Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Legal Services Facility yatoa ripoti ya upatikanaji wa haki za kisheria

Shirika lisilo la kiserikali linaloshughulika na uwezeshaji wa upatikanaji wa huduma za msaada wa kisheria, kupitia wasaidizi wa kisheria nchini, Legal Services Facility (LSF), ambalo linakuza na kulinda haki za binadamu hasa kwa wanawake maskini and makundi mengine yaliyo katika mazingira hatarishi kwa kutoa ufadhili wa fedha kwa taasisi zinazotoa huduma za kisheria Tanzania, imefanya tathmini na kutoa ripoti ya upatikanaji wa haki za kisheria iliyotekelezwa tangu mwaka 2016.
Ripoti hii...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Tume ya haki za binadamu yatoa ripoti ya Mbagala



Mwenyekiti wa Tume ya  Haki za Binadamu Bw. Bahame Nyanduga akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) mapema hii leo jijini Dar es Salaam wakati akitoa taarifa ya uchunguzi wa tuhuma dhidi ya Jesshi la Polisi za kuwapiga na kuwazalilisha Viongozi na Wafuasi wa CUF huko Mtoni Mtongani Temeke, Dar es saSalaam. Picha na Eliphace Marwa-MAELEZO

 

5 years ago

Michuzi

Tume ya Haki za Binadamu, Shirikianeni na TCRA Upatikanaji wa Haki za Mtandao-Waziri Kombo

 Waziri wa Habari, Utalii na Mambo ya Kale wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mahamoud Thabit Kombo akizungumza katika kikao na ujumbe wa juu wa  watendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (kushoto), Watendaji Wakuu wa Wizara hiyo(kulia), pamoja na waandishi wa habari katika ziara ya tume hiyo iliyofanyika Zanzibar.   Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu (wa pili kushoto), akifafanua jambo kwa Waziri wa Habari, Utalii na Mambo ya Kale...

 

11 years ago

Daily News

Govt urged to ease access to legal services


Govt urged to ease access to legal services
Daily News
THE government has been asked to institute simple procedures at police stations and courts if it really wants to minimize incidents of child and women abuse in the country. The call was made by Ms Saada Salum Mussa from the Zanzibar Female Lawyers' ...

 

11 years ago

Mwananchi

Ripoti ya CAG yaibua utata kisheria

Siku chache baada ya Rais Jakaya Kikwete kupokea taarifa kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh, utata wa kisheria umegubika suala hilo kutokana na ukweli kuwa ibara ya 143 (4) ya Katiba inataka Rais aiwasilishe bungeni taarifa hiyo ndani ya siku saba.

 

10 years ago

TheCitizen

Don’t offer free legal services to the corrupt govt officials — Museveni

Munyonyo. President Museveni has warned free legal service providers against extending their services to corrupt government officials. The President, who commended the Anti-corruption Court in the fight against corruption in the country, also warned judges to be careful in handling the corrupt on grounds that they slow down the court process to defeat justice. “I applaud you in supporting our effort to fight corruption. The establishment of the Anti-Corruption Court is a good step in...

 

10 years ago

Mwananchi

Haki na jukumu la mkopaji kisheria

Imekuwa ni kawaida sana kwa watu wengi kujikuta wameingia kwenye mkopo bila kujua majukumu au haki zao kama wakopaji na matokeo yake wanafilisiwa au wanashindwa kabisa kurudisha mkopo.

 

10 years ago

Mwananchi

Haki za mmiliki wa ardhi kisheria-2

Uwanja wa Kambole ni ukurasa unaokuletea uchambuzi wa sheria za aina mbalimbali. Tulianza na sheria za ajira, sasa tupo kwenye sheria za ardhi lengo ni kukupa ufahamu kiasi na uelewa wa sheria mbalimbali.

 

10 years ago

Mwananchi

Haki za mmiliki wa ardhi kisheria

Watu wengi humiliki ardhi kwa njia zozote zinazotambulika kisheria kama kukaa muda mrefu, kwa kurithi au kupewa.

 

10 years ago

Mwananchi

Fahamu haki na wajibu wa mfanyakazi kisheria

Huwezi kudai kitu ambacho hufahamu kuwa kipo na hata kama unajua kipo hujui kinapatikanaje na hata kama unajua kinavyopatikana hujui nani anawajibika kukupatia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani