Lema: Serikali haitambui maji ni biashara
MBUNGE wa Arusha Mjini, Godlbes Lema (CHADEMA) amesema licha ya kuwa maji ni uhai, lakini serikali haijatambua kuwa maji ni biashara. Mbali na hilo, amesema asilimia 70 ya wakazi wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Lema ashangaa Serikali kujikosesha mapato
11 years ago
Michuzi
SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA MAJI, YAZINDUA MWONGOZO WA UTENDAJI KWA MAMLAKA ZA MAJI NCHINI


11 years ago
BBCSwahili19 Oct
Maji ya kuosha wafu,kivutio cha biashara
11 years ago
GPLTFF HAITAMBUI MABADILIKO YA UONGOZI WA COASTAL UNION
11 years ago
Michuzi
TFF HAITAMBUI MABADILIKO YA UONGOZI COASTAL UNION

Uongozi wa Coastal Union uliochaguliwa na mkutano wa uchaguzi wa klabu hiyo ndiyo ambao tunautambua, na tutaendelea kufanya nao kazi, na sio uongozi mwingine wowote ule.
Tunapenda kuwakumbusha wanachama wetu (ikiwemo Coastal Union) kuheshimu katiba ya TFF pamoja na katiba zao, kwani hazitambui mapinduzi ya...
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio)
Headlines za soka la bongo mtu wangu wa nguvu zimenifikia, safari hii sio kuhusu Simba na Yanga bali ni kuhusu staa wa soka aliyewahi kuvitumikia vilabu hivyo kwa nyakati mbili tofauti Danny Mrwanda, staa huyo ameingia kwenye headlines baada ya kuingia mkataba wa kuitumikia klabu ya Maji Maji FC ya Songea na kupewa malipo yake […]
The post Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
5 years ago
Michuzi
SERIKALI YAANZA RASMI BIASHARA YA MAFUTA

10 years ago
StarTV07 Nov
Serikali yakanusha biashara ya pembe za ndovu
Tanzania imeshtushwa na ripoti inayoelezea biashara haramu ya meno ya tembo kati ya baadhi ya viongozi wa nchi hiyo na China.
Serikali ya nchi hiyo imesema imesikitishwa na ripoti iliyotolewa na taasisi ya uchunguzi ya mazingira inayodai kwamba majangili wa kichina wakishirikiana na baadhi ya viongozi wa serikali ya Tanzania ndio wanaoangamiza idadi ya tembo kutokana na biashara haramu ya meno ya tembo.
Inadaiwa kwamba raia wa China walitumia ziara ya rais wao nchini humo kusafirisha...
11 years ago
Mwananchi13 Sep
JK: Serikali kuondoa urasimu katika kodi za biashara