Ripoti ya CAG yaibua utata kisheria
Siku chache baada ya Rais Jakaya Kikwete kupokea taarifa kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh, utata wa kisheria umegubika suala hilo kutokana na ukweli kuwa ibara ya 143 (4) ya Katiba inataka Rais aiwasilishe bungeni taarifa hiyo ndani ya siku saba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Nov
Ripoti yaibua mapya ujangili meno ya tembo
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
Ripoti CAG balaa
RIPOTI ya uchunguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG), kuhusu kashfa ya kuchota fedha zaidi ya sh bilioni 200, kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow zilizohifadhiwa katika Benki Kuu...
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
Apex wataka ripoti ya CAG
WAFANYAKAZI wa Chama Kilele cha Wakulima wa Tumbaku Tanzania (Apex), wamemtaka Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) kuweka hadharani taarifa ya ukaguzi wa chama hicho kutokana na kuibuka...
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Ripoti ya CAG yamng’oa meya
10 years ago
Habarileo20 May
Ripoti ya CAG yaanika madudu
RIPOTI ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad, imetolewa na kuwasilishwa bungeni jana huku ikiendelea kuibua madudu katika matumizi ya fedha.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_1f--WPbTwU/XuXnZHm9GCI/AAAAAAAEHzc/mpCNWQrh5BwRD_QbBjh5tKkKPkh9n8fsACLcBGAsYHQ/s72-c/001.jpg)
Legal Services Facility yatoa ripoti ya upatikanaji wa haki za kisheria
Ripoti hii...
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Ripoti ya CAG yazidi kuiumbua serikali
KILA mwaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), huainisha jinsi fedha za serikali zinavyofujwa. Lengo kuu la CAG ni kuizindua serikali kuhusu matumizi mabaya ya fedha na...
10 years ago
Mtanzania20 May
RIPOTI YA CAG Ni madudu kila kona
Na Arodia Peter, Dodoma
RIPOTI ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), imeibua ufisadi mkubwa katika mamlaka za Serikali za mitaa,mashirika ya umma na serikali kuu.
Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kutoa ripoti ya ukaguzi mjini Dodoma jana,Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad alisema ukaguzi huo umefanywa katika taasisi 176 za Serikali kuu, halmashauri 163 na mashirika ya umma 109.
Alisema usimamizi wa bajeti kwa mamlaka ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-N5ZMy_wRkWs/VF0uACxdawI/AAAAAAADMlY/WkWVpxvSJuM/s72-c/zzk.jpg)
KASHFA YA ESCROW:Ripoti ya CAG yaiva
![](http://1.bp.blogspot.com/-N5ZMy_wRkWs/VF0uACxdawI/AAAAAAADMlY/WkWVpxvSJuM/s1600/zzk.jpg)
Wakati ripoti hiyo ikisubiriwa, wabunge wameitaka serikali kufunga akaunti za kampuni ya VIP Engineering zilizopo katika Benki ya Mkombozi ili kupisha uchunguzi kwa kuwa kwenye akaunti hiyo kuna baadhi ya wabunge,...