo lengo likiwa lilelile la kupeana elimu ya uhusiano na kukosoana pale inapotokea wenzetu wanakwenda ndivyo sivyo. Leo shoga yangu...

 

5 years ago

CCM Blog

MUUGUZI ALIYETUMBULIWA VYETI FEKI MBARONI KUMTOA MIMBA MWANAFUNZI NA KUMSABABISHIA KIFO

Jeshi la polisi mkoani Kagera linamshikilia Dezber Kahwa mwenye umri wa miaka 49 mkazi wa kijiji Kibengwe, Bukoba Vijijini kwa tuhuma za kusababisha kifo cha Alinda Leverian mwenye umri wa miaka 14.

Aliyeuawa ni mwanafunzi wa darasa la sita Shule ya Msingi Kilima, ambapo mtuhumiwa huyo alimtoa mimba kwa njia isiyokuwa halali na salama.

Kamanda wa Polisi mkoani Kagera, Revocatus Malimi amesema kuwa tukio hilo lilitokea Februari 08 mwaka huu nyumbani kwa Vedastina Cleophace, huku Kahwa ambaye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani