Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Liverpool wazima Leicester, Man Utd walala

Liverpool wamepunguza kasi ya Leicester kileleni mwa Ligi Kuu ya Uingereza baada ya kuwalaza 1-0 uwanjani Anfield, Manchester United nao wakachapwa 2-0 na Stoke City.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAN UTD KAMA KAWAIDA YAO, WALALA 2-1 KWA STOKE CITY

BAO: Charlie Adam (kushoto) akiifungia Stoke bao la pili dhidi ya Man Utd. Kulia ni Wyne Rooney. SAFI KIJANA WANGU: Kocha wa Stoke City, Mark Hughes akimpongeza mchezaji wake Charlie Adam baada ya kuishushia kipigo Man Utd.…

 

11 years ago

GPL

MAN UTD YACHAPWA 5-3 NA LEICESTER

Esteban Cambiasso (katikati) akishangilia baada ya kuifungia bao Leicester dhidi ya Manchester United. TIMU ya Manchester United imepokea kipigo cha mabao 5-3 kutoka kwa Leicester mechi ya Ligi Kuu England iliyopigwa Uwanja wa King Power leo. Wafungaji wa Leicester katika mechi hiyo ni Ulloa (2), Nugent na Cambiasso, Vardy wakati ya Man United yakifungwa na Van Persie, Di Maria na Herrera. ...

 

5 years ago

Mirror Online

Man Utd and Liverpool among clubs in 'bid to stop Man City playing in Champions League'

Man Utd and Liverpool among clubs in 'bid to stop Man City playing in Champions League'  Mirror OnlineChampions League and Europa League finals postponed due to coronavirus pandemic  Goal.comConfirmed: UEFA make big decision on Champions League, Europa League finals  CaughtOffsideManchester United favourites to win postponed Europa League final  The Peoples PersonRivals such as Liverpool, Man Utd and Arsenal launch bid to stop Man City playing in Europe  Daily MailView Full coverage on...

 

11 years ago

Mwananchi

Liverpool yainyuka Man Utd Old Trafford

Steven Gerrard alifunga penalti mbili na kuiongoza Liverpool kuichapa Manchester United 3-0 kwenye Uwanja wa Old Trafford.

 

10 years ago

GPL

HALF TIME: MAN UTD 2 - 0 LIVERPOOL

Wayne Rooney akiifungia Manchester United bao la kwanza. Kwa sasa mpira ni mapumziko Manchester United wakiwa vifua mbele kwa mabao 2-0. Wafungaji Wayne Rooney na Juan Mata. Vikosi:  Man U: De Gea, Valencia, Jones, Evans, Young, Carrick, Fellaini, Mata, Rooney, Van Persie, Wilson. Liverpool: Jones, Skrtel, Lovren, Johnson, Moreno, Henderson, Allen, Gerrard, Coutinho, Lallana, Sterling. ...

 

11 years ago

Mwananchi

Liverpool hoi, Man City v Utd

Newcastle United imeendeleza rekodi nzuri dhidi ya vigogo wa soka kwenye Ligi Kuu England baada ya kuilaza Liverpool kwa bao 1-0 jana.

 

5 years ago

Mirror Online

10 Man Utd vs Liverpool transfer battles - and who ended up with the better deal

10 Man Utd vs Liverpool transfer battles - and who ended up with the better deal  Mirror OnlineDe Bruyne rates 'crazy' Sancho as he recalls training at Man City with the Man Utd target  Goal.comMan Utd chief Ed Woodward makes Jadon Sancho transfer plan with three players involved  ExpressMarcus Rashford would relish Jadon Sancho signing at Man Utd  Sky Sports'Hopefully we can all play together' - Man Utd star Rashford issues plea for Sancho to join Red Devils  Goal.comView Full coverage on...

 

10 years ago

StarTV

Ligi Kuu ya Uingereza, Man Utd na Liverpool zatakata.

Ligi ya kuu ya England iliendelea jana usiku katika viwanja mbali mbali. Leicester inayoburuza mkia katika ligi hiyo ikiwa na pointi 10 katika michezo 14 iliyocheza waliikaribisha Liverpool ambayo iliibuka na u

shindi wa magoli 3-1 katika mechi hiyo. Hadi kumalizikakwa kipindi cha kwanza timu hizo zilikuwa zimefungana goli 1-1.

Kwa matokeo hayo Liverpool imeshika nafasi ya 8 nyuma ya Asernal , zote zikiwa na pointi 20. Hata hivyo Asernal imecheza mchezo mmoja pungufu ya Liverpool yenye...

 

5 years ago

Mirror Online

Paul Scholes claims Man Utd are four signings away from challenging Liverpool

Paul Scholes claims Man Utd are four signings away from challenging Liverpool  Mirror OnlineScholes: Inter were only side ever interested in me but Man Utd were biggest club in the world anyway  Goal.comPaul Scholes hails 'leader' Bruno Fernandes after playmaker's brilliant start at Manchester United  Daily MailPaul Scholes identifies Bruno Fernandes quality that Man Utd lacked before his transfer  ExpressScholes: Man Utd star Fernandes has brought 'what was sadly missing at Old...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani