TUNDU LISSU AMJIBU KIKWETE KUHUSU RICHMOND
Morogoro/Dar. Siku moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kumtaka Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu amtaje mhusika wa Richmond anayezunguka naye kwenye kampeni, Mbunge huyo wa Singida Mashariki ameibuka na kudai kuwa Rais huyo ndiye mhusika kwa kuwa ndiye mwenye mamlaka ya kuteua na kuwawajibisha mawaziri.
Juzi, akiwa Kigoma, Rais Kikwete alieleza kumshangaa Lissu kumtaka amtaje mhusika wa Richmond wakati mtu huyo anazunguka naye kwenye mikutano ya kampeni na kumtaka amtaje la sivyo yeye...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Lissu amjibu JK kuhusu Richmond
10 years ago
Michuzi
10 years ago
Vijimambo28 Jul
5 years ago
CHADEMA Blog
11 years ago
Mwananchi31 Dec
Rais Kikwete ampiga kijembe Tundu Lissu
10 years ago
TheCitizen16 Sep
War of words as Lissu links JK with Richmond
11 years ago
GPL
Tundu Lissu…
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Tundu Lissu atikisa Bunge
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
Tundu Lissu awalipua mgambo
MWANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amesema anachukizwa na mgambo kuchangisha fedha za michango mbalimbali bila ya kujali kuwa wanazidisha umaskini kwa wananchi. Aidha, alisema kuwa serikali imekuwa...