Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tangazo la biashara ya kukodisha trekta

TUNAKODISHA TREKTA!!"Kwa wale wakulima wenye ekari za kutosha maeneo kuanzia Mkuranga, Mwarusembe, Kimanzichana ya Mkiu, Mkamba nk hadi maeneo ya Ikwiriri na Rufiji.... mkombozi kapatikana sasa. Ile hofu ya kulima kwa muda muafaka imepata jawabu!!Tumeleta trekta linalofaa kupambana kwa kazi maeneo hayo, trekta hilo ni FORD 7500.Bei zetu ni nzuri zipo baina ya Tshs. 40,000/= hadi 60,000/= kulingana na umbali.Kwa mawasiliano:1. 0787519910 na 0767519910... Tutakujibu kwa simu na sms!!2. Kwa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TANGAZO TANGAZO TANGAZO Je Unataka kujifunza jinsi ya kuanzisha,kuendesha na kusimamia biashara yako?

Tanzania Zalendo wanakuleta Mhadhara wa Jinsi ya KUANZISHA, KUENDESHA na KUDUMU katika biashara. UKUMBI ni Alliance Francaise shuka kituo cha RED CROSS kuelekea Posta.  Siku ya JUMAMOSI tarehe 21/03/2015.  Muda Ni saa Nane 8 mchana Mpaka saa Kumi Jioni.  Utajifunza jinsi ya kuanzisha ,kuendesha na kusimamia biashara kutoka kwa mtaalam wa masuala ya biashara Mhadhiri wa kikuu cha Dar es salaam Dr Muhsin Masoud wa shule ya Biashara. Mafunzo haya ni BURE  Kwa mawasiliano zaidi piga 0787 66 99...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tangazo la biashara lazua zogo China

Kampuni moja China huenda ikatozwa faini kwa kuwakodi wanawake kuvua nguo zao kwenye treni mjini Shanghai kama tangazo la biashara.

 

11 years ago

Michuzi

trekta linauzwa

Tractor aina ya Ford 5610 inauzwa kwa bei nzuri,iko kati hali nzuri kabisa kama inavyoonekana kwenye picha. Kwa maelezo zaidi waweza wasiliana kwa email:misasophie@yahoo.com ama kwa simu 0768808819

 

10 years ago

Michuzi

TREKTA LINAKODISHWA

"Kwa wale wakulima wenye ekari za kutosha maeneo kuanzia Mkuranga, Mwarusembe, Kimanzichana ya Mkiu, Mkamba nk hadi maeneo ya Ikwiriri na Rufiji.... mkombozi kapatikana sasa. Ile hofu ya kulima kwa muda muafaka imepata jawabu!!Tumeleta trekta linalofaa kupambana kwa kazi maeneo hayo, hili FORD 7500.Bei zetu ni nzuri zipo baina ya Tshs. 40,000/= hadi 60,000/= kulingana na umbali.
Kwa mawasiliano:1. 0787519910 na 0767519910... Tutakujibu kwa simu na sms!!2. Kwa 0787519910 tutakujibu kwa...

 

11 years ago

Habarileo

Vijana Muleba wakabidhiwa trekta la mil. 43/-

HALMASHAURI ya Wilaya ya Muleba imenunua trekta lenye thamani ya Sh mil.43 na kulikabidhi kwa vijana wa wilaya hiyo. Trekta hilo litatumika kuanzisha mashamba ya kilimo cha mazao mbalimbali ili kujiajiri na kuacha utegemezi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Trekta lagonga bodaboda laua wawili.

WATU wawili wamekufa kwa kugongwa na trekta katika kijiji cha Mtakata kata ya Magamba wilayani Mlele mkoani Katavi. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Katavi Kamishina mwandamizi msaidizi Dhahiri Kidavashari...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wajawazito Chalinze watumia trekta kwenda hospitali

WANAWAKE katika Kitongoji cha Makupani, Kijiji cha Saadani chumvi, wanalazimika kusafiri umbali wa kilomita 12  kwa kutumia trekta kufuata huduma ya kujifungua hospitalini. Wakizungumza katika mkutano wa kampeni za mgombea...

 

10 years ago

Dewji Blog

DStv yazindua huduma ya kukodisha filamu kwenye dikoda

dstm

Meneja uendeshaji wa Multichoice Tanzania, Ronald Shelukindo (kushoto)  akionesha dikoda ya  Explora wakati wa uzinduzi rasmi uliofanyika leo Mei 20, jijini Dar es Salaam kwa wandishi wa habari (Hawapo pichani). Kulia kwake ni Meneja Uhusiano wa MultiChoice Tanzania, Barbara Kambogi. Picha na Andrew Chale wa modewjiblog)

Na Andrew Chale, Modewji blog

MultiChoice imezindua rasmi huduma ya kukodisha filamu BOX OFFICE, kupitia wateja wao wa DStv popote walipo nchini

Box Office ni huduma...

 

10 years ago

Michuzi

DSTV yazindua huduma ya kukodisha filamu iitwayo Box Office

Meneja Uendeshaji wa MultiChoice Tanzania, Ronald Baraka Shelukindo akizungumza machache wakati wa uzinduzi wa huduma ya kukodisha filamu iitwayo Box Office iliopo kwenye Dekoda ya Explora PVR, uliofanyika leo kwenye hoteli ya New Afrika, jijini Dar es salaam.
MultiChoice inapenda kuwatangazia  wateja wa DStv kwamba, imezindua rasmi huduma ya kukodisha filamu ya Box Office leo tarehe 20 Mei 2015.
• Box Office ni huduma inayokuwezesha kukodisha na kuangalia filamu mpya  ( Hazionyeshwi kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani