Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lilian Malkia wa Arusha City Centre 2014

MREMBO Lilian Deus, ameibuka kinara wa Redd’s Miss Arusha City Center na kujinyakulia kitita cha sh milioni 4 katika kinyang’anyiro kilichofanyika mwishoni mwa wiki jijini hapa. Lilian alifuatiwa na Leila...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

JIHAN NDIYE MISS DAR CITY CENTRE 2014

 Washiriki wa Miss Dar City Centre wakitoa burudani   Washiriki wa Miss Dar City Centre wakitoa burudani Hatimaye mbio za kumsaka Miss dar City Centre 2014 zahitimishwa  usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa Dar es salaam free market baada ya mshiriki namba kumi na saba (17) Jihan Dimechk kutawazwa mshindi wa Miss Dar City centre 2104. Picha na Justine Kazaura wa Light Photo Studio

 

11 years ago

Michuzi

MISS DAR CITY CENTRE 2014 TALENT SHOW KUTIKISA MAISHA CLUB



 Warembo wanaowania taji la Miss Dar City Center 2014 wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa mkutano na waandishi wa Habari hii leo. Mratibu wa shindano hilo, Judith Michael akizungumza na wanahabari, pamoja nae ni Mkufunzi wa warembo hao.   ********* Na Father Kidevu Blog  WANYANGE 20 wanao wania taji la Miss Dar City Center kesho Mei 16 mwaka huu watawasha moto vikali katika ukumbi wa Maisha Clab wakati wa shindano lao la Vipaji.
Shindano hilo litaongozwa na wasanii, Rich...

 

11 years ago

Dewji Blog

Miss Dar City Centre 2014 Talent Show kutikisha Maisha Club Ijumaa hii

Dar city 2

Mratibu wa shindano hilo, Judith Michael akizungumza na wanahabari, pamoja nae ni Mkufunzi wa warembo hao.

Dar city 1

Warembo wanaowania taji la Miss Dar City Center 2014 wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa mkutano na waandishi wa Habari hii .

Na Father Kidevu Blog

WANYANGE 20 wanao wania taji la Miss Dar City Center kesho Mei 16 mwaka huu watawasha moto vikali katika ukumbi wa Maisha Club wakati wa shindano lao la Vipaji.

Shindano hilo litaongozwa na wasanii, Rich Mavoko, Bonge la Nyau na TID...

 

11 years ago

TheCitizen

City plans to ban boda bodas from city centre

>The Kampala Capital City Authority is planning to abolish stages for boda bodas in the city centre as part of its efforts to streamline public transport and reduce congestion.

 

11 years ago

IPPmedia

Chadema wants bodaboda back in city centre


IPPmedia
Chadema wants bodaboda back in city centre
IPPmedia
Police in Dar es Salaam have been called on to adopt innovative approaches suitable to tackle motorcycle related crimes that are on the rise in the city. The call is from opposition party Chadema's youth wing Bavicha whose Secretary General Deogratias ...

 

5 years ago

BBC News

The Batman begins filming in Glasgow city centre

The Batman begins filming in Glasgow city centre  BBC NewsView Full coverage on Google News

 

11 years ago

IPPmedia

'Bodaboda' drivers 'free to operate in city centre'


'Bodaboda' drivers 'free to operate in city centre'
IPPmedia
Drivers of motorcycles, commonly known as bodabodas, in Arusha have a reason to smile following the city fathers' decision that they can now operate from the city centre. A week ago the city authorities announced an intention to ban the motorcycles, from ...
Authorities Suspend Move to Ban Bodaboda From Arusha City CentreAllAfrica.com

all 2

 

11 years ago

Dewji Blog

Miss Dar City Centre kufanyika Mei 24

Untitled 2

Na Father Kidevu Blog 

SHINDANO la Miss Dar City Center limezinduliwa rasmi jana na linatarajiwa kufanyika mei 24 kwaka huu katika ukumbi ambao utatangazwa baade, huku likishirikisha warembo 15.

Akizungumza katika uzinduzi huo jana, mratibu wa shindano hilo, Judith Charles alisema kuwa, mwaka huu shindano hilo litambapwa na vionjo tofauti tofauti ili kulifanya kuwa la aina yake.

Judith alisema kwamba, wameangalia changamoto zilizotokea kwa waandaaji wa waliopita wa shindano hilo, ili...

 

11 years ago

Tanzania Daima

REBECCA MALOPE: Malkia wa Injili Afrika, gumzo kwa mashabiki Tamasha la Pasaka 2014

JINA la Rebecca Malope si geni masikioni na machoni mwa wengi, hasa kwa wapenzi, mashabiki na wadau wa muziki wa Injili. Rebecca aliyezaliwa mwaka 1968, yu miongoni mwa waimbaji wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani