Tangazo la biashara ya kukodisha trekta
TUNAKODISHA TREKTA!!"Kwa wale wakulima wenye ekari za kutosha maeneo kuanzia Mkuranga, Mwarusembe, Kimanzichana ya Mkiu, Mkamba nk hadi maeneo ya Ikwiriri na Rufiji.... mkombozi kapatikana sasa. Ile hofu ya kulima kwa muda muafaka imepata jawabu!!Tumeleta trekta linalofaa kupambana kwa kazi maeneo hayo, trekta hilo ni FORD 7500.Bei zetu ni nzuri zipo baina ya Tshs. 40,000/= hadi 60,000/= kulingana na umbali.Kwa mawasiliano:1. 0787519910 na 0767519910... Tutakujibu kwa simu na sms!!2. Kwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F9hpq0MjsrQ/VQpUd2WBhnI/AAAAAAAHLYA/hFkYVbsZLaM/s72-c/unnamed%2B(55).jpg)
TANGAZO TANGAZO TANGAZO Je Unataka kujifunza jinsi ya kuanzisha,kuendesha na kusimamia biashara yako?
10 years ago
BBCSwahili01 Oct
Tangazo la biashara lazua zogo China
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZvpLMAznC40/U4u5XMJv4eI/AAAAAAAFnDQ/eYv55PMVFa8/s72-c/unnamed+(39).jpg)
trekta linauzwa
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZvpLMAznC40/U4u5XMJv4eI/AAAAAAAFnDQ/eYv55PMVFa8/s1600/unnamed+(39).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FLXR3IlLNO0/Vbx3LhbkgWI/AAAAAAAHs_A/h68R0MeIcxY/s72-c/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
TREKTA LINAKODISHWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-FLXR3IlLNO0/Vbx3LhbkgWI/AAAAAAAHs_A/h68R0MeIcxY/s640/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
Kwa mawasiliano:1. 0787519910 na 0767519910... Tutakujibu kwa simu na sms!!2. Kwa 0787519910 tutakujibu kwa...
11 years ago
Habarileo26 Dec
Vijana Muleba wakabidhiwa trekta la mil. 43/-
HALMASHAURI ya Wilaya ya Muleba imenunua trekta lenye thamani ya Sh mil.43 na kulikabidhi kwa vijana wa wilaya hiyo. Trekta hilo litatumika kuanzisha mashamba ya kilimo cha mazao mbalimbali ili kujiajiri na kuacha utegemezi.
10 years ago
Tanzania Daima15 Sep
Trekta lagonga bodaboda laua wawili.
WATU wawili wamekufa kwa kugongwa na trekta katika kijiji cha Mtakata kata ya Magamba wilayani Mlele mkoani Katavi. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Katavi Kamishina mwandamizi msaidizi Dhahiri Kidavashari...
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
Wajawazito Chalinze watumia trekta kwenda hospitali
WANAWAKE katika Kitongoji cha Makupani, Kijiji cha Saadani chumvi, wanalazimika kusafiri umbali wa kilomita 12 kwa kutumia trekta kufuata huduma ya kujifungua hospitalini. Wakizungumza katika mkutano wa kampeni za mgombea...
10 years ago
Dewji Blog20 May
DStv yazindua huduma ya kukodisha filamu kwenye dikoda
Meneja uendeshaji wa Multichoice Tanzania, Ronald Shelukindo (kushoto) akionesha dikoda ya Explora wakati wa uzinduzi rasmi uliofanyika leo Mei 20, jijini Dar es Salaam kwa wandishi wa habari (Hawapo pichani). Kulia kwake ni Meneja Uhusiano wa MultiChoice Tanzania, Barbara Kambogi. Picha na Andrew Chale wa modewjiblog)
Na Andrew Chale, Modewji blog
MultiChoice imezindua rasmi huduma ya kukodisha filamu BOX OFFICE, kupitia wateja wao wa DStv popote walipo nchini
Box Office ni huduma...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BpzgpJx5uMM/VVyghFkdlOI/AAAAAAAHYjw/XJgVPcEFME0/s72-c/unnamed.jpg)
DSTV yazindua huduma ya kukodisha filamu iitwayo Box Office
![](http://3.bp.blogspot.com/-BpzgpJx5uMM/VVyghFkdlOI/AAAAAAAHYjw/XJgVPcEFME0/s640/unnamed.jpg)
MultiChoice inapenda kuwatangazia wateja wa DStv kwamba, imezindua rasmi huduma ya kukodisha filamu ya Box Office leo tarehe 20 Mei 2015.
• Box Office ni huduma inayokuwezesha kukodisha na kuangalia filamu mpya ( Hazionyeshwi kwenye...