JIHAN NDIYE MISS DAR CITY CENTRE 2014
Washiriki wa Miss Dar City Centre wakitoa burudani
Washiriki wa Miss Dar City Centre wakitoa burudani
Hatimaye mbio za kumsaka Miss dar City Centre 2014 zahitimishwa usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa Dar es salaam free market baada ya mshiriki namba kumi na saba (17) Jihan Dimechk kutawazwa mshindi wa Miss Dar City centre 2104. Picha na Justine Kazaura wa Light Photo Studio
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog28 Sep
Jihan Dimachk ndiye Redd’s Miss Tanzania Top Model 2014
Mshindi wa taji la Redd’s Miss Tanzania Top Model 2014, Jihan Dimachk (katikati) akipozi kwa picha na mshindi wa pili Doreen Robert (wapili kulia), mshindi wa tatu Evelyn Baasa ambaye pia ni Miss Tanzania Photogenic 2014 (wapili kushoto), mshindi wa nne, Lilian Timothy (kulia) na Mshindo wa tano Nasreen Abdul, mara baada ya kushinda taji hilo jana ambapo Jihan amekuwa mrembo wa pili kuingia katika nusu fainali za Miss Tanania 2014 baada ya Miss Photogenic. Shindano la Miss Tanzania Top...
11 years ago
MichuziMISS DAR CITY CENTRE 2014 TALENT SHOW KUTIKISA MAISHA CLUB
Shindano hilo litaongozwa na wasanii, Rich...
11 years ago
Dewji Blog16 May
Miss Dar City Centre 2014 Talent Show kutikisha Maisha Club Ijumaa hii
Mratibu wa shindano hilo, Judith Michael akizungumza na wanahabari, pamoja nae ni Mkufunzi wa warembo hao.
Warembo wanaowania taji la Miss Dar City Center 2014 wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa mkutano na waandishi wa Habari hii .
Na Father Kidevu Blog
WANYANGE 20 wanao wania taji la Miss Dar City Center kesho Mei 16 mwaka huu watawasha moto vikali katika ukumbi wa Maisha Club wakati wa shindano lao la Vipaji.
Shindano hilo litaongozwa na wasanii, Rich Mavoko, Bonge la Nyau na TID...
11 years ago
Dewji Blog05 May
Miss Dar City Centre kufanyika Mei 24
![Untitled 2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/Untitled-21.jpg)
Na Father Kidevu Blog
SHINDANO la Miss Dar City Center limezinduliwa rasmi jana na linatarajiwa kufanyika mei 24 kwaka huu katika ukumbi ambao utatangazwa baade, huku likishirikisha warembo 15.
Akizungumza katika uzinduzi huo jana, mratibu wa shindano hilo, Judith Charles alisema kuwa, mwaka huu shindano hilo litambapwa na vionjo tofauti tofauti ili kulifanya kuwa la aina yake.
Judith alisema kwamba, wameangalia changamoto zilizotokea kwa waandaaji wa waliopita wa shindano hilo, ili...
10 years ago
GPLJIHAN DIMESH AWA REDD’S MISS ILALA 2014
10 years ago
VijimamboJihan Dimachk atwaa taji la Redd's Miss Tanzania Top Model 2014
11 years ago
Dewji Blog12 Aug
Miss Ethiopia ndiye Miss Africa Usa 2014, Joy Kalemera awa wanne
Miss Ethiopia akifurahia taji la kuwa Miss Africa katika mashindano hayo yaliyofanyika Rockville, Maryland nchini Marekani na kuhudhuriwa na watu mbalimbali akiwemo Mhe. Balozi Liberata Mulamula, Balozi wa Tanzania nchini Marekani. Mshiriki wa Tanzania, Joy Kalemera ameshika nafasi ya 4 kati ya washiriki 20 walioingia fainali hizo.
Washiriki watano waliopata nafasi ya kuingia tano bora kutoka kushoto ni Miss Tanzania aliyeshika na 4, Miss Uganda aliyeshika na 2, Miss Ethiopia aliyeshinda,...
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-k6nw7Ngk8k4/VDmbXqLNEzI/AAAAAAAGpUQ/KqZOFSsAJ5o/s1600/2.jpg)
MATUKIO YA REDDS MISS TANZANIA 2014 MLIMANI CITY DAR
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-k6nw7Ngk8k4/VDmbXqLNEzI/AAAAAAAGpUQ/KqZOFSsAJ5o/s72-c/2.jpg)
Redds Miss Tanzania 2014 kujulikana usiku huu Mlimani City jijini Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-k6nw7Ngk8k4/VDmbXqLNEzI/AAAAAAAGpUQ/KqZOFSsAJ5o/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-i7WHk70mTzI/VDmh95JQkOI/AAAAAAAGpVQ/cehWYiaODNY/s1600/MMGM0064.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WAegubIpTyk/VDmh-F9kpSI/AAAAAAAGpVY/AFzrCkMKo4E/s1600/MMGM0308.jpg)