Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


trekta linauzwa

Tractor aina ya Ford 5610 inauzwa kwa bei nzuri,iko kati hali nzuri kabisa kama inavyoonekana kwenye picha. Kwa maelezo zaidi waweza wasiliana kwa email:misasophie@yahoo.com ama kwa simu 0768808819

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TREKTA LINAKODISHWA

"Kwa wale wakulima wenye ekari za kutosha maeneo kuanzia Mkuranga, Mwarusembe, Kimanzichana ya Mkiu, Mkamba nk hadi maeneo ya Ikwiriri na Rufiji.... mkombozi kapatikana sasa. Ile hofu ya kulima kwa muda muafaka imepata jawabu!!Tumeleta trekta linalofaa kupambana kwa kazi maeneo hayo, hili FORD 7500.Bei zetu ni nzuri zipo baina ya Tshs. 40,000/= hadi 60,000/= kulingana na umbali.
Kwa mawasiliano:1. 0787519910 na 0767519910... Tutakujibu kwa simu na sms!!2. Kwa 0787519910 tutakujibu kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Tangazo la biashara ya kukodisha trekta

TUNAKODISHA TREKTA!!"Kwa wale wakulima wenye ekari za kutosha maeneo kuanzia Mkuranga, Mwarusembe, Kimanzichana ya Mkiu, Mkamba nk hadi maeneo ya Ikwiriri na Rufiji.... mkombozi kapatikana sasa. Ile hofu ya kulima kwa muda muafaka imepata jawabu!!Tumeleta trekta linalofaa kupambana kwa kazi maeneo hayo, trekta hilo ni FORD 7500.Bei zetu ni nzuri zipo baina ya Tshs. 40,000/= hadi 60,000/= kulingana na umbali.Kwa mawasiliano:1. 0787519910 na 0767519910... Tutakujibu kwa simu na sms!!2. Kwa...

 

11 years ago

Habarileo

Vijana Muleba wakabidhiwa trekta la mil. 43/-

HALMASHAURI ya Wilaya ya Muleba imenunua trekta lenye thamani ya Sh mil.43 na kulikabidhi kwa vijana wa wilaya hiyo. Trekta hilo litatumika kuanzisha mashamba ya kilimo cha mazao mbalimbali ili kujiajiri na kuacha utegemezi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Trekta lagonga bodaboda laua wawili.

WATU wawili wamekufa kwa kugongwa na trekta katika kijiji cha Mtakata kata ya Magamba wilayani Mlele mkoani Katavi. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Katavi Kamishina mwandamizi msaidizi Dhahiri Kidavashari...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wajawazito Chalinze watumia trekta kwenda hospitali

WANAWAKE katika Kitongoji cha Makupani, Kijiji cha Saadani chumvi, wanalazimika kusafiri umbali wa kilomita 12  kwa kutumia trekta kufuata huduma ya kujifungua hospitalini. Wakizungumza katika mkutano wa kampeni za mgombea...

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

LEXUS RX 300 LINAUZWA

AINA YA GARI

LEXUS RX 300

BEI YA KUUZA

Milioni 20 Tsh.

MWAKA WA KUTENGENEZWA

2004

RANGI YA GARI

PALE SUMMER BLUE METALLIC/

KILOMETA ILIZOKWENDA

160,234

UWEZO/UKUBWA WA INJINI

2.4-liters, V6

MENGINEYO

Gari lipo kwenye hali nzuri na kama, linavyoonekana kwenye picha

MAWASILIANO

Mnunuzi, nipigie kwenye namba +255 785 734 519







 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU PINDA ATEMBELEA KIWANDA CHA TREKTA POLAND



WAZIRI MKUU Mizengo Pinda atatuma wataalamu wa sekta ya kilimo ili waje kufuatilia suala la mahitaji ya trekta ili kuziba pengo la mahitaji yake nchini Tanzania.


Alisema lengo la Serikali la kuanzisha sera ya Kilimo Kwanza lilikuwa ni kuwasaidia wakulima kupata ruzuku ya pembejeo, mbegu bora, na dawa za mifugo ili waweze kuongeza ushalishaji.


“Kutokana na mkopo wa Serikali ya India, tulipata matrekta 1,846 ambayo hayakuchukua muda kuisha. Sasa hivi tunatafuta wabia wengine wa kutupatia...

 

11 years ago

Michuzi

Shamba linauzwa Heka 18, Bagamoyo

 Shamba hili LIMEPIMWA Ukubwa: Area 70,587m2 (SQM) Approx. Heka 18. Eneo: Kifude, Makurunge, Bagamoyo. Umbali: Shamba lipo 17km kutoka Bagamoyo mjini kuelekea barabara ya Msata, 3km kutoka barabara kuu ya Bagamoyo – Msata kuingia ndani ya shamba. Mazao yaanayoweza kupandwa: Mananasi, Mahindi, Mihogo, Miwa, Alizeti na kadhalika… BEI: Milioni Arubaini na Tisa (49m). Wasiliana na 0715766555

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani