LIGI KUU: Ni vita Mbeya, Dar hadi Shinyanga
>Unaweza kusema ni kama vita ya kuanzia Mbeya, Dar es Salaam hadi Shinyanga leo wakati vigogo vya soka nchini wakisaka pointi tatu muhimu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV07 Sep
Timu za ligi kuu shinyanga awaomba mashabiki kujenga mshikamano
Wakati mkoa wa Shinyanga ukijipanga kuongeza zaidi timu za ligi kuu, mkuu wa mkoa huo Alhaj Ally Nassoro Lufunga amewakumbusha mashabiki kujenga mshikamano ili malengo hayo yatimie.
Mkuu huyo wa mkoa ambaye ni shabiki wa michezo amewataka mashabiki wa soka mkoani humo wajenge wivu wa kimaendeleo na siyo malumbano ambayo mwisho wake siyo mzuri.
Rai hiyo ya mkuu wa mkoa ameitoa baada ya kubaini kuwepo na kinyongo kutoka kwa mashabiki Mwadui FC kwa madai Serikali mkoani humo na wadau wa...
11 years ago
Michuzi03 Feb
MSIMAMO WA LIGI KUU YA VODACOM HADI SASA
Pos. Logo Club P W D L GF GA GD Pts 1 Azam FC 15 9 6 0 25 10 15 33 2 Young Africans SC 15 9 5 1 33 12 21 32 3 Mbeya City FC 15 8 7 0 21 11 10 31 4 Simba SC 15 8 6 1 31 13 19 30 5 Kagera Sugar FC 14 5 5 4 15 12 3 20 6 Mtibwa Sugar FC 14 5 5 4 20 17 3 20 7 Coastal Union SC 15 3 9 3 10 7 3 18 8 Ruvu Shooting Stars 14 4 6 4 16 16 0 18 9 JKT Ruvu Stars 14 6 0 8 13 18 -5 18 10 Rhino Rangers 15 2 5 8 9 19 -10 11 11 JKT Oljoro...
9 years ago
GPLVita ya makocha sita wa Ulaya Ligi Kuu
10 years ago
Mwananchi31 Jan
Chelsea, Manchester City ni vita ya ubingwa Ligi Kuu England
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Wageni wa Ligi Kuu mmeiona Mbeya City?
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Azam FC, Mbeya City zimetia fora Ligi Kuu
KAMPENI ya miamba 14 kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara iliyoanza Agosti 24, mwaka jana, imefikia tamati mwishoni mwa wiki. Ligi hiyo imehitimishwa kwa rekodi ya aina...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Mtihani wa timu ngeni Ligi Kuu na nyayo za Mbeya City 2013/14
TIMU ngeni katika Ligi Kuu ya msimu ujao ambao utaanza Septemba 20, ni Ndanda FC ya Mtwara, Polisi ya Morogoro na Stand United ya Shinyanga zikiziba nafasi ya zilizoshuka ambazo...