Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lipumba amuunga mkono Sitta

Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim LipumbaMWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Ibrahim Lipumba, amesema Mbunge wa Urambo Mashariki, Samuel Sitta, ana sifa zote za kuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Rais wa Brazil amuunga mkono Alves

Rais wa Brazil, amemsifu Alves kufuatia tukio la ubaguzi wa rangi katika mechi ya Barcelona na Villareal .

 

10 years ago

Mwananchi

Makamu wa Rais Zanzibar amuunga mkono Membe

Dar es Salaam. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi amesema atakuwa bega kwa bega na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe katika mbio zake za kuwania urais.

 

9 years ago

BBCSwahili

Jenerali Shwe 'amuunga mkono' Suu Kyi

Kiongozi wa zamani wa kijeshi wa Myanmar, Jenerali Than Shwe, 'amemuunga mkono' kinara wa upinzani Bi Aung San Suu Kyi katika mkutano wa siri

 

9 years ago

Bongo5

Rihanna amuunga mkono Kanye West aliyetangaza kuwania urais wa Marekani 2020

Kanye West alitangaza uamuzi mkubwa kwenye VMAs weekend iliyopita – kuwania urais wa Marekani 2020. Haijalishi kama ataendelea na uamuzi huo, lakini tayari rapper huyo ameshapata support kutoka kwa mastaa wengine akiwemo Rihanna. Kwenye interview na ET, muimbaji huyo wa “Bitch Better Have My Money”alimuunga mkono Yeezy. “I mean people are voting for [Donald] Trump,” […]

 

9 years ago

Michuzi

KOMBE AMUUNGA MKONO RAIS MAGUFULI KWA KUWAPATIA JAMBO LEO FAGIO ZA USAFI SIKUKUU YA UHURU

 Waandishi wa habari wa gazeti la Jambo Leo, wakifurahia kupata fagio walizokabidhiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Zahanati ya Mji Mwema Kigamboni, Dar es Salaam, Omary Kombe (kulia), katika hafla iliyofanyika katika chumba cha habari cha gazeti hilo, Dar es Salaam. Kombe ametoa msaada huo kuunga mkono maelekezo ya Rais Dk. John Magufuli ya kufuta sherehe za Sikukuu ya Uhuru ili wananchi washiriki siku hiyo kufanya usafi wa mazingira kwa lengo la kutokomeza ugonjwa wa kipindupindu nchini. (PICHA...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mzee Majuto Amuunga Mkono Wema Sepetu, Diamond Amtaka Wema Abadilike Kama Kweli Anautaka Ubunge

Mzee Majuto  kwa mara ya kwanza ameamua kufunguka kumuunga mkono Wema Sepetu kwa nia yake ya kutaka kuwa mbunge.Kupitia ukurasa wake mtandaoni, Mzee Majuto ameandika;

Nisingependa kuyaongea haya kwenye mfungu mtukufu ila kiundani ningependa kuonyesha umoja na kumuunga mkono wazo na lengo la Mwanangu kwa kuwa anaweza na amethubutu sasa isitokee wale wasiopenda maendeleo ya watu na taifa hili kuvuruga misingi na mipango madhubuti ya kuwapa nafasi vijana na hasa wanawake kushika hatamu na...

 

11 years ago

TheCitizen

Lipumba snubs Sitta’s appointment

>In what appears to be the opposition’s discontent with developments in the Constituent Assembly (CA), the national chairman of the Civic United Front (CUF), Prof Ibrahim Lipumba, stunned members when he snubbed CA chairman’s appointment in the crucial committee.

 

9 years ago

Mwananchi

Lipumba arejea, aapa kutounga mkono Ukawa

Aliyekuwa Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahimu Lipumba alirejea nchini jana jioni akitokea Kigali, Rwanda alikokwenda mara tu baada ya kujiuzulu wadhifa huo siku nane zilizopita.

 

10 years ago

Mwananchi

Profesa Lipumba: Sitasahau siku polisi waliponivunja mkono

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amesema hatasahau kamwe mambo mawili makubwa katika maisha yake kisiasa; kukamatwa, kupigwa na kisha kuvunjwa mkono na polisi waliokuwa wakijaribu kudhibiti wafuasi wa chama chake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani