Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DSTV TANZANIA YAZINDUA RASMI HUDUMA KUKODISHA FILAMU YA BOX OFFICE

Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Multichoice Tanzania Barbara Kambogi  akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusu uzinduzi wa huduma mpya ya DStv ya kukodisha filamu yaani Box Office iliyofanyika leo kwenye hotel ya New Afrika jijini Dar, kushoto ni Meneja uendeshaji wa Multichoice Tanzania, Ronald Shelukindo.Meneja uendeshaji wa Multichoice Tanzania, Ronald Shelukindo akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya kukodisha filamu Box Office  leo jijini...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

DSTV yazindua huduma ya kukodisha filamu iitwayo Box Office

Meneja Uendeshaji wa MultiChoice Tanzania, Ronald Baraka Shelukindo akizungumza machache wakati wa uzinduzi wa huduma ya kukodisha filamu iitwayo Box Office iliopo kwenye Dekoda ya Explora PVR, uliofanyika leo kwenye hoteli ya New Afrika, jijini Dar es salaam.
MultiChoice inapenda kuwatangazia  wateja wa DStv kwamba, imezindua rasmi huduma ya kukodisha filamu ya Box Office leo tarehe 20 Mei 2015.
• Box Office ni huduma inayokuwezesha kukodisha na kuangalia filamu mpya  ( Hazionyeshwi kwenye...

 

10 years ago

Dewji Blog

DStv yazindua huduma ya kukodisha filamu kwenye dikoda

dstm

Meneja uendeshaji wa Multichoice Tanzania, Ronald Shelukindo (kushoto)  akionesha dikoda ya  Explora wakati wa uzinduzi rasmi uliofanyika leo Mei 20, jijini Dar es Salaam kwa wandishi wa habari (Hawapo pichani). Kulia kwake ni Meneja Uhusiano wa MultiChoice Tanzania, Barbara Kambogi. Picha na Andrew Chale wa modewjiblog)

Na Andrew Chale, Modewji blog

MultiChoice imezindua rasmi huduma ya kukodisha filamu BOX OFFICE, kupitia wateja wao wa DStv popote walipo nchini

Box Office ni huduma...

 

10 years ago

Michuzi

ECOBANK TANZANIA YAZINDUA RASMI WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA

Wafanyakazi wa Ecobank Tanzania wakikata keki kwa pamoja na wateja wa benki hiyo Bw. Betwel Usio (Katikati) na Anna Swai (wa kwanza kushoto) kuashiria uzinduzi rasmi wa wiki ya huduma kwa wateja katika hafla iliyofanyika kwenye tawi la benki hiyo la Sokoine jijini Dar es salaam. Meneja wa benki tawi la Sokoine Bi. Anna Chimalilio akimlisha keki moja ya wateja wa benki hiyo Bw. Betwel Usio wakati wa uzinduzi wa wiki ya huduma kwa wateja katika hafla ya uzinduzi iliyofanyika kwenye tawi la...

 

10 years ago

Michuzi

News alert: MultiChoice officially launches Box Office in Tanzania today!

MultiChoice Tanzania Operations Manager, Ronald Shelukindo demonstrates how you can rent movies through on Box Office. DStv just launched the service in Tanzania.MultiChoice has officially launched Box Office in Tanzania, in what is yet another move to provide DStv subscribers with the ultimate in home television entertainment.

BoxOffice is a service that allows subscribers to conveniently rent and watch the latest blockbuster movies in the comfort of their homes, right on their Explora...

 

10 years ago

Dewji Blog

DSTV Tanzania yazindua kifurushi kipya

3

Meneja uendeshaji wa Multichoice Tanzania, Ronald Shelukindo (kulia), akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi wa kifurushi kipya cha  DSTV Bomba.(katikati), Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Multichoice Tanzania Barbara Kambogi, na kushoto ni Meneja Masoko wa Multichoice, Furaha Samalu.

Na Mwandishi wetu

KAMPUNI ya Multichoice Tanzania  kupitia huduma ya DSTV imewataka wasanii kupeleka kazi zao ili waweze kutambulika nje na ndani ya nchi.

Kauli hiyo imetolewa  Dar es Salaam leo na Meneja Masoko...

 

5 years ago

RFI

'Sonic' again tops N. American box office

'Sonic' again tops N. American box office  RFISonic The Hedgehog: 10 Things In The Movie That Only Make Sense If You Played The Games  Screen RantIn The Battle Of The Hybrids, 'Call Of The Wild' Comes Up Short Against 'Sonic'  Cartoon BrewFollowing Its Record-Breaking Start, The Sonic Movie Has Crossed A New Box Office Milestone  GameSpotWeekend Box Office: Even Call Of The Wild's computer-generated hound can't catch Sonic  The A.V. ClubView Full coverage on Google...

 

10 years ago

Dewji Blog

TPB yazindua huduma malaamu ya akaunti kwa vikundi visivyo rasmi

Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi, (NEC), Beng’I Issa, (kushoto), akikata utepe kuzindua huduma maalum ya akaunti ya vikundi visivyo rasmi, Juni 24, 2015.

Katika jitihada za kuwafikia Watanzania mbalimbali Benki ya Posta Tanzania (TPB) imezindua akaunti maalum kwa ajili ya Vikundi Visivyo Rasmi.

Uzinduzi huo ulifanywa na Katibu Mtendaji  wa Shirika la Uwezeshaji Tanzania, Beng’I Issa katika viwanja vya Shule ya Msingi Osterbay, Dar es...

 

10 years ago

Michuzi

TPB YAZINDUA HUDUMA MAALUMU YA AKAUNTI KWA VIKUNDI VISIVYO RASMI

Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi, (NEC), Beng’I Issa, (kushoto), akikata utepe kuzindua huduma maalum ya akaunti ya vikundi visivyo rasmi, jana.

KATIKA  jitihada za kuwafikia Watanzania mbalimbali Benki ya Posta Tanzania (TPB) imezindua akaunti maalum kwa ajili ya Vikundi Visivyo Rasmi. Uzinduzi huo ulifanywa na Katibu Mtendaji  wa Shirika la Uwezeshaji Tanzania, Beng’I Issa katika viwanja vya Shule ya Msingi Osterbay, Dar es Salaam.

Akizungumza wakati wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani