Lilian Malkia wa Arusha City Centre 2014
MREMBO Lilian Deus, ameibuka kinara wa Redd’s Miss Arusha City Center na kujinyakulia kitita cha sh milioni 4 katika kinyang’anyiro kilichofanyika mwishoni mwa wiki jijini hapa. Lilian alifuatiwa na Leila...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziJIHAN NDIYE MISS DAR CITY CENTRE 2014
11 years ago
MichuziMISS DAR CITY CENTRE 2014 TALENT SHOW KUTIKISA MAISHA CLUB
Shindano hilo litaongozwa na wasanii, Rich...
11 years ago
Dewji Blog16 May
Miss Dar City Centre 2014 Talent Show kutikisha Maisha Club Ijumaa hii
Mratibu wa shindano hilo, Judith Michael akizungumza na wanahabari, pamoja nae ni Mkufunzi wa warembo hao.
Warembo wanaowania taji la Miss Dar City Center 2014 wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa mkutano na waandishi wa Habari hii .
Na Father Kidevu Blog
WANYANGE 20 wanao wania taji la Miss Dar City Center kesho Mei 16 mwaka huu watawasha moto vikali katika ukumbi wa Maisha Club wakati wa shindano lao la Vipaji.
Shindano hilo litaongozwa na wasanii, Rich Mavoko, Bonge la Nyau na TID...
11 years ago
TheCitizen06 May
City plans to ban boda bodas from city centre
11 years ago
IPPmedia08 Apr
Chadema wants bodaboda back in city centre
IPPmedia
IPPmedia
Police in Dar es Salaam have been called on to adopt innovative approaches suitable to tackle motorcycle related crimes that are on the rise in the city. The call is from opposition party Chadema's youth wing Bavicha whose Secretary General Deogratias ...
5 years ago
BBC News21 Feb
The Batman begins filming in Glasgow city centre
11 years ago
IPPmedia27 Jan
'Bodaboda' drivers 'free to operate in city centre'
IPPmedia
Drivers of motorcycles, commonly known as bodabodas, in Arusha have a reason to smile following the city fathers' decision that they can now operate from the city centre. A week ago the city authorities announced an intention to ban the motorcycles, from ...
Authorities Suspend Move to Ban Bodaboda From Arusha City CentreAllAfrica.com
all 2
11 years ago
Dewji Blog05 May
Miss Dar City Centre kufanyika Mei 24
![Untitled 2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/Untitled-21.jpg)
Na Father Kidevu Blog
SHINDANO la Miss Dar City Center limezinduliwa rasmi jana na linatarajiwa kufanyika mei 24 kwaka huu katika ukumbi ambao utatangazwa baade, huku likishirikisha warembo 15.
Akizungumza katika uzinduzi huo jana, mratibu wa shindano hilo, Judith Charles alisema kuwa, mwaka huu shindano hilo litambapwa na vionjo tofauti tofauti ili kulifanya kuwa la aina yake.
Judith alisema kwamba, wameangalia changamoto zilizotokea kwa waandaaji wa waliopita wa shindano hilo, ili...
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
REBECCA MALOPE: Malkia wa Injili Afrika, gumzo kwa mashabiki Tamasha la Pasaka 2014
JINA la Rebecca Malope si geni masikioni na machoni mwa wengi, hasa kwa wapenzi, mashabiki na wadau wa muziki wa Injili. Rebecca aliyezaliwa mwaka 1968, yu miongoni mwa waimbaji wa...