Lindi Kumekucha DAUDI MSUNGU achukua fomu za Ubunge

Majogoo yamewika Lindi Mjini,Kada mkereketwa wa CCM Ndugu Daudi Paulo Msungu mapema jana 19 Julai 2015 alifika makao ya CCM mjini Lindi kuchukua fomu kujaza na kuirudishakwa kuwania kiti cha ubunge wa jimbo la Lindi Mjini kwa tiketi ya ridhaa ya chama cha Mapinduzi (CCM).
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
KIJANA DAUDI MRINDOKO ACHUKUA FOMU ZA KUGOMBEA UBUNGE MOSHI MJINI


10 years ago
Michuzi
NAPE ACHUKUA FOMU ZA UBUNGE PAMOJA NA SAID MTANDA LINDI LEO



10 years ago
Vijimambo
KIJANA DAUDI BABU MRINDOKO ARUDISHA FOMU ZA UBUNGE MOSHI MJINI

10 years ago
GPL
KINGWENDU ACHUKUA FOMU YA UBUNGE
11 years ago
MichuziRidhwani achukua fomu za Ubunge Chalinze
10 years ago
Michuzi14 Aug
MREMA ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE

……………………………………………………………………………….. MGOMBEA ubunge jimbo la Vunjo na mwenyekiti wa chama cha TLP ,Agustino Lyatonga Mrema ametamba kuwa jimbo hilo ni mali yake na hayuko tayari kuona likichukuliwa na manyang’au aliodai wa Ukawa. Mrema alitoa kauli hiyo...
10 years ago
Habarileo17 Jul
Msaidizi wa Kikwete achukua fomu ya ubunge
KATIBU wa Rais Jakaya Kikwete, Prosper Mbena amevunja ukimya wa minong’ono ya muda mrefu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Morogoro Kusini, baada kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea wa jimbo hilo kupitia Chama Cha Mapinduzi ( CCM).
10 years ago
Vijimambo
NYALANDU ACHUKUA FOMU YA NEC KUWANIA UBUNGE


11 years ago
Mwananchi15 Feb
Mgimwa achukua fomu za Ubunge kwa mbwembwe