Linah: Sijawahi kupata mapenzi ya kweli toka nimeyajua (Audio)
Linah amekiri kuwa tangu ayajue mapenzi, hajawahi kumpata mwanaume aliyempa mapenzi ya kweli. Akiongea kwenye kipindi cha Funiko Base cha Radio 5, Linah ambaye hivi karibuni aliachia ngoma mpya ‘Hello’ aliyoshirikiana na Christian Bella amedai kuwa ndio maana amekuwa akiimba ujumbe kama huo kwenye nyimbo zake. “Lakini sasa hivi nimepata mapenzi ya kweli,” amesema. “Sijawahi […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
LINAH: SIJAWAHI KUSAGANA WALA KUMTAMANI MWANAMKE MWENZANGU
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Namtaka mwenye mapenzi ya kweli
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/h2SvCI1KJvN9zcpbLWctNNyzUYytk07TSVzOKaBJ4ADEWehDaW7txgAX-CteqIs8CRS2V-S9VPN*oZgPGmtHC2hn0M6GAlGx/Love.jpg?width=650)
PESA MBWEMBWE TU, MAPENZI YA KWELI YAPO
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
Hizi ndizo hisia tata za mapenzi ya kweli
KATIKA suala la uhusiano wa kimapenzi, hapana shaka mpenzi mwenye kumpenda mpendwa wake kwa dhati hisia zake za kimapenzi huwa tofauti sana na yule mwenye mapenzi ya ulaghai.
Mpenzi mwenye mapenzi ya kweli hisia zake hugusa kutoka ndani ya moyo wake, ambapo wakati mwingine si rahisi hata pale mmoja anapojaribu kumshauri au kumshawishi kuhusu jambo fulani baya juu ya ampendaye akaweza kuelewa.
Mpenzi wa namna hii huwa kama mjinga ambaye ukimtishia nyau au bastola ya watoto atoe pesa...
10 years ago
Bongo Movies27 Dec
VIJIMAMBO: Hakuna Mapenzi ya Kweli Bila Wivu-Wolper
Mwigizaji Jackline Massawe “Wolper” akiwa amepozi namna hiyo huku akionekana yupo 4GB ametupia mtandaoni ujumbe huu.
“There is no true love without JEALOUSY…Blessed…bby upo peke yakoooooo…love”
Bila shaka huu ujumbe kamtumia mpenzi wake…Lakini hata mimi nawewe unatugusa.....yanaukweli wowote maneno haya?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhhA6XZToLo4*hRp0bi-s-bYdVOB8OaZbiv714gEXMP1*PLTiyJLfETSwh9KON93ZTlQOtZm8IOy3lRDuZ4rNTJIFR1dbHkr/Untitled1.jpg?width=650)
NI VYA KIPUUZI KWELI LAKINI VINA MAANA KUBWA KWENYE MAPENZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UQSvRDwuxJKW4B*dqo00Kia0ZyDDtxLbi1A2oI2aRSQ07iElhrv3ycKkjQdYqqIXSEqAyNSW7XohW6SzCSyCUEETp46tukOZ/1.jpg?width=650)
NI VYA KIPUUZI KWELI LAKINI VINA MAANA KUBWA KWENYE MAPENZI-2
11 years ago
CloudsFM09 Jul
Audio: Ngoma mpya toka kwa Usher ft. Nick Minaj
![](http://1.bp.blogspot.com/-q_qvYzyZkl0/U70G5Kj1r1I/AAAAAAAAFN4/KF3ZvzR73HI/s1600/Usher-n-Nicki.jpg)
Ingawa bado ngoma ya "Good Kisser" inaendelea kufanya poa kwenye media mbali mbali, siku ya jana (July 8) Usher amedondosha ngoma nyine mpya amabayo amemshirikisha Rapper Nick Minaj ngoma inakwenda kwa jina la She Came To Give It To You