Ripoti ya CAG yazidi kuiumbua serikali
KILA mwaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), huainisha jinsi fedha za serikali zinavyofujwa. Lengo kuu la CAG ni kuizindua serikali kuhusu matumizi mabaya ya fedha na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog27 Mar
Rais apokea Ripoti ya CAG na kuagiza hatua kali zichukuliwe kwa wabadhirifu wa fedha za Serikali
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameviagiza vyombo vya Serikali kubaini maofisa wote wa Serikali wanaohusishwa na matumizi mabaya ya fedha za Serikali, ikiwa ni pamoja na kutoa malipo bila nyaraka zozote, kutumia fedha nje ya Bajeti na kutoa malipo bila idhini ya ofisa masuhuli, ili wachukuliwe hatua kali za kisheria na hatua nyingine.
Aidha, Rais Kikwete ameagiza kuchukuliwa kwa hatua kali za kisheria kwa maofisa wote wa Serikali ambao wanahusika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OREVmQnf2ps/XowSb1zy-7I/AAAAAAALmVA/9s3IsP0CpZQxw2aOgPeq7cdYI-P_aveIQCLcBGAsYHQ/s72-c/0031c55d-bd55-442c-98c5-a43a5da9f361.jpg)
RIPOTI YA CAG SERIKALI ZA MITAA YABAINI SH MILIONI 167.44 ZILILIPA WATUMISHI AMBAO UTUMISHI WAO ULISHAKOMA
Charles James, Michuzi TV
KATIKA mwaka wa fedha 2018/19 mamlaka 126 za Serikali za Mitaa zilipanga kukusanya mapato jumla ya Sh Bilioni 463.95 kutokana na vyanzo vya ndani, mamlaka hizo zilifanikiwa kukusanya Sh bilioni 342 hivyo kuwa na upungufu wa Sh bilioni 121 sawa na asilimia 26 ya bajeti yote.
Kwenye mwaka huo wa fedha ulioisha Junior 2019, mamlaka 182 za serikali za mitaa zilipokea jumla ya ruzuku ya maendeleo sh bilioni 913.6 hata hivyo fedha zilizotumika ni sh bilioni 655 na kubaki na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Gw9jzbNT4rM/VEkViYtqFAI/AAAAAAAGs_Q/Ju_LZ8YQLoM/s72-c/unnamed.jpg)
KAMATI YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) YAJADILI HESABU ZA MWAKA WA FEDHA WA 31 DESEMBA, 2012 BAADA YA RIPOTI YA CAG, KWA SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA (NIC)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Gw9jzbNT4rM/VEkViYtqFAI/AAAAAAAGs_Q/Ju_LZ8YQLoM/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dxcZvVkq42E/VEkVgfeuyaI/AAAAAAAGs-s/dVCHYTLPBPc/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
10 years ago
TheCitizen20 Apr
Ruzuku ya shule za msingi, sekondari kuiumbua Serikali
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
Ripoti CAG balaa
RIPOTI ya uchunguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG), kuhusu kashfa ya kuchota fedha zaidi ya sh bilioni 200, kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow zilizohifadhiwa katika Benki Kuu...
10 years ago
Habarileo20 May
Ripoti ya CAG yaanika madudu
RIPOTI ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad, imetolewa na kuwasilishwa bungeni jana huku ikiendelea kuibua madudu katika matumizi ya fedha.
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Ripoti ya CAG yamng’oa meya
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
Apex wataka ripoti ya CAG
WAFANYAKAZI wa Chama Kilele cha Wakulima wa Tumbaku Tanzania (Apex), wamemtaka Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) kuweka hadharani taarifa ya ukaguzi wa chama hicho kutokana na kuibuka...
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Ripoti ya CAG yaibua utata kisheria