Trekta lagonga bodaboda laua wawili.
WATU wawili wamekufa kwa kugongwa na trekta katika kijiji cha Mtakata kata ya Magamba wilayani Mlele mkoani Katavi. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Katavi Kamishina mwandamizi msaidizi Dhahiri Kidavashari...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM17 Jul
LORI LAACHA NJIA LAGONGA NYUMBA LAUA WATANO PAPO HAPO,LAJERUHI WATATU IRINGA
AJALI mbaya ya gari im,etokea usiku wa leo mkoani Iringa baada ya lori la mizigo lenye namba za usajili T 801 ACD lililokuwa likielekea mkoani Mbeya kuacha njia na kugonga nyumba iliyokuwa ikitumiwa kama sehemu ya klabu cha kuuzia pombe za kienyeji na kusababisha vifo vya watu watano papop hapo wakiwemo watatu wa familia moja.
Tukio hilo limetokea majira ya saa 4 usiku wa leo katika eneo la njia panda ya makumbusho ya Isimila kata ya Mseke wilaya ya Iringa katika barabara kuu ya Iringa -...
10 years ago
Habarileo17 Aug
Gari lenye maiti 10 laua ‘bodaboda’, abiria
DEREVA wa bodaboda na abiria wake wamekufa papo hapo baada ya kugongwa na gari lililobeba maiti 10 zilizotolewa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam.
11 years ago
Mwananchi06 Feb
Basi laua wawili, kujeruhi 40
10 years ago
Habarileo14 Oct
Gunia la mahindi laua watoto wawili
WATOTO wawili wa familia moja wamefariki dunia baada ya kuangukiwa na gunia la mahindi nyumbani kwao katika kijiji cha Katunguru, kata ya Usisya wilayani Urambo mkoani hapa.
10 years ago
Dewji Blog19 Feb
Basi la Kidia Express laua wawili Dodoma leo
Na Mwandishi wetu wa modewjiblog, Dodoma
Habari zilizotufikia kutoka Mkoani Dodoma: Basi la Kidia One Express lagongana na lori na kudaiwa kusababisha vifo vya watu wawili huku likijeruhi abiria kadhaa. Taarifa hiyo ilieleza kuwa ajali hiyo iliyotokea leo majira ya saa Saba mchana.
Taarifa kutoka chanzo cha ajali hizo zilieleza kuwa, ajali hiyo imetokea maeneo ya Mbande, njia ya kuelekea Dodoma kutoka Morogoro, ambapo basi la abiria la Kidia Express, limegongana na lori.
Imeelezwa kuwa,...
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Msaidizi wa IGP na familia yake wafa maji, basi laua wawili
11 years ago
Dewji Blog01 Jul
Basi la Lushanga laua mmoja na kujeruhi wawili Sengerema, Picha na habari ziko hapa!
Kijana ambaye ni dereva wa toroli la miguu minne jina lake halikuweza kupatikana mara moja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 32 amefariki dunia papo hapo na kupasuka Kichwa baada ya kugongwa na basi la abiria lililokuwa likitokea mkoa wa Geita kuelekea jijini Mwanza kwenye makutano ya barabara ya Kamanga na Busisi wilayani Sengerema mkoani Mwanza. Kijana huyo pia alikuwa akiendesha Pikipiki bila kuvaa “Helmet” huenda ingemsaidia asipasuke Kichwa.(Picha na Zainul Mzige).
Na MOblog,...
11 years ago
Habarileo16 Feb
Ajali za bodaboda zaua wawili
WATU wawili wamekufa katika ajali mbili tofauti zilizohusisha bodaboda na gari zilizotokea jana jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pLakhoz5yjI/U-IWnkcrNsI/AAAAAAAF9jU/QWPNJvqQZ38/s72-c/unnamed+(51).jpg)
WATU WATANO (5) MBARONI KWA TUHUMA ZA MAUAJI YA MADEREVA WAWILI WA BODABODA MKOANI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-pLakhoz5yjI/U-IWnkcrNsI/AAAAAAAF9jU/QWPNJvqQZ38/s1600/unnamed+(51).jpg)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu watano (5) kwa kuhusika na mauaji ya madereva wawili wa bodaboda kwa nyakati tofauti.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema watuhumiwa watatu ambao ni ALEX S/O LETEMA LEWENJE mweye umri wa miaka 20, Mkaguru, ANDREA S/O MAJUTO CHIGUNDULA mwenye umri wa miaka 24, Mkaguru na NABAKI S/O MAUNGO MWIGOE mwnye umri wa miaka 23, Mkaguru wote...