RIPOTI YA CAG SERIKALI ZA MITAA YABAINI SH MILIONI 167.44 ZILILIPA WATUMISHI AMBAO UTUMISHI WAO ULISHAKOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-OREVmQnf2ps/XowSb1zy-7I/AAAAAAALmVA/9s3IsP0CpZQxw2aOgPeq7cdYI-P_aveIQCLcBGAsYHQ/s72-c/0031c55d-bd55-442c-98c5-a43a5da9f361.jpg)
Charles James, Michuzi TV
KATIKA mwaka wa fedha 2018/19 mamlaka 126 za Serikali za Mitaa zilipanga kukusanya mapato jumla ya Sh Bilioni 463.95 kutokana na vyanzo vya ndani, mamlaka hizo zilifanikiwa kukusanya Sh bilioni 342 hivyo kuwa na upungufu wa Sh bilioni 121 sawa na asilimia 26 ya bajeti yote.
Kwenye mwaka huo wa fedha ulioisha Junior 2019, mamlaka 182 za serikali za mitaa zilipokea jumla ya ruzuku ya maendeleo sh bilioni 913.6 hata hivyo fedha zilizotumika ni sh bilioni 655 na kubaki na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Ripoti ya CAG yazidi kuiumbua serikali
KILA mwaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), huainisha jinsi fedha za serikali zinavyofujwa. Lengo kuu la CAG ni kuizindua serikali kuhusu matumizi mabaya ya fedha na...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gdoLsOBQC3E/ViIMHpI825I/AAAAAAAIAhQ/FQkIlOjp1IM/s72-c/123105.jpg)
SERIKALI KULIPA MADENI YA WATUMISHI WA SERIKALI ZA MITAA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-gdoLsOBQC3E/ViIMHpI825I/AAAAAAAIAhQ/FQkIlOjp1IM/s640/123105.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tCT1FfmYvoo/VJF-a6yN8qI/AAAAAAACwkc/OBcRjuUWt3c/s72-c/HAWA%2BGHASIA.jpg)
SERIKALI YAWASIMAMISHA WAKURUGENZI WALIOSHINDWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
![](http://2.bp.blogspot.com/-tCT1FfmYvoo/VJF-a6yN8qI/AAAAAAACwkc/OBcRjuUWt3c/s1600/HAWA%2BGHASIA.jpg)
Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI leo imetangaza kuwasimamisha kazi Wakurugenzi watano (5) huku wengine wakipewa onyo kali katika utekelezaji wa majukumu yao.
Akithibitisha kusimamishwa kazi kwa Wakurugenzi hao,Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,Mh. Hawa Ghasia amesema kwamba Wakurugenzi hao wametenda makosa yanayowaondolea sifa za kuwa Wakurugenzi.
“Makosa yafuatayo ndio yanayopelekea Wakurugenzi hawa kusimamishwa;Kuchelewa kuandaa vifaa vya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HkUMaFvMFjI/Xn4uN9KeomI/AAAAAAALlWU/1lu9dffBAqUuKAhgX4o4ij8x415067UFwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
RIPOTI YA CAG YAWAIBUA CUF, PROFESA LIPUMBA AAMUA KUTOA UFAFANUZI WA FEDHA ZA RUZUKU MILIONI 300 ZILIZOHAMISHIWA AKAUNTI BINAFSI
![](https://1.bp.blogspot.com/-HkUMaFvMFjI/Xn4uN9KeomI/AAAAAAALlWU/1lu9dffBAqUuKAhgX4o4ij8x415067UFwCLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
SIKU moja ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere kukabidhi ripoti ya ukaguzi wake ya 2018/19 kwa Rais John Magufuli , Chama cha Wananchi( CUF) kimeamua kujitetea baada ya ripoti hiyo kubaibainisha Chama hicho kilihamisha kwa fedha kutoka akaunti ya Chama hicho kwenda akaunti binafsi.
Akizungumza leo Machi 27,2020 ,Mwenyekiti wa Chama hicho Profesa Ibrahim Lipumba ametumia nafasi hiyo kuwaeleza waandishi wa habari hatua...
10 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE HESABU ZA SERIKALI ZA MITAA (LAAC) YABAINI MAPUNGUFU MAKUBWA UJENZI WA CHUO CHA UALIMU CHA AYALABEE WILAYANI KARATU
10 years ago
Dewji Blog27 Mar
Rais apokea Ripoti ya CAG na kuagiza hatua kali zichukuliwe kwa wabadhirifu wa fedha za Serikali
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameviagiza vyombo vya Serikali kubaini maofisa wote wa Serikali wanaohusishwa na matumizi mabaya ya fedha za Serikali, ikiwa ni pamoja na kutoa malipo bila nyaraka zozote, kutumia fedha nje ya Bajeti na kutoa malipo bila idhini ya ofisa masuhuli, ili wachukuliwe hatua kali za kisheria na hatua nyingine.
Aidha, Rais Kikwete ameagiza kuchukuliwa kwa hatua kali za kisheria kwa maofisa wote wa Serikali ambao wanahusika...
10 years ago
MichuziNMB yadhamini Mkutano wa Serikali za Mitaa kwa Shilingi Milioni 200
NMB imetoa shilingi milioni 150 kwaajili ya kufanikisha mkutano huo na shilingi milioni 50 kwaajili ya ununuzi wa trekta litakalotolewa kama zawadi kwa meya (Mayors Award) na halmashauri iliyofanya vizuri katika Nyanja mbalimbali kama utawala bora na utengenezaji wa miradi ya kiuchumi.
Udhamini huo unaifanya NMB...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-n8AlC8yli5s/VK-cHjr7FvI/AAAAAAAG8LY/c45OIeQp1rk/s72-c/MMGM4299.jpg)
CCM YALAANI VIKALI VURUGU ZILIZOFANYWA NA WAFUASI WA CHADEMA NA CUF KWA VIONGOZI WAO WA SERIKALI ZA MITAA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-n8AlC8yli5s/VK-cHjr7FvI/AAAAAAAG8LY/c45OIeQp1rk/s1600/MMGM4299.jpg)
Kikao hicho cha Kamati Kuu kitatanguliwa na kikao cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu kitakachofanyika Januari 10, jijini Dar es Salaam.
Wakati huo huo CCM inalaani vikali vurugu zilizofanywa na wafuasi wa Chadema na CUF kwa viongozi wetu wa serikali za mitaa katika maeneo kadhaa nchini ikiwemo mikoa ya...
10 years ago
Mwananchi02 Dec
Ripoti ya Tawla yabaini kukithiri kwa ukatili wa kijinsia