Leo tarehe 22 September ! Siku ya Kuzaliwa mwanamapinduzi Abdulrahman Mohamed Babu (RIP)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fMga-kBfY5g/VB_MbYu9__I/AAAAAAADFEk/8FvUUgPZHi4/s72-c/Marehemu%2BKomredi%2BAbdulrahman%2BMohamed%2BBabu.jpg)
Komredi Professor Abdulrahaman Mohamed Babu alikuwa mwanasiasa,mwanamapinduzi msomi,mwandishi,mchumi, na ujamaa kwake ulikuwa ni mfumo wa maisha yake.
Tunapowataja na kukumbuka wakongwe wa siasa na wapambanaji waliosimama kidete kuhakikisha kuwa wafrika tuna jikomboa kutoka katika makucha ya ukoloni uwe mkongwe au ukoloni mambo leo,jina la marehem Abdulrahman Mohamed Babu (RIP)alitasahulika, ambaye kama angelikuwa hai leo tarehe 22 September ndio siku yake ya kuzaliwa.
Historia inatuelezea...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog02 Mar
Leo ni siku ya kuzaliwa ya mdau Othman Michuzi
![](http://2.bp.blogspot.com/-hrFE1ZsmuoU/VPJb9VOAVfI/AAAAAAAAqcw/f1uYO_JIrrE/s1600/MMG25737.jpg)
Napenda Kuchukua Fursa hii Kumshukuru Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehma na Mwenye Kurehemu kwa kunijaalia Uhai na afya njema hadi kufikia siku hii ya leo,ambapo ninayo furaha kubwa sana kwa kuongeza namba moja katika umri wangu,kwani bila yeye hakuna kitu chochote kinachoweza kufanyika.
pia nitakuwa ni mchoyo wa Fadhila iwapo sitotoa shukrani za kipekee kwa ndugu zangu woote (wakiwemo wazazi wangu wawili, Ankal Issa Michuzi, Ahmad Michuzi, Karim Michuzi, Ramadhan Michuzi, Ismail Michuzi,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sGeqV*sT8d2YBiyNi1*Pkfe9RuCZj9FZtT7IJrRUN9-T4M1oKQVuBzb233amnI7dk0vrBgtG8ojAEB8EDksHARemXBh2w9RJ/1PhilCollins.jpg?width=650)
LEO NI SIKU YA KUZALIWA MWANAMUZIKI PHIL COLLINS
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4kuDfUXMHbo/VSwdPrjXNzI/AAAAAAAHRBY/SK8Mn9d6Y60/s72-c/CCdtGPXWEAAF0t_.jpg)
Leo ni siku ya kuzaliwa mwalimu julius kambarage nyerere
![](http://4.bp.blogspot.com/-4kuDfUXMHbo/VSwdPrjXNzI/AAAAAAAHRBY/SK8Mn9d6Y60/s1600/CCdtGPXWEAAF0t_.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NpAlVAvTs3OIMsngQKVezOXf9GAu2Iw9p7ZOa2wpvj-01QcbwfjpeJmcSrrf5vigfsR408X96iZEiEbuG3QSYSa5luxlY4aQ/MARY1.jpg?width=600)
GLOBAL PUBLISHERS TUNAKUTAKIA HERI YA SIKU YA KUZALIWA LEO
10 years ago
Bongo Movies23 Mar
Leo Ikiwa ni Siku ya Kuzaliwa kwa Meneja Wake, Wema Asema Haya...
Meneja wa staa na mrembo Wema Sepetu, Martin Kadinda leo anasherekea siku yake ya kuzaliwa na hiki ndicho Wema alichotoboa mara baada ya kubandika picha hiyo akiwa na Kadinda.
“I think da picture speaks for itself... My kaka Manager.....!!! I thank the good Lord for you cause only he knows wat i would’ve bin without you.... My very own Shadow... I dont call you The Man behind Wema Sepetu for nothing but because you truly are that One person standing behind me and Iam The luckiest girl to...
10 years ago
Bongo Movies24 Mar
Leo Akiwa Anasherekea Siku Yake ya Kuzaliwa, Wellu Sengo Ameyasema Haya
Staa na mrembo wa nguvu kutoka Bongo Movies, Wellu Sengo leo anasherekea siku yake ya kuzaliwa, kupitia ukurasa wake mtandaoni amefungua haya.
“What can i say.... im speechles... zaidi napenda kumshukuru mungu kwa kila pumz alioweza nitunuku from day 1 mpaka dakka hii... pili mama yangu kipenz kwakunilea ..kunitunza ..nakuwa nami all the way mpaka leo anaitwa bibi... zaidi ni kwa wote walionisimamia in all ….. i rem n cherish it all... my family.. much love kwenu...”- Wellu ameandika mara...
10 years ago
Bongo Movies23 Mar
Leo Ikuwa ni Siku ya Kuzaliwa kwa Meneja Wake, Wema Asema Haya...
Meneja wa staa na mrembo Wema Sepetu, Martin Kadinda leo anasherekea siku yake ya kuzaliwa na hiki ndicho Wema alichotoboa mara baada ya kubandika picha hiyo akiwa na Kadinda.
“I think da picture speaks for itself... My kaka Manager.....!!! I thank the good Lord for you cause only he knows wat i would’ve bin without you.... My very own Shadow... I dont call you The Man behind Wema Sepetu for nothing but because you truly are that One person standing behind me and Iam The luckiest girl to...
10 years ago
Dewji Blog03 May
Leo Mei 3 ni siku ya kuzaliwa mdau Mh.Shy rose Bhanji, hongera sana
Mh. Shy rose Bhanji ambaye leo Mei 3, ametimiza miaka kadhaa. Happy Birthday Shy rose.
Na Andrew Chale, Modewji blog
Leo ni siku muhimu kwa mdau mkubwa wa Mo blog, Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shy Rose Bhanji ambaye ametimiza miaka yake kadhaa katika ulimwengu huu Mei 3, 2015.
Mtandao huu wa Modewji blog unamtakia kila lakheri katika haarakaati zake mbalimbali za ujenzi wa Taifa na Dunia kwa ujumla. Hongera sana ‘Happy Birthday’ ‘Happy Birthday Shy rose.
My birthday wish...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-l007pmAjufo/VfzMHtLJfkI/AAAAAAAD7wc/VKZIzBuGhWc/s72-c/eid-grand-mosque-in-mecca.jpg)
SHEREHE ZA EID AL HAJJ NEW YORK SIKU YA SEPTEMBER 24 SIKU YA ALHAMIS KUANZIA SAA 7 MCHANA HADI 4 USIKU
![](http://3.bp.blogspot.com/-l007pmAjufo/VfzMHtLJfkI/AAAAAAAD7wc/VKZIzBuGhWc/s640/eid-grand-mosque-in-mecca.jpg)
Jumuiya ya Waislam Watanzania wa NY, NJ, CT MA, PA na DE (NEMTA) ina furaha kuwaalika Watanzania wote wanaishio katika majimbo tajwa kuhudhuria tafrija ya kusherehekea Eid Al Hajj. Ndugu waalikwa tunawaomba kufika kwa wakati ili tuweze kufaidika na kuwafaidisha watoto wetu kusherehekea siku hii adhimu. Kuhudhuria kwako itakuwa ni ushirikiano mkubwa katika kufanikisha sherehe hii. Mahala husika ambapo sherehe itafanyika ni Madina Hall Kuanzia saa 7 Mchana hadi 4 usiku Watanzania wote...