Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LEXUS RX 300 LINAUZWA

AINA YA GARI

LEXUS RX 300

BEI YA KUUZA

Milioni 20 Tsh.

MWAKA WA KUTENGENEZWA

2004

RANGI YA GARI

PALE SUMMER BLUE METALLIC/

KILOMETA ILIZOKWENDA

160,234

UWEZO/UKUBWA WA INJINI

2.4-liters, V6

MENGINEYO

Gari lipo kwenye hali nzuri na kama, linavyoonekana kwenye picha

MAWASILIANO

Mnunuzi, nipigie kwenye namba +255 785 734 519







Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

11 years ago

TheCitizen

Can you tell if the Lexus you are driving is real or fake?

Well, think twice! It doesn’t mean that if your car moves like a Lexus, has the shape of a Lexus, a Lexus logo on the rims and one on the body and on the grille, it is a genuine Lexus. With the sprawling spare parts shops all over, it is easy to source various parts, including badges, labels or car signs

 

9 years ago

MillardAyo

Achana na Lexus ya mabox, cheki na hii yenye matairi ya barafu !!(+Pichaz)

Kama kuna vitu vinayakimbiza maisha kwenye kasi ya ajabu, basi teknolojia nayo imo… uliipata ile ya Lexus iliyotengenezwa kwa mabox, ikafungwa mota alafu ikaingia barabarani na kutembea kama gari tulizozoea? Sasahivi nimekutana na hii ambayo jamaa wamekaa zao chimbo kubuni tu kitu tofauti… kilichobuniwa ni matairi yaliyotengenezwa kwa barafu, ubunifu umefanyika London Uingereza na kampuni […]

The post Achana na Lexus ya mabox, cheki na hii yenye matairi ya barafu !!(+Pichaz) appeared first...

 

11 years ago

Michuzi

trekta linauzwa

Tractor aina ya Ford 5610 inauzwa kwa bei nzuri,iko kati hali nzuri kabisa kama inavyoonekana kwenye picha. Kwa maelezo zaidi waweza wasiliana kwa email:misasophie@yahoo.com ama kwa simu 0768808819

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

Bonge la Toyota RAV 4 linauzwa

ipo katika hali nzuri.  Ni ya mwaka 2001, 4WD, Petrol, Automatic, engine capacity 1998, Milleage 82000, ina Air Conditioning, Airbags, Alloy Wheels, AM/FM Radio, Anti-Lock Brakes, Electric Windows ,Front Fog Lamps ,Power Steering,  n.k. Gari ipo Dar es Salaam. Bei milioni 14. Kwa mawasiliano zaidi   piga namba 0655657911 au 0754573435.



 

11 years ago

Michuzi

Gari i aina ya iveco linauzwa

 Gari hili lina siku 4 tu toka lifike kutoka Uingereza. Lipo Sinza karibu na Sheli ya Big Bonn Petrol Station jijini Dar es salaam. Lina hali nzuri na tayari kuanza kazi wakati wowote. Madalali hawatakiwi....Kama unalihitaji kwa maelewano piga simu namba 0754283155

 

11 years ago

Michuzi

Shamba linauzwa Heka 18, Bagamoyo

 Shamba hili LIMEPIMWA Ukubwa: Area 70,587m2 (SQM) Approx. Heka 18. Eneo: Kifude, Makurunge, Bagamoyo. Umbali: Shamba lipo 17km kutoka Bagamoyo mjini kuelekea barabara ya Msata, 3km kutoka barabara kuu ya Bagamoyo – Msata kuingia ndani ya shamba. Mazao yaanayoweza kupandwa: Mananasi, Mahindi, Mihogo, Miwa, Alizeti na kadhalika… BEI: Milioni Arubaini na Tisa (49m). Wasiliana na 0715766555

 

10 years ago

Michuzi

GARI TOYOTA MARK II LINAUZWA KILIMANJARO

Gari aina ya Toyota Mark 11 ya mwaka 1992 inauzwa mjini Moshi mkoani Kilimanjaro. Liko katika hali nzuri sana na tayari imetembea 52021KMS. Ni Manual, 1988cc. Bei ni shilingi  4.5m/- .kwa mawasiliano zaidi piga simu namba 0755 659929.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani