Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Liverpool kununua Moreno kutoka Sevilla

Liverpool yakubaliana na Sevilla kumnunua Alberto Moreno kwa pauni milioni£12m.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Lallana ,Moreno waibeba Liverpool

liverpool wakicheza katika uwanja wao wa Anfield wameibuka na ushindi wa kishindo kwa kuichapa Swansea mabao 4-1.

 

10 years ago

BBCSwahili

''Niliokoa Kenya'' asema Moreno Ocampo

Kiongozi wa zamani wa mashitaka katika mahakama ya jinai ya ICC, ameteta umauzi wake wa kumshitaki Rais Uhuru Kenyatta licha ya kesi hiyo kutupiliwa mbali.

 

10 years ago

Africanjam.Com

VALENCIA COMPLETE €30M RODRIGO MORENO DEAL


Valencia have confirmed the €30 million signing of Rodrigo Moreno from Benfica on a four-year deal.The Spain forward joined the Liga side on a season-long loan last July with the option of extending his stay at the Mestalla.
Valencia have now exercised their option to retain Rodrigo just a few days after Andre Gomes joined Nuno Espirito Santo's side on a permanent basis from Benfica.Rodrigo spoke of his determination to fire Valencia into the group stage of the Champions League after playing...

 

11 years ago

BBC

Valencia CF 3-1 Sevilla (agg 3-3)

A Stephane Mbia header in injury times sends Sevilla into the Europa League final on away goals at the expense of Valencia.

 

10 years ago

Vijimambo

SEVILLA YATWAA KOMBE LA EUROPA

Carlos Bacca akiifungia Sevilla bao la tatu na la ushindi katika dakika ya 73 ya mchezo.Sevilla wakishangilia ubingwa wao baada ya ushindi wa 3-2 dhidi ya Dnipropetrovsk.Washindi wa Kombe la Europa mara mbili mfululizo wakiwa katika pozi baada ya ushindi.

TIMU ya Sevilla ya Hispania imefanikiwa kutwaa Kombe la Ligi ya Europa baada ya kuichapa Dnipropetrovsk ya Ukraine mabao 3-2.

Mabao ya Sevilla katika mechi hiyo iliyopigwa jana usiku mjini Warsaw nchini Poland yaliwekwa kimiani na Carlos...

 

11 years ago

BBCSwahili

Sevilla ndio mabingwa wa Europa

Sevilla ndio mabingwa wa mwaka huu wa taji la Europa baada ya kuilaza Benfica mabao 4-2 .

 

10 years ago

GPL

SEVILLA YATWAA KOMBE LA EUROPA SEVILLA YATWAA KOMBE LA EUROPA

Sevilla wakishangilia ubingwa wao baada ya ushindi wa 3-2 dhidi ya Dnipropetrovsk. Washindi wa Kombe la Europa mara mbili mfululizo wakiwa katika pozi baada ya ushindi.  Carlos Bacca akiifungia Sevilla bao la tatu na la ushindi…

 

10 years ago

BBCSwahili

Dnipro-Sevilla zatinga fainali

Nusu fainali ya pili ya Europa ligi, usiku wa kuamkia leo Dnipopetrovsk ilipomenyana na Napoli huku Fiorentina ikiialika Sevilla

 

10 years ago

BBCSwahili

Sevilla yatwaa kombe ligi ya Europa

Usiku wa kuamkia leo kulikuwa na kivumbi cha fainali ya Uefa ndogo, kwenye mtanange ulioikutanisha Sevilla ya Hispania dhidi ya Dnipropetrovsk ya Ukrain.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani