DStv yazindua huduma ya kukodisha filamu kwenye dikoda
Meneja uendeshaji wa Multichoice Tanzania, Ronald Shelukindo (kushoto) akionesha dikoda ya Explora wakati wa uzinduzi rasmi uliofanyika leo Mei 20, jijini Dar es Salaam kwa wandishi wa habari (Hawapo pichani). Kulia kwake ni Meneja Uhusiano wa MultiChoice Tanzania, Barbara Kambogi. Picha na Andrew Chale wa modewjiblog)
Na Andrew Chale, Modewji blog
MultiChoice imezindua rasmi huduma ya kukodisha filamu BOX OFFICE, kupitia wateja wao wa DStv popote walipo nchini
Box Office ni huduma...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BpzgpJx5uMM/VVyghFkdlOI/AAAAAAAHYjw/XJgVPcEFME0/s72-c/unnamed.jpg)
DSTV yazindua huduma ya kukodisha filamu iitwayo Box Office
![](http://3.bp.blogspot.com/-BpzgpJx5uMM/VVyghFkdlOI/AAAAAAAHYjw/XJgVPcEFME0/s640/unnamed.jpg)
MultiChoice inapenda kuwatangazia wateja wa DStv kwamba, imezindua rasmi huduma ya kukodisha filamu ya Box Office leo tarehe 20 Mei 2015.
• Box Office ni huduma inayokuwezesha kukodisha na kuangalia filamu mpya ( Hazionyeshwi kwenye...
10 years ago
VijimamboDSTV TANZANIA YAZINDUA RASMI HUDUMA KUKODISHA FILAMU YA BOX OFFICE
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HWZ-hnT8LXQ/VH87dM6RAnI/AAAAAAAG1DY/k3kXalXm4pM/s72-c/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-z0K9aWpjI9o/VHlnt9wGk3I/AAAAAAAG0Ec/k7323zojKWg/s72-c/Sports-swahili-Blog-Ad-800-X-600-Pixel.jpg)
10 years ago
Dewji Blog29 Jun
Clouds Media International yazindua huduma mpya ya kutafuta na kuunganisha wasanii kwenye shughuli mbalimbali za burudani
Mkurugenzi wa Clouds Media, Joseph Kusaga.
*Wasanii kutoka Afrika, Mashariki ya Kati na Asia kunufaika na huduma hii.
Kampuni ya Clouds Media International leo imetangaza kuzindua huduma mpya ya kutafuta na kuwaunganisha wasanii kwenye nafasi za kutoa burudani kwenye matamasha na matukio mbalimbali.
Kazi hiyo ya kuunganisha na kuwatafutia wasanii nafasi ya kutoa burudani itakuwa chini ya Status Bookings ambayo ni kampuni dada ya Clouds Media Group.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Clouds Media,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HLZ5Zl_3ZEw/VZEjQNJwaEI/AAAAAAAHljY/sroPUTkkks4/s72-c/581522_489635121134789_1304210883_n.jpg)
Clouds Media International yazindua huduma mpya ya kutafuta na kuunganisha (booking) wasanii kwenye shughuli mbalimbali za burudani.
![](http://2.bp.blogspot.com/-HLZ5Zl_3ZEw/VZEjQNJwaEI/AAAAAAAHljY/sroPUTkkks4/s640/581522_489635121134789_1304210883_n.jpg)
· Wasanii kutoka Afrika, Mashariki ya Kati na Asia kunufaika na huduma hii.
Abu Dhabi – Kampuni ya Clouds Media International leo imetangaza kuzindua huduma mpya ya kutafuta na kuwaunganisha wasanii kwenye nafasi za kutoa burudani kwenye matamasha na matukio mbalimbali.
Kazi hiyo ya kuunganisha na kuwatafutia wasanii nafasi ya kutoa burudani itakuwa chini ya Status Bookings ambayo ni kampuni dada ya Clouds Media Group.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Clouds Media, Joseph Kusaga, uzinduzi wa...
10 years ago
Michuzi13 Dec
MANISPAA YA KINONDONI YAZINDUA HUDUMA YA BURE YA INTERNETI KWENYE KITUO KIPYA CHA DALADALA CHA SINZA
![](https://4.bp.blogspot.com/-wJv_GGAc-Ls/VIvoHinBNPI/AAAAAAAAsCQ/9xL20rGX1d4/s1600/7.%2BMtandao%2Bkatika%2Bsimu%2Bbaada%2Bya%2Bkuzinduliwaa.jpg)
Akizindua huduma hiyo, jana, Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda alisema, mtandao wa WiFi umeunganishwa kwenye kituo hicho kupitia mkongo wa mawasiliano kupitia Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).
Mwenda alisema, mtandao huo utakuwepo usiku na...
10 years ago
Vijimambo13 Dec
MANISPAA YA KINONDONI YAZINDUA HUDUMA YA BURE YA INTERNETI KWENYE KITUO KIPYA CHA DALADALA CHA SIMU2000
![](https://4.bp.blogspot.com/-wJv_GGAc-Ls/VIvoHinBNPI/AAAAAAAAsCQ/9xL20rGX1d4/s1600/7.%2BMtandao%2Bkatika%2Bsimu%2Bbaada%2Bya%2Bkuzinduliwaa.jpg)
Akizindua huduma hiyo, jana, Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda alisema, mtandao wa WiFi umeunganishwa kwenye kituo hicho kupitia mkongo wa mawasiliano kupitia Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).
Mwenda alisema, mtandao huo utakuwepo usiku na...