LHRC: Haki za ajira hazitekelezwi kivitendo
IMEELEZWA kwamba baadhi ya makapuni na mashirika mbalimbali bado haki za ajira hazitekelezwi kivitendo na hivyo kusababisha wafanyakazi kufanya kazi katika mazingira magumu. Hayo yalisemwa na Kaimu Mkurugenzi wa Kituo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
LHRC, TLS wazidi kusaka haki
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) na Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), wamesema kuwa wanapinga hukumu ya pili iliyoeleza kuwa hawana mamlaka ya kumshitaki Waziri Mkuu kwa kuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ASrdDd5OxpQ/XqmPuETVc-I/AAAAAAAA36g/LC5VIFmNSQgqJ7X8cXxqDE_fUCENddQEACNcBGAsYHQ/s72-c/LHRC%2B%25282%2529.jpeg)
LHRC YAZINDUA RIPOTI YA HAKI ZA BINADAMU TANZANIA 2019
![](https://1.bp.blogspot.com/-ASrdDd5OxpQ/XqmPuETVc-I/AAAAAAAA36g/LC5VIFmNSQgqJ7X8cXxqDE_fUCENddQEACNcBGAsYHQ/s640/LHRC%2B%25282%2529.jpeg)
Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Anna Henga (katikati) akikata utepe kama ishara ya uzinduzi wa Ripoti ya Haki za Binadamu Tanzania 2019. Uzinduzi huo uliofanyika leo Aprili 29, 2020 katika ofisi za LHRC jijini Dar es Salaam na wadau kufuatilia kwa njia ya mtandao.
![](https://2.bp.blogspot.com/-GL8HXt4jK94/XqmPuPys-oI/AAAAAAAA36k/ymKRoqSv66MaGb48whLRidCpA2jdDgv7gCNcBGAsYHQ/s640/LHRC%2B%25281%2529.jpeg)
Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Anna Henga (katikati), Afisa Utafiti, Fundikila Wazambi (kushoto) na Mkurugenzi wa Uwajibikaji na Uwezeshaji wa Kituo hicho, Felista Mauya (kulia) wakionesha nakala za Ripoti ya Haki za Binadamu Tanzania...
9 years ago
Mwananchi26 Sep
Vyombo vya dola kinara uvunjifu wa haki za binadamu-LHRC
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mF9Rwlmh2ak/Xlis28NbKxI/AAAAAAALfy4/FPx60-Z2xiAwIM3aRS0jAYYPohMS9llHgCLcBGAsYHQ/s72-c/1c249259-3ace-4049-b198-755ca917a887.jpg)
THBUB, LHRC wajipanga kutoa elimu ya haki za binadamu mashuleni
![](https://1.bp.blogspot.com/-mF9Rwlmh2ak/Xlis28NbKxI/AAAAAAALfy4/FPx60-Z2xiAwIM3aRS0jAYYPohMS9llHgCLcBGAsYHQ/s640/1c249259-3ace-4049-b198-755ca917a887.jpg)
Mwenyekiti wa THBUB, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu akiongea katika kikao cha majadiliano kilichowakutanisha ujumbe wa THBUB na Viongozi wa LHRC kwenye ofisi za kituo hicho jijini Dodoma leo (Februari 27, 2020). Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Anna Henga.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/62e7e75f-e624-43a0-8657-4f66175a2c5b.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar27 Sep
Vyombo vya dola kinara uvunjifu wa haki za binadamu asilimia 66-LHRC
Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Dk Helen Kijo-Bisimba Sunday, September 27, 2015 Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimesema asilimia 60 ya uvunjifu wa haki za binadamu nchini unafanywa na vyombo vya dola huku asilimia […]
The post Vyombo vya dola kinara uvunjifu wa haki za binadamu asilimia 66-LHRC appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
GPLKITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU (LHRC) CHAENDELEA KUIPINGA ADHABU YA KIFO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NY0_pXMwCZs/XqgpndQvHII/AAAAAAAA34Q/1QCq1TFqoqgeAMzy0et4ePVm6Wk5YNK7wCNcBGAsYHQ/s72-c/haki.jpg)
LHRC KUZINDUA RIPOTI YA HAKI ZA BINADAMU TANZANIA 2019 KWA NJIA YA MTANDAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-NY0_pXMwCZs/XqgpndQvHII/AAAAAAAA34Q/1QCq1TFqoqgeAMzy0et4ePVm6Wk5YNK7wCNcBGAsYHQ/s640/haki.jpg)
RIPOTI imepangwa kuzinduliwa Jumatano, Aprili 29, 2020 kupitia mtandao wa YouTube (Haki TV), mtandao wa Zoom na mitandao ya Twitter, Facebook na Instagram.
Kwa mujibu wa LHRC, hii ni mara ya kwanza kwa shirika hilo la utetezi wa haki za binadamu hapa nchini kuzindua ripoti kwa njia ya kidigitali tangu walipoanza kuchapisha ripoti hiyo mwaka...
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Haki ya migomo katika ajira na taratibu zake kisheria