Lissu amjibu JK kuhusu Richmond
Siku moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kumtaka Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu amtaje mhusika wa Richmond anayezunguka naye kwenye kampeni, Mbunge huyo wa Singida Mashariki ameibuka na kudai kuwa Rais huyo ndiye mhusika kwa kuwa ndiye mwenye mamlaka ya kuteua na kuwawajibisha mawaziri.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo16 Sep
TUNDU LISSU AMJIBU KIKWETE KUHUSU RICHMOND
![](http://media2solution.files.wordpress.com/2012/08/mbunge-wa-singida-mashariki-tundu-lisu-akizungumza-na-wananchi-wa-manispaa-ya-morogoro-waliojitokeza-katika-mkutano.jpg)
Juzi, akiwa Kigoma, Rais Kikwete alieleza kumshangaa Lissu kumtaka amtaje mhusika wa Richmond wakati mtu huyo anazunguka naye kwenye mikutano ya kampeni na kumtaka amtaje la sivyo yeye...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/s93Zy4xNeZ0/default.jpg)
9 years ago
TheCitizen16 Sep
War of words as Lissu links JK with Richmond
11 years ago
Mwananchi05 Apr
Jussa amjibu Kinana kuhusu Katiba ya Zanzibar
9 years ago
GPLSITTA AMJIBU SUMAYE KUHUSU MABEHEWA MABOVU
9 years ago
StarTV29 Aug
Unajua alichokisema Mwakyembe kuhusu Richmond
![Dk Harrison Mwakyembe](http://www.habarileo.co.tz/images/resized/images/mwakyembe28mbeya_210_120.jpg)
Mwakyembe aliyasema hayo mbele ya maelfu waliojitokeza katika mkutano wa hadhara wa mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli katika viwanja vya Luandanzovwe jijini Mbeya, jana.
Akizungumzia madai ya kwa nini baadhi ya wahusika hawakupelekwa mahakamani kama kuna ushahidi, mhadhiri huyo wa sheria alisema kosa la...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar08 Sep
SAID KUBENEA AKIMCHAMBUWA DR SLAA na KUMBASHA HARRISON MWAKIEMBE KUHUSU UFISADI WA RICHMOND — KYELA
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo Saidi kubenea
The post SAID KUBENEA AKIMCHAMBUWA DR SLAA na KUMBASHA HARRISON MWAKIEMBE KUHUSU UFISADI WA RICHMOND – KYELA appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar15 Oct
Mbowe Amjibu Rais Kikwete Kuhusu Idadi ya Wapiga Kura na Zuio la Wananchi Kulinda Kura Vituoni
Mwenyekiti wa Chadema, Mh Freeman Thursday, October 15, 2015 Mwenyekiti wa Chadema, mh Freeman Mbowe amemtaka Rais Kikwete kutovuruga amani ya nchi na badala yake amemtaka aondoke madarakani na kuiacha nchi ikiwa salama. Mbowe alitoa kauli […]
The post Mbowe Amjibu Rais Kikwete Kuhusu Idadi ya Wapiga Kura na Zuio la Wananchi Kulinda Kura Vituoni appeared first on Mzalendo.net.
5 years ago
CHADEMA Blog![](https://img.youtube.com/vi/GND0hCJtBx4/default.jpg)